Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

mfano
Kwa 100% kwasababu malengo yao yaliyowafanya waingie vitani waliyafanikisha kwa
Pia walipigana na jeshi ambalo lina aminika kwamba halishindiki

Unduaaamini ISRAEL haikushindwa v MKUU ?!
Hezbolah hakushinda vita hapo hapakua na mshindi yeyote na wote walipata hasara, kumbuka kwamba hezbolah alijipanga muda mrefu sana kwa hyo vita na alikua ana mbinu mpya ambazo intelijinsia ya israel haikua inazijua kwanza mfano hawakujua kwamba hezbolah ana makombora mapya so israel ilimuunderrate hezbolah, sio kweli kwamba israel jeshi lake hua halishindwi hata yeye hua anapata heavy loss mfano yom kipur alivamiwa ghafla mpaka anakuja kukaa vizuri alikua keshapata loss kubwa tu ya watu na vifaa.


kumbuka kinachomsaidia israel kuwashinda maadui zake waarabu ni intelijinsia na si kingine, kama akifeli kwenye insytelijinsia ni vigumu sana kuwashinda kijeshi kwa sababu maadui wamemzunguka kila sehemu so akiziba upande huu atapigwa upande mwingine.

vita yeyote hata uwe na nguvu vipi lazima na wewe utapata defeat na ndio maana sasa hivi ili usipate hasara kwenye ardhi yako wanafanya proxy war na kwa hapo israel amefanikiwa sana nchini syria sasa katumia akili akafanya hezbolah aende kupigana syria badala ya kurusha makombora israel, ona sasa syria imebaki magofu nchi nzima, iran alienda kutengeneza proxy wake lebanon ambae ni hezbolah israel akaenda kutengeneza proxy wake nchini syria sasa hivi anapiga syria kila anapojisikia na hao hezbolah na iran hawamfanyi chochote sasa hapo mbabe ni nani?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]HIZBU wakopale kupambana na kuzuia uwizi walokua jamaa vibaka wale wanauendesha wakuvamia vamia LEBANON kipuuzi nasasa wathubutu waone watakachopata zaidi yakile cha 2006
Mbona mwaka jana mwishoni Israel ilirusha mabomu Beirut ikilenga kambi zao? Au hukuona?
 
Upuuzi tu, waarabu wawashinde Waebrania halafu waendelee kuwepo hadi leo really?
Inawezekana ni umli ndio unakusumbua, ktk vita hii nikweli bila kuleta ushabiki walichemka,na wazili mkuu pamoja na kamanda aliongoza ile vita walijiuzulu kwakashfa baada yamalalamiko kuzidi.Pia kwakuongezea ambayo mwambishi hakugusia,yalipelekwa majeshi ya umoja mataifa yakulinda amani tanzania ikiwa nisehemu ya hilo jeshi
 

Hiyo Google ni ya waarabu au ya mashariki?
Kama haina jeshi zuri mbona waarabu (waislamu) wameshindwa kuwaondoa waebrania kabisa na wasiwahi kurudi tena?
.
Palestina wanaramani yao inayoonyesha kuanzia mwaka 47 hadi sasa "eti" territory zao zilivyochukuliwa, nchi zote za kiislamu haziwataki waebrania na zinatamani sio tu waondoke waangamie kabisa.
.
Swali kama Hezbollah walishinda kwa hizo missiles mbona hawakutumia mbinu hizohizo waongeze na zingine wawamalize kabisa kama wanavyootaga?
nahisi wewe utakuwa upo o'level...hata tafakuli yako inaonesha upo arts B hapo shuleni kwenu...maana hauna points hata kiduchu..mie ningekuwa teacher wako hata mtihani wako sipotezi muda kuutazama[emoji23]
 
Hezbollah ni nothing kwa Israel, zaidi ya kujificha nyuma ya migingo ya wananchi wasio na silaha ili wasishambuliwe.
Baada ya vita ya 2006, Israel kaendelea kuitia adabu Hezbollah mara kibao

Sept 2008 Imad Mughnyeh, Chief Commander wa Hezbollah anauawa na Israel huko Damascus. Hii inamlazimu Hassan Nasrallah kuhamishia makazi yake ndani ya handaki kwa kuogopa kuuawa


January 2015 Jihad Mughniyeh, mrithi na mtoto wa Imad naye anauawa na kombora la Israel, Hezbollah kimya
Etc
Hezbollah haijibu
Kweli Israel ni kibonde mpaka unalinganisha uwezo na kikundi cha watu.
😂😂
 
