Ni gari gani huwezi kununua Wala kumshauri mwingine anunue?

Tukubaliane kua wengi wetu vipato, utunzaji na kuwa na connection na mafundi wazuri ndio tatizo au kikwazo cha kumiliki aina fulani ya gari.


Kinachofurahisha sisi waswahili unakuta nazungumzia Benz au BMW wakati uwezo wangu ni Starlet au Passo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji419]
 
Ukiona hivyo ujue brush za kwenye starter zimekwisha. Fungua starter badlisha

Mimi huu mchezo ilikua inafanya Volkswagen… the culprit was fuel pump

Ilikua gari kuiwasha asubuhi ni kimbembe, au nkipako mahala engine ika cool down bas kuwaka inazingua.

Ilikua inataka unai start mara kadhaa then unasepa, unarudi after few minutes ukiwasha ndo inawaka

Nkaweka nyingine kwishaaa
 
Kuna gari moja pendwa sana
Ina version tofauti za engine
RAV 4 KILL TIME(SECOND GENERATION)
Iko na engine za aina mbili
Kuna 1ZZ VVT(Haina shida hii)
Kuna 1AZ SFE(Hapa ndo changamoto)
Kwepa hii engine maana rav 4 nyingi zenye hiyo engine zimepack zinaleta usumbufu sana has kwa long safari. Zinachemsha na unapaswa kujiandaa kubadil block or full engine kila muda
Nimewahi kuwa bayo hii gari kwa miaka 2 niliuza kwa hasara kabisa
Na wabaojua gari vizuri wakiona hiyo engine wanakwepa biashara hiyo
 

Nunua gari yenye engine ya D4 kama unaagiza nje au yard unayoiamini.

Usinunue gari yenye engine ya D4 kwa mtu tena mswahili.

Na hata ukinunua nje ukileta uswahili itakusumbua tu.
 

I think hili lilikuwa tatizo tu kama ambavyo gari lolote linaweza kupata tatizo. Siyo common issue kwenye hizo gari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…