100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
- Thread starter
-
- #61
Kwenye huu Uzi nimeweka video ya Netanyahu akizungunza naomba umsikilize halafu uje unambie alimaanisha niniUnazo takwimu za hii vita?? Jaribu kutuwekea walau kidogo kusapoti ushindi wa hezbollah, au andiko lolote linalosema hezbollah alishinda, hapo ntakubali bila shida.
Basena hivyo kwasababu hakuna kitu kama hicho, Israel "never and will never" submit to aterror group. Hezbollah alichakaa vibaya mno, kiasi cha kukubali kusaini makubaliano. Ntakuja na takwimu soon
Hujui tumeanzia wapi, unakuja tu na ku comment ili na wewe uonekane. iDiot pro Max.Yooooote hayo halafu Google unaita website. Idiot.
Ha ha ha ndugu hatujaja kutaka elimu hapa tuna share ujuzi na tulivyosoma maana hunijui na wala sikujui, ila ww tafuta usome halafu utarudi kutupa mrejesho. Siyo kazi yangu kuanza kukupa references kwa sababu siyo academic paper naanda hapa. Tatizo watu wengi tuko too emotional linapokuja swala la Israel. Kuna mahala ulisema mm ni muislam though huku-point moja kwa moja. Mm ni mkristo pure, lakin sina bias kwenye vitendo vya kinyama na vya kibabe Israel inavyofanyia waarabu. Na napinga sana watu wanaokaa muda mwingi na kusema Israel inatetea haki yake kwa kushambulia wapalestina. Mm kwa uelewa wangu na imani yangu ,Mungu wa kweli hana upendeleo na eti kwa sababu wewe ni mu Israeli halafu unaua an innocent Palestinian eti Mungu atakufumbia macho. Be a man of good caliber of good analysis, and unbiased when it comes to say the truth. Israel is not strong as it being claimed by western media nairudia. Na Israeli leaders hawapendi real Israelis lakin wanatetea hegemonic and emperialist interests za Marekani in the middle east.Mkuu Mimi ni developer na huwezi hata mara moja kunambia nikajifunze nipo mbali na ni mfuatiliaji mzuri sana wa tech,
Nime master.
Php
Node.js for back end
React.js
React native for mobile application(iOS & Android)
Express
WordPress
WooComerce
Laravel
Vanilla js
Jquery
Html5
Css3
XML
Vanilla.js
Am a full stack developer, wanaojua programming wanaelewa hizo language zina kazi gani.
Usifikiri una chat na mtu asie jielewa.
Naijua tech vibaya mno, huwezi hata kusimama na mimi ukisema nikuulize maswali.
Google ni website
Google ni kampuni pia
Google website kazi yake ni Ku search same to bing and yahoo au torch kwa tunaoingia dark-web.
Google ni multi a technology company but I was talking about google website.
Basi search most visited website mtandaoni kama hutoikuta google.
Acha ujuaji kaka, halafu nilisema huduma za INTERNET, sio walizuia Internet, unabishana na developer kuhusu Google, we una akili wewe?
Naona uelewa wako ni mdogo mno kuhusu middle east
Hezbollah sio serikali, ni kikundi mfano wa chama flani kinachoungwa mkono na kundi kubwa la Washia.
Hezbollah ni sehemu ya prox-wars zinazoongozwa na Iran dhidi ya Israel. Yaan Iran anadhamini vikundi vingi kugombana na Israel, mojawapo ni Hezbollah kwa upande wa Lebanon. Ni sawa na Houthi huko Yemen, Islamic Jihad huko Gaza etc
Kiufupi Hezbollah ni "nothing" zaidi ya kuonekana kikundi cha kigaidi kinachojificha kwenye migongo ya raia ili kujikinga na mashambulizi ya Israel. Israel haikupigana na jeshi la serikali bali kundi la Hezbollah
[/
Tatizo naona tunajadili in a layman's way, maana kusema ni therosit group, Israel also imekua terrorist group to innocent civilians in the middle east and kwa sababu in enjoy support of superpowers, all the ways to fight them are legal. The dividing line between what is legal and illegal is very thin and this is determined by the position of the observer, his beliefs, and the time and other factors. So hizo groups zote ni njia za kujihami na kumdhibiti Israel kuacha kujifanya kama beberu wa kiangazi in the middle east. Nasikitika sana wakristo wenzangu wanaofumbia macho manyanyaso ya wapalestina anaofanywa na Israel. Wake up and stand for the truth. Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa and this is sad. Kuwa na imani yako lakin isiwe tolerant kwa mambo mabaya
Ha ha ha hiyo Wikipedia hata ww sympathizer ukiwa bongo unaweza ku edit ukaandikwa whatever you want . we want an unbiased paper written by experts siyo hizo trashesThe 2006 Lebanon War, also called the 2006 Israel–Hezbollah War[47] and known in Lebanon as the July War[
The conflict is believed to have killed between 1,191 and 1,300 Lebanese people,[55][56][57][58] and 165 Israelis.[59] It severely damaged Lebanese civil infrastructure, and displaced approximately one million Lebanese[60] and 300,000–500,000 Israelis.[61][62][63]
On 11 August 2006, the United Nations Security Council unanimously approved United Nations Security Council Resolution 1701 (UNSCR 1701) in an effort to end the hostilities. The resolution, which was approved by both the Lebanese and Israeli governments the following days, called for disarmament of Hezbollah, for withdrawal of the IDF from Lebanon, and for the deployment of the Lebanese Armed Forces and an enlarged United Nations Interim Force in Lebanon (UNIFIL) in the south.
source: wikipedia
Ha ha ha hiyo Wikipedia hata ww sympathizer ukiwa bongo unaweza ku edit ukaandikwa whatever you want . we want an unbiased paper written by experts siyo hizo trashes
Wewe nakupa kama assignment tafuta they are plenty na utapata. Usiwe mvivu kama unataka kTupe ya kwako inayosupport claims zako
Haipo usisingizie assignment. Coz unachoamini hakipoWewe nakupa kama assignment tafuta they are plenty na utapata. Usiwe mvivu kama unataka k
Anamuuzia nani hayo mafuta !?Mh!! Wale wale!
