Kila mtu anauona ukweli, lkn anakwepa kuukubali ili asionekane mstaliti wa kambi (chama)
Kitendo cha mwenyekiti kustopisha operation zake ghafla baada ya Makonda kuapishwa, na kuahidi kula nae sahani moja kinamdhalilisha, kinamshushia heshima na kumfanya mwenyekiti aonekane ameisha kisiasa ndomaana anakwepa kuendelea na mikutano yake kama alivyokuwa amepanga.
Kwa kauli hiyo ya Makonda, Mbowe alitakiwa aendelee na mikutano yake ili kuuonesha umma wa watanzania kuwa Makonda si lolote, si chochote. Lakini sio kujificha, kunywea na kuja na hoja za hovyo kwa kuwaangushia jumba bovu mamlaka inayohusika na mambo ya hali ya hewa nk.