luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Huwez kuwahesabu,unawza hesabu sukari?Wachaga/uchagani kumeendelea nini!?..wachaga wangapi wapo kwenye system?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwez kuwahesabu,unawza hesabu sukari?Wachaga/uchagani kumeendelea nini!?..wachaga wangapi wapo kwenye system?
Ajitokeze nimnyorosheMchawi Accumen Mo akisoma huu uzi atakasirika.
Dalili ya kwanza ya umaskini ni kumchukia aliyefanikiwaWachaga wako kama wahindi, wanaharibu watoto wao, utakuta mmoja dishi limeyumba huwezi kumjua kirahisi...
Huyo ndio anawapa utajiri...
Kingine ni watu wa kafara za damu za wanyama kwa wafu/mizimu...
Jifanye tu kama unataka kujikunaSipo obsessed na mada za kikabila Kwa sana.
NaamUchagani ni zaidi ya masaki, majumba, barabara,umeme,maji,shule,mahospitali,makanisa na vingine vingi.
Kwenye system ni kuwa hawapo kwenye political positions ila kila ofisi wamejaa, mashirika ya uma na kimataifa wapo,biashara kenya na kwingineko wapo
Mimi mtoto wa mjini sio mshamba kama wewe na nimekaa na watu waliostarabika sio matapeli,wezi wala majambazi.Jifanye tu kama unataka kujikuna
Ukubwa wa pua sio wingi kamasiSehemu yenye shule nyingi Tanzania ni Iringa
JifarijiKumbukeni Tanzania ni third world country. In a nutshell wote maskini tu kwenye lense ya dunia.
Huna HelaMimi mtoto wa mjini sio mshamba kama wewe na nimekaa na watu waliostarabika sio matapeli,wezi wala majambazi.
Ila aisee ununue camera Luambo...na kuishi kwote Germany?...Si ajabu Kilimanjaro kuongoza kwa idadi ya sekondar Tanzania
Ya pili kwa kipato kikubwa kwa watu wake kwa 90% Baada ya dar
Ya kwanza kwa makazi bora vijijin i.e almost 95% ya Kila nyumba uchagan Ina maji na umeme
Hadi ghorofa za kuishi zipo vijin uchagan View attachment 2695416
Hebu kajengeni vyoo kwanzaWACHAGGA WOTE WANASIFIWA MAENDELEO KWA AJILI YA WAROMBO NA WAKIBOSHO HAO NDIO MATAJIRI WENYE KUSHIKA HII JAMHURI.MIMI NI MCHAGGA HIVYO NITAKACHOKISEMA NAKIFAHAMU.kuna wachagga wa vunjo mwika marangu-kilema,kirua old moshi uru na machame.hawa ni white colour ni wamangi wanasema hawawezi kufanya kazi za ovyo kama kupika na kuchoma nyama kwenye mabaa little did they know kuwa huko ndipo kwenye pesa.wamewaachia warombo na wakibosho ambao hawachagui kazi na ndio wachagga matajiri
Na kama akiwa jambazi nenda kwao uatelewaPamoja na baadhi ya wachaga kuwa wezi
Lakin jamaa wapo very smart
Nmefanya nao kazi sehemu tofauti tofauti
Sio wanawake wala wanaume
Wako smart
Sina hela ila siwezu kugombania nafasi za kuwa konda kweny mabasi😂😂😂Huna Hela
Wenye hela ni mabroker kwa hawa wachimbaji wadogo mim sijaongelea wachaga nimesema wahindi ndo mabroker wenye hela kwa wachimbaji wadogo wala sio wasukuma au wachagaWewe Kariakoo upo Geita na Kahama upo pia! Hizo dhahabu wandindi wanzaipata wapi hujui mnyororo wa thamani au Kariakoo hapo mnatengeneza bidhaa?
Wewe unaamini kabisa kuwa mabroker Wasukuma hawapo!
Ukuaji wa miji kama Mwanza,Kahama na Geita unachangiwa na Wachaga sio?
Basis nyingi ndo mnaakili sana nchi hii maana kila kitu mnajua!
Kuwaga muelewa usiwe kama zuzuHebu kajengeni vyoo kwanzaView attachment 2695437
Hapo kulikuwa na ukungu mkali sana si unajua uchagani ni kama ulaya[emoji2]Ila aisee ununue camera Luambo...na kuishi kwote Germany?...
Chukua hata Google pixel zipo hadi za laki mbili na zina camera nzr tu
Huyu muache nimnyoroshe [emoji3]Kuwaga muelewa usiwe kama zuzu
Uko uchagan kuna maskin wapo wengi tu lakin jamii yao inaunafuu kuliko jamii nyingi za kitanzania
Choo ni Siku Moja tuHebu kajengeni vyoo kwanzaView attachment 2695437