Kwahiyo mshindi wa 2nd Lebanon war alikuwa Hezbollah? Rudi usome vizuri maandiko
Israel aliweza kuingia ndani kabisa ya Lebanon hadi mji mkuu wa Beirut, lengo kuimaliza Hezbollah. Ni kweli alipata losses kubwa kuliko 1st Lebanon war lakini hakushindwa.
Ni vile tu siasa za ndani za Israel, kelele za jumuia ya kimataifa na madhara ya vita viliifanya Israel iondoke ndani ya Lebanon bila kukamilisha mission yake. Ndo maana haichukuliwi kama ilishinda wala kushindwa.
Nakushauri usome maandishi bila bias, Iran team. Kwanza huwa nashangaa, kila muda Iran, ana nini zaidi ya pesa ya mafuta tu? Na bado hiyo pesa haijamsaidia kupata advanced weapons, atawatisha kina Yemen na Syria, not Israel
Soma vitabu na uandike facts sio ushabiki
Sema Israel ilifanya pupa kuingia vitani vinginevyo Hezibollah isingshinda vita hivyo!
Sasa mkuu unasemaje kwa sasa jinsi ambavyo Iran na vikosi vyake vya Hezibollah vinapokea kipigo cha IDF nchini Syria pamoja na kuwepo Russia huko?
Matakwa gani ?!Sir nipe link inayoeleza Israel kutimiza matakwa ya Hezbollah.
.
mkuu wa Majeshi wa Israel baada ya kutangaza vile tu akatimuliwa kazi mara moja na alidharauliwa sana.
Kwahio kama usipofanikiwa lengo lako katika jambo fulani unakua umeshinda ama umeshindwa MKUU ?!?...Uko biased
Israel hakukubali chochote toka hezbollah
2nd Levanon war iliingia katikati kabisa ya mji wa Beirut, sehemu kubwa ilikua "urban warfare" na madhara yaligeuka kuwa makubwa mno. Japo pia sikatai Israel ilipoteza askari na uharubifu kiasi
Kutokaba na uharibifu mkubwa Beirut na miji mingine, kelele za jumuia ya kimataifa ongezea kelele ndani ya Israel zililazimu UN kutengeneza green line kutenganisha Israel na Lebanon kukiwa na askari wake kulinda hilo eneo
Lebanon iliathirika vibaya mno, na haijawahi kukaa sawa hadi leo, lakiji pia Israel haikufanikiwa lengo lake
Nina submitt
Title ya uzi inasema Hezbollah alivyoshinda, huoni ajabu?Kwahio kama usipofanikiwa lengo lako katika jambo fulani unakua umeshinda ama umeshindwa MKUU ?!?...
Israel aliweza kuingia ndani kabisa ya Lebanon hadi mji mkuu wa Beirut, lengo kuimaliza Hezbollah. Ni kweli alipata losses kubwa kuliko 1st Lebanon war lakini hakushindwa.@Bwana Utam hawezi kuelewa yeye anajua Hezbolla walishinda
Kama anapigana namnalo liita kundi halaf anachemka ndio mnataka kumpiganisha na IRAN ?!Naona uelewa wako ni mdogo mno kuhusu middle east
Hezbollah sio serikali, ni kikundi mfano wa chama flani kinachoungwa mkono na kundi kubwa la Washia.
Hezbollah ni sehemu ya prox-wars zinazoongozwa na Iran dhidi ya Israel. Yaan Iran anadhamini vikundi vingi kugombana na Israel, mojawapo ni Hezbollah kwa upande wa Lebanon. Ni sawa na Houthi huko Yemen, Islamic Jihad huko Gaza etc
Kiufupi Hezbollah ni "nothing" zaidi ya kuonekana kikundi cha kigaidi kinachojificha kwenye migongo ya raia ili kujikinga na mashambulizi ya Israel. Israel haikupigana na jeshi la serikali bali kundi la Hezbollah
Angalia sababu zilizomfanya HIZBULLAH kuandikwa kwamba ameshindaAngalia
Title ya uzi inasema Hezbollah alivyoshinda, huoni ajabu?
Walinikera maana kimahesabu HIZBULLAH waliupiga mwingi ila kimiundombinu wamerejeshwa sana nyuma mpaka leo.....Lengo lilikia ni kuachiliwa kwa wafungwa ingawaje mpaka leo heshima ipo coz makombora 500 kwa day moja sio mas-hara, alafu kila day ilikua yanazidi kusogea miji ya mbali, pia kumbuka ilikua ni piga nikupige
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema Israel ilifanya pupa kuingia vitani vinginevyo Hezibollah isingshinda vita hivyo!
Sasa mkuu unasemaje kwa sasa jinsi ambavyo Iran na vikosi vyake vya Hezibollah vinapokea kipigo cha IDF nchini Syria pamoja na kuwepo Russia huko?