Israel coward Wameona kupigana full war wanapelekeshwa sasa wameona bora wawavizie kama simba na swala [emoji23][emoji23][emoji23]

2006 jamaa hatakaa aisahau hasa yule MKUU wamajeshi[emoji23]
Israel imekuwa kama Al Shabaab😂😂😂😂😂
 
mfanoHezbolah hakushinda vita hapo hapakua na mshindi yeyote na wote walipata hasara, kumbuka kwamba hezbolah alijipanga muda mrefu sana kwa hyo vita na alikua ana mbinu mpya ambazo intelijinsia ya israel haikua inazijua kwanza mfano hawakujua kwamba hezbolah ana makombora mapya so israel ilimuunderrate hezbolah, sio kweli kwamba israel jeshi lake hua halishindwi hata yeye hua anapata heavy loss mfano yom kipur alivamiwa ghafla mpaka anakuja kukaa vizuri alikua keshapata loss kubwa tu ya watu na vifaa.


kumbuka kinachomsaidia israel kuwashinda maadui zake waarabu ni intelijinsia na si kingine, kama akifeli kwenye insytelijinsia ni vigumu sana kuwashinda kijeshi kwa sababu maadui wamemzunguka kila sehemu so akiziba upande huu atapigwa upande mwingine.

vita yeyote hata uwe na nguvu vipi lazima na wewe utapata defeat na ndio maana sasa hivi ili usipate hasara kwenye ardhi yako wanafanya proxy war na kwa hapo israel amefanikiwa sana nchini syria sasa katumia akili akafanya hezbolah aende kupigana syria badala ya kurusha makombora israel, ona sasa syria imebaki magofu nchi nzima, iran alienda kutengeneza proxy wake lebanon ambae ni hezbolah israel akaenda kutengeneza proxy wake nchini syria sasa hivi anapiga syria kila anapojisikia na hao hezbolah na iran hawamfanyi chochote sasa hapo mbabe ni nani?
Mkuu vita chanzo chake ni Hezbollah kutaka wafungwa wake wa kilebanon.
Israel ikakataa.
Hezbollah wakateka askari wawili wa IDF.
Israel akaonya askari waachiwe kabla haja toa kichapo kikali.
Hezbollah wakasema tunachotaka ni wafungwa.
Israel ikaingia vitani, siku ya nne wakasema wameimaliza Hezbollah.

Kumbe Hezbollah ilihamisha silaha na kila kitu, Israel ilikuwa inashambulia nothing.
Hezbollah ikaanza kutoa dozi.
Israel ikaomba umoja wa mataifa uingilie kati kwani vita imewazidia.

Israel hatimaye wakakubali kuachia wafungwa.

Hezbollah ikatembea kifua mbele huku akisema Sikh nyingine usirudie.
😂😂😂😂
Nani mshindi hapo?
Jibu ni Hezbollah

Kwa sababu.
1- Israel imekubali kuachia wafungwa.
2- Israel imezidiwa intelejensia, kumbuka kuna silaha walikuwa nazo Hezbollah, Israel imewachukua miaka 6 kujua zilipo, siku wanaenda kipiga walitumia dk 34 kupiga, kumbe Hezbollah walisha hamisha siku nyingi.
Takribani target zote Israel walichengwa(targets 83).

3-Israel gharama waliyotumia kwenye hio vita ni kubwa kuliko Hezbollah, ndege za kivita, warships, Tanks, n.k lakini walitulizwa. Tanks zilipigwa, warship iliharibiwa n.k
 
Hezbollah imepambana na jeshi lenye kutumia ndege, warships, tank but wamepigwa na vifaa kuharibiwa.
Imagine Hezbollah wangetumia ndege vita hata 5 tu.
 
Alokwambia IRAN hawaishi kwa amani nani[emoji23][emoji23][emoji23]

IRAN kuna amani mpaka inamwagika sio ISIRAHELL pale.....
Hakuna mahala salama pa kuishi middle East km Iran....Mapinduzi ya Kiislam ya Iran,yamekuja kurudisha Iran ya miaka Great Persian Empire miaka 2000 iliyopita....."rich in Science and Art.."
 
Hakuna mahala salama pa kuishi middle East km Iran....Mapinduzi ya Kiislam ya Iran,yamekuja kurudisha Iran ya miaka Great Persian Empire miaka 2000 iliyopita....."rich in Science and Art.."
haina ubishi hii.....
 
