Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

Israel anaingia Damascus anapiga bomu anasepa.. Hezbolah anajificha kwenye handaki ndo anarusha mabomu...hapo mwanaume nani? tumia akili utajua hapo mbwa koko ni nani? weka ushabiki pembeni

Six killed in Israeli air raid on Damascus: Monitor
Six killed in Israeli air raid on Damascus: Monitor

Seven killed in 2nd alleged Israeli airstrike in Syria in a week
Seven killed in 2nd alleged Israeli airstrike in Syria in a week
 

Nimekuuliza proxy wa Israel ni nani hapo Syria? Naomba jibu acha janja janja.

Senior Iran Official: Israel's Mossad Created ISIS
Senior Iran official: Israel's Mossad created ISIS


Nimekuuliza wamefanikisha lipi hapo Syria?

Syria sasa hivi hana nguvu yeyote ya kujilinda na kwa masaada wa urusi anapumulia machine Iran
na Hezbolah hawakuweza kufanya lolote ili kumlinda maana na wao wote walikaribia kuisha kwa kuchinjwa.
Matokeo yake sasa ni kwamba Israel amepafanya syria kama kituo chake cha kujaribisha makombora yake

Russia condemns 'Israeli' air strikes on Syria
Russia condemns 'Israeli' Syria strikes
 
Kama ukitaka nasrullah ambae kiongozi aende vitani basi mtoeni na netanyahu aende vitani

Proxy war ya IRAN ipo kwakuhakikisha ISRAEL hakai kwakutulia nanikweli ndio maana jamaa ikipita miezi miwili lazima usikie ving'0ra jamaa hawakai kwaamani wakatulia hata kiduchu[emoji14][emoji12][emoji12]
 
Kwani hujui kama Netanyahu katokea IDF? Tena akiwa ni kamanda? Mwache aendelee kuwatumikia wananchi, walau yeye anajulikana anapoishi. Nasrallah maisha yake yamegeukia kwenye mahandaki kama panya hata hotuba zake anafanya kwa "video", uoga umemjaa kwasavabu anaujua uwezo wa Israel
 
Yapo mengi ambayo Waarabu wamejifunza katika Vita Vya Siku Sita 1967 na Yom Kippur 1973.

Nimejaaliwa kuiona Bar Lev Line Sinai nikiwa katika boat Suez Canal.

Katika Vita Vya Siku Sita majeshi ya Israel yalifika hadi hapo na ni ukingo linapoanza Jangwa la Sinai.

Israel ilisimama hapo baada ya majeshi ya Waarabu kusalimu amri.

Israel ikajenga ukuta wa mchanga kujikinga na mashambulizi ikiwa Misri itataka kufanya hivyo na pia kuonyesha kuwa ardhi yote nyuma ya Bar Lev Line ni ardhi iliyotekwa iko chini ya himaya ya Israel.

Bar Lev alikuwa kamanda katika jeshi la Israel.

Nimesafiri kwa njia ya barabara ya jangwani kutoka Cairo hadi Alexandria na kwa macho yangu nimeziona kambi za jeshi la Misri ndani ya jangwa hilo.

Swali nililojiuliza ni kuwa vipi jeshi kubwa kama hili litashindwa na kanchi kadogo kama Israel?

Katika Vita Vya Yom Kippur mwaka wa 1973 inasemekana Anwar Sadat Rais wa Misri alimsaliti Hafidh Al Assad wa Syria kwa kusimamisha vikosi vyake visisonge mbele hii ikawa kama kajitoa katika mapambano.

Kisa hiki kakieleza Mohamed Heikal katika kitabu chake, "The Road to Ramadan," na uamuzi huo wa Sadat ndiyo uliofanya apitishiwe hukumu ya kuuawa na askari wake mwenyewe.

Vinginevyo kama Misri ingebaki vitani matokeo ya vita vya 1973 yangekuwa mengine.

