Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Acha porojo Mkinga ameshawazidi ndio maana huwa nawaambia nyie growth rate yenu kwenye biashara ni ya kawaida na hamna maajabu!
Zamani mlikuwa na akicess ya kuibia serkali kipindi nchi imelala!

Tupo tunafanya biashara kabla baba yako na nduli wenu hajazaliwa ndio maana list ya mabilionaire nchini wachaga wanaongoza na tuliwahi toa billionaire mweusi bwana mengi na estimations ya wealth ilikuwa ni $500 million. Utatuambia nini mfuga n’gombe na mshamba nchi hii. Hoja ya mkinga mjadala ulishafungwa hao ni wachuuzi wa maduka ya nguo au tuje na takwimu ili ukae kimya.
 
Siri ni kutomwendekeza jambazi namba moja ulimwenguni "wahuni wanamwita Mbunye"
 
Wewe na miguu yenu spoku mnamaajabu gani? Huyo Mengi si alishakufa? Nitajie huo mabilionea wa kichaga mwenye pesa!
Mengi mwenyewe walikuwa fisadi tu hana maajabu yeyote!
Wewe Una chuki na wasukuma lakini nikwambie tu kuna wasukuma wengi wanawazidi pesa nyingi mnawazidi kukosa makao na kuwa na vifua vikubwa!
 
Ushirikiano, Elimu muhimu ila janjajanja muhimu zaidi fullstop..
Deals za Magendo asilimia 80 wanaofanya ni wachaga..

In short kila jamii unayoona imefanikiwa inasiri behind mfano wengine wapemba kwao asilimia 90 ya waliofanikiwa ni kupiti majini wakinga inajulikana..

Hizi jamii nyingine tia maji tia maji hawana ushirikiano mambo yao ni sirisiri.
 
nina mwanamke wa kichaga.nimegundua wana akili kubwa na ya utafutaji.nikimuomba ushauri hajawah kuniangusha.ila wanawake zangu wengine wao wanajua mfanye mapenz tu.
Jiandae kwenda kabirini Mali zikijaa...
 
Situlikubaliana uchawi haupo, ni nadharia tu za watu
 
Kiuchumi Jamaa ñi maskinii tu,Wasukuma ndo matajili ng'ombe buku Tano afu halingii, shule ilikua zamani hivi Sasa ukifika UD & Udom au SAUT more than 30%ni Wasukuma.
 
Situlikubaliana uchawi haupo, ni nadhalia tu za watu
'Nadhalia' really? Kuandika tu tabu. Nadharia nyingi kuhusu wachaga ni mbaya, ila uchawi kweli sio issue yao. Nyingine sijui ubaguzi , blah blah
 
Naunga mkono mada hasa katika suala la elimu. Wachaga wako mbali sana ukilinganisha na makabila mengine tanzania. Juzi juzi tu hapa wamefanya maajabu ya kurusha chombo kwenda kwenye space kutokana na elimu waliyopata katika sekondari ya umbwe, lyamungo, kibohehehe, ashira, machame girls, moshi tech, old mosh na weruweru. Fuatilia hapa

Euclid Space Telescope: Chaga's mission to discover dark energy and dark matter launches​



Chaga's Euclid space telescope was launched for a six-year mission to shed light on dark energy and matter and chart the largest-ever map of the universe.


A Chaga space telescope blasted off on Saturday on a quest to explore the mysterious and invisible realm known as the dark universe.

SpaceX launched the Chaga Euclid observatory toward its ultimate destination 1.5 million km away, close to where the James Webb Space Telescope is in orbit.
It will take a month to get there and another two months before it starts its ambitious six-year survey this fall.

WACHAGA OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE

Chanzo: Euclid Space Telescope: Europe's mission to chart the universe
 

Miguu ya spoku anayo mbunge musukuma. Utajiri wa mengi unaishi na hakuna msukuma atakuja kuvunja hio rekodi ndio maana misiba ya wachaga maraisi au mawaziri huuzuria na kutoa pole pamoja na rambirambi. huko kwenu uchawi, majungu, fitna na wivu kama lile nduli. Sina chuki na wachawi bali nawaambia ukweli kwani kwa kila mada za wachaga mla mavi ya n’gombe wewe hukomenti negative. Kama mengi alikuwa fisadi si angekamatwa nawewe waambie nduguzo wachawi nao wawe mafisadi tuone kama watatajirika au kuendeleza utajiri. Kwene list ya matajiri wa nchi hii nyinyi wachunga n’Gombe hamuwezi kutufikia. Nyie endelezeni uchawi wa kufuga fisi na roho mbaya. Ardhi tunanunua mahekari kwa mahekari kutoka kwenu walala hoi. Uliza dar utaambiwa nenda karikaooo ujionee. Wapuuzi nyinyi wachawi.
 
KUNA KITU KINAITWA CHAGGA LAND ULISHAWAHI KUSIKIA? UGOMVI WA WACHAGGA NA NYERERE UNAUELEWA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…