Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

Hujui kama bado wapo KULE ama ?!

Tena walichukua mashamba ya Shebaa ambayo kwakiasi kikubwa yalikua chini ya ISRAEL.
Ahahaha!
hakuna hata mmoja ndio makubaliano ya UN yalitaka hivyo
 
Tatizo unapanic MKUU[emoji23][emoji23][emoji23]
Mashia akili zenu sijui huwa mnaweka kwenye makobaz.
.

Nini hiki? Sasa kama walifanikisha haya kwa kutumia vikundi vidooogo kwanini wasiende wao Iran front wakamalize mchezo?
Kwani malengo c yalifikiwa na watoto wabab mwenye nyumba ama[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Marekani anaweza akawa anachukua mafuta SYRIA halina ubishi ila mkakati Rasmi ulikua Kumtoa Assad madarakani Nandio maana Obama na Hillary wakati wapomadarakani wakawa wanasema AL ASSAD Must Go

Hatimae mpaka sasa toka 2011 Al Assad ndio rais wa SYRIA
Ni tricks tu, issue ni mafuta.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni tricks tu, issue ni mafuta.
yaani wewe unajua ni trick wakati wao walitangaza zaidi

Unajua trick zao kuliko rais wao KONGOLE[emoji4][emoji23][emoji2]
 
Tatizo unapanic MKUU[emoji23][emoji23][emoji23]Kwani malengo c yalifikiwa na watoto wabab mwenye nyumba ama[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kwanini mashia wakubwa wasimalize mchezo ili waishi kwa amani.
 
Utashushaje UCHUMI walebanon wakati tunaongelea ISRAEL vS HIZBULLAH hapa BOSS

Kwani vita ilihusisha serikali ya LEBNON ?!
Vita ilipigwa wapi, madaraja yalipogwa ni ya nani, uwanja wa ndege uliopigwa ni wa nani, oil depots za nani, vituo vya umeme ni vya nani? Hivyo vyote unasema ni vya Hezbollah?
Nani aligharamia restoration ya miundombinu iliyoharibiwa na IDF?
Au unasema madhara ya uchumi hayakuwepo kwenye vita hii.
 
Vita ilipigwa wapi, madaraja yalipogwa ni ya nani, uwanja wa ndege uliopigwa ni wa nani, oil depots za nani, vituo vya umeme ni vya nani? Hivyo vyote unasema ni vya Hezbollah?
Nani aligharamia restoration ya miundombinu iliyoharibiwa na IDF?
Au unasema madhara ya uchumi hayakuwepo kwenye vita hii.
Sijasema hakuna madhara ya UCHUMI nahuko kote alipotaka kukufanya nikuziba kushindwa kwake sababu DUNIA nzima inajulikana HIZBULLAH wanapatikana wapi pale LEBANON

Jamaa wakatafta pakujifichia vita ilikua wao Vs HIZBULLAH na HIZBULLAH wanajulikana wanapatikana wapi ange deal nao wao tu huko kwengine kawapiga changa lamacho kuficha kushindwa kwake.....
 
Hezbollah ni nothing kwa Israel, zaidi ya kujificha nyuma ya migingo ya wananchi wasio na silaha ili wasishambuliwe.
Baada ya vita ya 2006, Israel kaendelea kuitia adabu Hezbollah mara kibao

Sept 2008 Imad Mughnyeh, Chief Commander wa Hezbollah anauawa na Israel huko Damascus. Hii inamlazimu Hassan Nasrallah kuhamishia makazi yake ndani ya handaki kwa kuogopa kuuawa


January 2015 Jihad Mughniyeh, mrithi na mtoto wa Imad naye anauawa na kombora la Israel, Hezbollah kimya
Etc
Hezbollah haijibu
 
Sio lebanon ni HIZBULLAH ila pia ndio aliefanikiwa sababu alianzisha vita kwamalengo fulani namalengo yake yote yalifanikiwa kwa 100% je ISRAEL alifanikiwa kipi katika ile vita baada yakuanzisha mashambulizi ?!