Vita hii ya 1973 kilichojitokeza ni kuwa majeshi ya Israel yanashindika.

Hassan Nasrala aliingia katika vita vile vya 2006 akijua kuwa IDF hawawezi kuhimili kwanza vita vya muda mrefu na pili askari wake wanakiogopa kifo.

Askari wa Hizbullah wanaingia vitani kwenda kufa si kurejea majumbani kwao wakiwa wazima.

Taarifa za kiintelijensia baada ya vita vile zimeeleza mengi na kubwa na hili lilishuhudiwa na ulimwengu ni baada ya kusimamisha mapigano askari wa Israel walikuwa katika "retreat," wakirudi kwao wameinamisha vichwa vyao chini.

Hawakurejea Israel kwa shangwe kama ilivyozoeleka.

Na pigo kubwa lilikuwa siku ya kubadilishana mateka Israel ikipokea majeneza ya askari wao waliouawa.

Kibri cha Wayahudi kimepunguzwa pakubwa na Hizbullah kutokana na vita vile vya 2006.

Yapo mengi sana katika historia yamapambano ya Hizbullah na Israel kwani ni wao ndiyo waliowatoa Lebanon waliyokuwa wameikalia pasi na haki.
 
katokea

lugha yako sio kiswahili kwani ?!

kama wanamgambo wanawapelekesha namna hii [emoji23][emoji23][emoji23]
 
hata uwaeleze nini hawatakaa wakuelewe.....
 
Kuna watu wengi wanaunga mkono Israel bila kuangalia kwamba wanaunga mkono wenye tabia za kishetani, kama ISIS nyie wenyewe mnakubali ni proxy militia wa Israel ,so mnaunga mkono uchinjaji wa innocent people. Just take a time a rethink twice who you are supporting. Tusisome biblia kama vipofu,ile Israel inayoongelewa kwenye bible siyo hii ya mpuuzi Netanyahu, is how your heart ought to be. Watu tuache ushabiki ambao unatupeleka kwenye contradicting thinking , Don't spoil your thinking just unahisi Israel must do all the rubbish it is doing in the middle east. Syria walitaka mafuta lakin pia daraja la kuikaba Iran. No matter Syria itachukua miongo mingi kurudi kwenye initial state ya zamani , imeweze kudhibiti hao wapuuzi wa ISIS wanaoungwa mkono na mabeberu na mazayuni. There is always a price to pay in war , the most important is that the country haijaangukia mikononi mwa hao wabaya.
 
ambae hakai kwa amani ni nani kati ya yule aliyejificha kwenye mahandaki na yule anayetembea hadharani? tumia akili kabla ya kuandika
 
kwa taarifa yako israel pale middle east anakula bata kwa kwenda mbele na hakuna mwenye jeuri ya kumtoa pale...hao hezbolah wamebaki maneno tu taqbir za kutosha na kupeperusha bendera zao za kijani zile juu
 
Kawaida hezb wakiuliwa iwe ni syria ama lebanon hufanyika mazishi ya halaiki,,yaani wao wanaita kufa shahidi,na ni kitu hawawezi kuficha kwao hiyo ni kama kupewa cheo cha juu,
Sasa israel wamekuwa na tabia ya kushambulia magodown,usiku wa manane,,halafu kesho yake wanatangaza wameua mara general wa iran etc,ukweli ni kuwa mara nyingi huwa ni propaganda tu,
Akiuawa general ama militias yeyote mazishi hayawezi vichwa hata siku moja,,mara nyingi media za magharibi ama saudi arabia,kuwaiti huwa wanaripoti fake news,sababu hizo nchi hawamtaki assad
 
sio propaganda ni ukweli
some of iranian generals killed in syria

Brigadier General Hossein Hamedani, one of the founders of IRGC, in charge of the Iranian regime’s forces fighting in Syria to keep dictator Bashar Assad in power (October 8, 2015)

