National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Gari nzuri kwangu sawa, mtu ananunua gari kutoka na tamaa ya moyo wake na kiwango cha pesa alicho nacho. Naamini gari zinafaa ndio maana zinazalishwa viwandani na zina watumiaji kwa madaraja tofauti tofautu kutokana na vipatoNaam, tunaomba experience yako
Hata ukiongea vipi, nilianza maisha na Series 3 td360 sijawahi juta nikaamua ku upgrade X1 sijasumbuka mpaka leo.
Hiyo gari inashida. Kaitengeneze.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Acha tu yani. Gari muenekano mkali, sifa kama zote. Ila siri unaijua mwenyewe. Unajikuta gari unaichukia tu, Ukiangalia unapata hasira.
Imagine umetoka na date alafu mashine inaanza huu ujinga.
Sent from my MAR-LX1A using JamiiForums mobile app
Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Acha tu yani. Gari muenekano mkali, sifa kama zote. Ila siri unaijua mwenyewe. Unajikuta gari unaichukia tu, Ukiangalia unapata hasira.
Imagine umetoka na date alafu mashine inaanza huu ujinga.
Sent from my MAR-LX1A using JamiiForums mobile app
Kama BMW inakupasua kichwa vipi kwenye Audi, Volvo?Kama maisha ya kuunga unga nitamkataza haya:
BMW
BMW
BMW
BMW
BMW
Machine ya kazi hiyoo.Subaru Nunua. Iko poa. Ila achana na mbwembwe za Turbo. Chukua ya kawaida.
Hiyo td360 ni e46 au?Hata ukiongea vipi, nilianza maisha na Series 3 td360 sijawahi juta nikaamua ku upgrade X1 sijasumbuka mpaka leo.
Na thermostat yake. Hapo na ufundi na coolant andaa 1.5 kwa zile sio OG kwa OEM andaa 2M.Kipigo Cha kwanza tu, electric water pump πππ
πππ Nakuelewa vizuri Sana man, I've been there Hahah.Na thermostat yake. Hapo na ufundi na coolant andaa 1.5 kwa zile sio OG kwa OEM andaa 2M.
hapo dashboard imejaa kila aina ya taa unayoijua.
Runx gari aisee. Yaani tatizo kubwa ni kubutuliwa na madaladala tu ila sio miti ya xmass.πππ Nakuelewa vzr Sana man,I've been there Hahah.
Inataka uwe car enthusiast kweli kweli kuivumilia.
Naona mzee unai-miss RunX yako lkn kwa utamu unaoupata Kwny bimmer,unaona it's worth it.
Nilishafanya hivyo na kuuza.. Siwezi teswa na hela yangu..Hiyo gari inashida. Kaitengeneze.
Ndo mtu wa kwanza nasikia una hii shida.
Kwa experience yangu ya kuwa na magari, hakuna gari rahisi kuimaintain na kudetect na kutambua tatizo kama hizi za Germany, kwa Tanzania BMW ni rahisi zaidi, changamoto ni ukitaka kuitreat kama toyota itakuumbua.Haikua hata Brush mkuu. Brush zikizingua mwisho wa siku haiwaki kabisa. Lakini hii ilikua inaamua iwake au isiwake.
Badae lilikuja zingua mambo mengine, mkwanja wa kulirudisha road ukawa mrefu sana. Bahati nzuri nikakutana na jamaa nae ana yake nayo pasua kichwa anauza kwa bei ya "hasira" kama kutupa vile. Nikalichukua kama spare za kuirudisha road.. Akatokea jamaa mshamba wa gari za ulaya nikamsukumia kwa bei safi kabisa. Enzi hizo chuga hela ya mawe nje nje.
Sent from my MAR-LX1A using JamiiForums mobile app
Kama maisha ya kuunga unga nitamkataza haya:
BMW
BMW
BMW
BMW
BMW
Hahahhahaha hatariNimeona Nigeria vijana wametelekeza Gereji wanashindwa kulipa mafundi[emoji1787]
ππ Mad Max mjomba hapa anasema mna-treat bimmer Kama Toyota aisee.Kwa experience yangu ya kuwa na magari, hakuna gari rahisi kuimaintain na kudetect na kutambua tatizo kama hizi za Germany, kwa tanzania BMW ni rahisi zaidi, changamoto ni ukitaka kuitreat kama toyota itakuumbua.
Sijui alikuwa na BMW mode gani labda langu lina mkosi. Sio langu tu, na za washkaji zangu zetu zina mikosi.ππ Mad Max mjomba hapa anasema mna-treat bimmer Kama Toyota aisee.