Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
Iran ana malengo yapi dhidi ya Israel?Sababu ya vita ilikuwa kukomboa wafungwa sio kuifuta Israel.
Lengo lingekuwa kuifuta, wangeifuta.
Kwa mujibu wa uzi Hezbollah na makundi mengine waliyoshiriki walitumia missiles za wapi?
.
Sasa mbona hawaifuti inapiga kila inayemtaka? Jordan, Lebanon, Syria na kwingineko anapita kama kwake.
Abdool kavae kanzu uende masjid ukapige madufu sina cha kujadili na wewe tena.Lakini alipigwa mpaka akasema naachia wafungwa.
Hata kama ni Mimi yaani bora uniue ila sio kipigwa na shoga.