Baada yakuona wameshinda kuwapiga HIZBULLAH wanaenda kuwavizia wakiwa SYRIA waingie full war kama 2006 ndio wataelewa.....
Nishakukataza kuwapangia Israel cha kufanya. Mwandikie Netanyahu maombi yako, na kama vipi mwambie Nasrallah avamie nayeye au arushe makombora.
 
Nishakukataza kuwapangia Israel cha kufanya. Mwandikie Netanyahu maombi yako, na kama vipi mwambie Nasrallah avamie nayeye au arushe makombora.
Mbna 2006 alirusha bila UN mngekiona chamoto zaidi yapale.
 
Mbona mwaka jana mwishoni Israel ilirusha mabomu Beirut ikilenga kambi zao? Au hukuona?
Hukuona na ile drone iliodondoshwa au[emoji23]!?

Wanajufanya kwenda beirut kote kwanini huko wkat majamaa wapo nao jirani tu mbona ?!.....
 
Hakuna mahala salama pa kuishi middle East km Iran....Mapinduzi ya Kiislam ya Iran,yamekuja kurudisha Iran ya miaka Great Persian Empire miaka 2000 iliyopita....."rich in Science and Art.."
Ni kweli mkuu Israel muda wote ni ving'ora, hamna amani, hutembei hatua 10 hujaona askari jeshi, yaani amani hakuna, kwenye anga unaona iron dome zinakimbizana na missiles muda wote.
Watu ni hofu tu na kujificha.
 
mfanoHezbolah hakushinda vita hapo hapakua na mshindi yeyote na wote walipata hasara, kumbuka kwamba hezbolah alijipanga muda mrefu sana kwa hyo vita na alikua ana mbinu mpya ambazo intelijinsia ya israel haikua inazijua kwanza mfano hawakujua kwamba hezbolah ana makombora mapya so israel ilimuunderrate hezbolah, sio kweli kwamba israel jeshi lake hua halishindwi hata yeye hua anapata heavy loss mfano yom kipur alivamiwa ghafla mpaka anakuja kukaa vizuri alikua keshapata loss kubwa tu ya watu na vifaa.


kumbuka kinachomsaidia israel kuwashinda maadui zake waarabu ni intelijinsia na si kingine, kama akifeli kwenye insytelijinsia ni vigumu sana kuwashinda kijeshi kwa sababu maadui wamemzunguka kila sehemu so akiziba upande huu atapigwa upande mwingine.

vita yeyote hata uwe na nguvu vipi lazima na wewe utapata defeat na ndio maana sasa hivi ili usipate hasara kwenye ardhi yako wanafanya proxy war na kwa hapo israel amefanikiwa sana nchini syria sasa katumia akili akafanya hezbolah aende kupigana syria badala ya kurusha makombora israel, ona sasa syria imebaki magofu nchi nzima, iran alienda kutengeneza proxy wake lebanon ambae ni hezbolah israel akaenda kutengeneza proxy wake nchini syria sasa hivi anapiga syria kila anapojisikia na hao hezbolah na iran hawamfanyi chochote sasa hapo mbabe ni nani?
Hehehehe

Kama unajidanganya kama kunasiku ISRAEL walilala ama walijisahau katika suala zima lakulinda usalama wataifa lao pole saba MKUU tena sana

Israel hajawahi kujisahau katika suala hili nasidhanii kama itatokea siku atajisahau

Kama walitokea kuzidiwa kwenye intelijensia nawanamgambo halafu mnawapa sifa mnazo wapa pia poleni sana

Kilamuda najaribu kuwapa jambo ambalo lipo wazi kwanini ISRAEL kapigwa nakwanini wanamgambo wameshinda

Achana na yom kapur tunaongelea 2006

ISRAEL waliwapelekea hasara hizbullah sana ila hizbullah walifikia malengo yao kamili sababu walikua wanataka wakamate wanajeshi wa ISRAEL nawalifanikiwa nawakataka wabadilishane wafungwa pia wakafanikiwa

Utasemaje hajapigwa nawanamgambo ?!

Jamaa walutumia ndege wakatumia meli wakatumia vifaru wakatumia kila kitu walibakisha atomic tu

Najamaa walivyoona hali si haki wakajiuzulu nakufukuzana kazi kwa aibu nahasara walozipata [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom