shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,329
mahari ni zawadi kwa wazazi kwa kumtunza binti..
sasa binti hajatunzika.. kuna haja gani ya kutoa mahari... sio utunzaji hewa huuu..
mtu ambaye sio bikra analipiwa mahari akiwa baby mama tayari.. ambayo ni zawadi kwa heshima ya mwanao
sasa binti hajatunzika.. kuna haja gani ya kutoa mahari... sio utunzaji hewa huuu..
mtu ambaye sio bikra analipiwa mahari akiwa baby mama tayari.. ambayo ni zawadi kwa heshima ya mwanao