Gen. Farshad Hassounizadeh, former commander of the Saberin Brigade, a Special Forces unit of the IRGC (October 12, 2015)

Colonel Hamid Mokhtarband, former chief-of-staff of the 1st Brigade in Ahvaz, south-west Iran (October 12, 2015)

Colonel Moslem Khizab (October 18, 2015)
Rasoul Pourmorad, a commander of the IRGC Bassij force in Qazvin (October 14, 2015)

Nader Hamid, an official from the IRGC’s paramilitary Bassij force in charge of organizing Syrian dictator Bashar al-Assad’s paramilitary forces in the civil war (October 2015)

Brig. Gen. Mohammad-Ali Allah-Dadi (January 18, 2015)

Brig. Gen. Abdollah Eskandari (May 2014)

Brig. Gen. Esmail Haydari (July 2013)

Brig. Gen. Hassan Shateri (February 2013)
 
kwa taarifa yako israel pale middle east anakula bata kwa kwenda mbele na hakuna mwenye jeuri ya kumtoa pale...hao hezbolah wamebaki maneno tu taqbir za kutosha na kupeperusha bendera zao za kijani zile juu
Israel hapo ipo tangu 1948,,kama miaka 72 tu,,ni mda mfupi sana huo,,israel kingdom ya zamani,iliundwa baada ya kutoka misri na ilidumu kwa takribani miaka 150 tu kabla haijapotea kwenye ramani,,
So miaka 72 ni mda mfupi sana kujiamini,na tatizo kubwa kwa israel sio iran,,bali ni nchi kama Turkey na misri,ambazo hivi sasa zinazidi kujikusanyia nguvu kubwa mno,siku ikatokea uturuki wamefanikiwa kumtoa Assad,,ndio mwanzo wa ottoman empire kurudi jerusalem,,,
 
tawala za ulaya na mashariki ya kati zilizotawala ulimwengu haziwezi tena kurudi na kutawala ulimwengu kwani muda wao ushapita, ulimwengu sasa hivi unaelekea uchina na nchi zinnazokuja kwa kasi kama india, brazil nk. so kwa ottoman na hao mafarao kurudi kwenye game tena sahau
 
Israel imeanza kampeni za hit and run syria miaka miwili au minne iliyopita,,kabla ya hapo israel walikuwa hawajihusishi kushambulia bali ilikuwa ikitoa mafunzo na silaha kwa Isis,,baada ya isis kushindwa ndo mara moja moja israel wanafanya hit and run,kwenye magodown,usiku mnene na mara nyingi kunakuwa hakuna watu zaidi ya mawatchmen,
Hiyo list kama ni kweli,hao walikufa wakipambana na isis,kipindi kile 2014 isis walikaribia kuiteka damusca na baghdad ikabidi iran,akimbize msaada wa wapiganaji toka iran,pakistan wakuongozwa na makamanda wa revolutionary guard
 
Kwahiyo huoni sasa kinachotokea libya?,kiufupi libya Ottoman empire inapambana na Russia,saud,israel,UAE,US, Egypt empire,italy.

Huko syria kuna uwezekano wa mpambano kati ya Ottoman empire vs Russian empire,Persian empire na Aramain kingdom(syria)
 
ambae hakai kwa amani ni nani kati ya yule aliyejificha kwenye mahandaki na yule anayetembea hadharani? tumia akili kabla ya kuandika
Hakuna watu waoga kutembea hadharani kama makamanda wa israel akiwamo netanyau,
Kwanza hata vitani hawaendangi,wao ni kubaki maofisini tu wakidirect,,ndo maana ni mara chache mno kuonekana hadharani
 
Hakuna watu waoga kutembea hadharani kama makamanda wa israel akiwamo netanyau,
Kwanza hata vitani hawaendangi,wao ni kubaki maofisini tu wakidirect,,ndo maana ni mara chache mno kuonekana hadharani
ariel sharon alikua mpaka anaingia msikitini na viatu, alikua haogopi kitu yule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…