Ni jambo gani unalotakiwa kulifanya pindi unapopitia wakati mgumu sana. Fedha na matatizo ya mara kwa mara kama vile kuuguza kwa muda mrefu

Ni jambo gani unalotakiwa kulifanya pindi unapopitia wakati mgumu sana. Fedha na matatizo ya mara kwa mara kama vile kuuguza kwa muda mrefu

Duniani Kuna Changamoto sana, kuna wakati unapitia Changamoto kubwa unatamani hata Kuitelekeza Familia.

Kuna wakati nilikuwa Nikiona watu hasa wanaume wametelekeza familia nilikuwa sielewi kabisa ila Ukubwa Huu una mafundisho mengi sana.

Nimekaa nimewaza sana, nimepitia Changamoto nyingi sana Tangu mwezi wa saba Nimeuza baadhi ya Mali zangu hadi sasa Hivi nimesihiwa kabisa ni kama matatizo yanaitana Likiisha hili linafuata Lingine.

Imefika wakati sasa Nikitazama watoto wangu wachanga Roho inaniuma sana maana ninawaza Vitu ambavyo Viko nje kabisa .

Unakopa hadi unaogopa Kukopa au Kuomba tena, unadhalilika.

Umasikini ni Mbaya sana, Umasikini ni fedheha na Aibu Kubwa.



Hivi ni nji gani unayoweza Kuitumia au unaweza kufanya nini unapopitia kwenye Changamoto Kama Hizi.

Ni jambo gani la hekima sana unaloweza kufanya Ili upite salama kwenye Kipindi cha aina Hii.
Aiseee pole kwanza. Mwanaume n zaid ya matatzo usipende kutangaza matatzo unayo yapitia ila unahitaji njia ya kuzshnda,
 
Rudisha mpira kwa Mungu ,pia mimi napitia situation kama hiyo husuda kwenye utafutaji ,jamaa kwenye ofisi yangu walinikunjia sana .unafanya kazi ila kuna muda hata buku inakua issue ,usiache kufanya maombi muombe Mungu akuvushe kwenye kipindi hiki kigumu.Dunia ina mapito mengi sana ,wengi tunapitia hali kama hizo
Pamoja sana
 
Hakuna Mungu wa kukutatulia matatizo yako.

Chanzo cha matatizo yako ni wewe mwenyewe.

Na wakutatua matatizo yako ni wewe mwenyewe.

Mungu hajawahi kuwepo na hayupo kumsaidia kiumbe chochote kile kwenye matatizo.
punguza ukali infro
 
punguza ukali infro
Hawa watu lazima tuwaeleze ukweli utakao zama ndani kabisa ya Medula oblongata🧠 zao ili waache kuja kulia lia hapa JF.

Wafahamu fika kwamba chanzo cha matatizo yao ni wao wenyewe na majibu ni waowao wenyewe.

Hawa ni sawa na hawa watu wanao oa single mother, Halafu wakishapigwa na vitu vizito wanakuja Kulia lia kuomba ushauri na msaada.
 
P
Duniani Kuna Changamoto sana, kuna wakati unapitia Changamoto kubwa unatamani hata Kuitelekeza Familia.

Kuna wakati nilikuwa Nikiona watu hasa wanaume wametelekeza familia nilikuwa sielewi kabisa ila Ukubwa Huu una mafundisho mengi sana.

Nimekaa nimewaza sana, nimepitia Changamoto nyingi sana Tangu mwezi wa saba Nimeuza baadhi ya Mali zangu hadi sasa Hivi nimesihiwa kabisa ni kama matatizo yanaitana Likiisha hili linafuata Lingine.

Imefika wakati sasa Nikitazama watoto wangu wachanga Roho inaniuma sana maana ninawaza Vitu ambavyo Viko nje kabisa .

Unakopa hadi unaogopa Kukopa au Kuomba tena, unadhalilika.

Umasikini ni Mbaya sana, Umasikini ni fedheha na Aibu Kubwa.



Hivi ni nji gani unayoweza Kuitumia au unaweza kufanya nini unapopitia kwenye Changamoto Kama Hizi.

Ni jambo gani la hekima sana unaloweza kufanya Ili upite salama kwenye Kipindi cha aina Hii
 
Duniani Kuna Changamoto sana, kuna wakati unapitia Changamoto kubwa unatamani hata Kuitelekeza Familia.

Kuna wakati nilikuwa Nikiona watu hasa wanaume wametelekeza familia nilikuwa sielewi kabisa ila Ukubwa Huu una mafundisho mengi sana.

Nimekaa nimewaza sana, nimepitia Changamoto nyingi sana Tangu mwezi wa saba Nimeuza baadhi ya Mali zangu hadi sasa Hivi nimesihiwa kabisa ni kama matatizo yanaitana Likiisha hili linafuata Lingine.

Imefika wakati sasa Nikitazama watoto wangu wachanga Roho inaniuma sana maana ninawaza Vitu ambavyo Viko nje kabisa .

Unakopa hadi unaogopa Kukopa au Kuomba tena, unadhalilika.

Umasikini ni Mbaya sana, Umasikini ni fedheha na Aibu Kubwa.



Hivi ni nji gani unayoweza Kuitumia au unaweza kufanya nini unapopitia kwenye Changamoto Kama Hizi.

Ni jambo gani la hekima sana unaloweza kufanya Ili upite salama kwenye Kipindi cha aina Hii.
Pole sana kwa changamoto nakushauri mambo yafuatayo:
1. Jaribu kuhudhuria nyumba ya ibada kumshirikisha Mungu matatizo yako
2. Usipende kukaa mazingira ya peke yako unaweza kuchukua maamuz mbaya zaidi
3.Penda kutembelea sehemu za asili km ufukweni
4. Mwisho changamoto tumeumbiwa binadamu kukata kwako tamaa ni kuwaangusha wanaokutegemea, hivyo utawapa maisha magumu zaid kuliko uliyonayo wewe🙏
 
Pole sana kwa changamoto nakushauri mambo yafuatayo:
1. Jaribu kuhudhuria nyumba ya ibada kumshirikisha Mungu matatizo yako
2. Usipende kukaa mazingira ya peke yako unaweza kuchukua maamuz mbaya zaidi
3.Penda kutembelea sehemu za asili km ufukweni
4. Mwisho changamoto tumeumbiwa binadamu kukata kwako tamaa ni kuwaangusha wanaokutegemea, hivyo utawapa maisha magumu zaid kuliko uliyonayo wewe🙏
Asante sana.
 
Back
Top Bottom