Hizbullah walikua nalengo lakuanzisha vita nawakaanzisha kwakuteka askari wa IDF ambao kwamalengo kwamba waachiliwe wafungwa wao wakombolewe nakweli mwisho wasiku walibadilishana wafungwa walokua wanawataka nawale wa ISRAEL walowakamata

ISRAEL walijibu mashambulizi kwamalengo yakuwakomboa Askari wao walotekwa je walifanikiwa kuwakomboa kabla yausitishaji vita ?! Nakama hawajafanikiwa utahesabia walifanywa nini ?!

Ikumbukwe HIZBULLAH nikagenge tu chawatu sio jeshi RASMI lataifa husika.
Lengo la Hezbollah ni kuzuia influence ya Sunni nchini Lebanon na kuilinda dhidi ya Israel.
Israel sijui kama ana mpango wa kuongeza ardhi yake kwa wizi tena. Wasunni bado wapo, lazima Hezb wawepo na wamefanikiwa kuwazuia.
 
Hezbollah ni nothing kwa Israel, zaidi ya kujificha nyuma ya migingo ya wananchi wasio na silaha ili wasishambuliwe.
Baada ya vita ya 2006, Israel kaendelea kuitia adabu Hezbollah mara kibao

Sept 2008 Imad Mughnyeh, Chief Commander wa Hezbollah anauawa na Israel huko Damascus. Hii inamlazimu Hassan Nasrallah kuhamishia makazi yake ndani ya handaki kwa kuogopa kuuawa


January 2015 Jihad Mughniyeh, mrithi na mtoto wa Imad naye anauawa na kombora la Israel, Hezbollah kimya
Etc
Hezbollah haijibu
Sijui wataficha wapi aibu yao. Hezb wanapigwa muda wowote uko Syria na Lebanon kwenyewe.
Sema Nasrallah hatopigwa, Israel inamuacha siku zote.
images%20-%202020-06-07T110309.829.jpg
images%20-%202020-06-07T110011.265.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani wewe unajua ni trick wakati wao walitangaza zaidi

Unajua trick zao kuliko rais wao KONGOLE[emoji4][emoji23][emoji2]
Haya
 
Israel coward
Hezbollah ni nothing kwa Israel, zaidi ya kujificha nyuma ya migingo ya wananchi wasio na silaha ili wasishambuliwe.
Baada ya vita ya 2006, Israel kaendelea kuitia adabu Hezbollah mara kibao

Sept 2008 Imad Mughnyeh, Chief Commander wa Hezbollah anauawa na Israel huko Damascus. Hii inamlazimu Hassan Nasrallah kuhamishia makazi yake ndani ya handaki kwa kuogopa kuuawa


January 2015 Jihad Mughniyeh, mrithi na mtoto wa Imad naye anauawa na kombora la Israel, Hezbollah kimya
Etc
Hezbollah haijibu
Wameona kupigana full war wanapelekeshwa sasa wameona bora wawavizie kama simba na swala [emoji23][emoji23][emoji23]

2006 jamaa hatakaa aisahau hasa yule MKUU wamajeshi[emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lengo la Hezbollah ni kuzuia influence ya Sunni nchini Lebanon na kuilinda dhidi ya Israel.
Israel sijui kama ana mpango wa kuongeza ardhi yake kwa wizi tena. Wasunni bado wapo, lazima Hezb wawepo na wamefanikiwa kuwazuia.
HIZBU wakopale kupambana na kuzuia uwizi walokua jamaa vibaka wale wanauendesha wakuvamia vamia LEBANON kipuuzi nasasa wathubutu waone watakachopata zaidi yakile cha 2006
 
They're law unto themselves buda kilichotendeka ni kwamba walitangaza kurejea baada ya miaka 10 ila sio kweli.
ndio maana nakwambia pitia hapo najua hujapitia ila unabisha [emoji23][emoji23][emoji23]

ISRAEL coward.
 
Back
Top Bottom