Ni juhudi gani zifanyike, ili kumzuia Makonda asiendelee kumdhalilisha Mwenyekiti Mbowe kupitia mikutano ya kisiasa?

Ni juhudi gani zifanyike, ili kumzuia Makonda asiendelee kumdhalilisha Mwenyekiti Mbowe kupitia mikutano ya kisiasa?

Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hakika kuna mambo ambayo yanaendelea katika faifa letu. Mambo ambayo yanadhalilisha, yanaumiza na kumvunjia heshima mtu ambae alikuwa anaonekana ana hadhi ya juu kichama, na kisiasa.

Kwa vile huyu anaedhalilishwa na kuvunjiwa heshima hana uwezo, wala ujanja wa kujitetea, acha basi sisi wengine tuje kutafuta watu ambao wataingia kazini kumtetea kiongozi huyo mkubwa wa kisiasa nchini.


Ni hivi ndugu zangu.., kabla ya katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Christian Makonda kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, kulikuwa na mikutano fulani ya hadhara iliyokuwa inafanywa na mwenyekiti wa Chadema taifa ndugu Freeman Mbowe.

Mikutano hiyo ilipewa jina la operation nini sijui, na ilitangazwa sana na chawa wake mwaminifu ambae sina haja ya kumtaja. Japo mikutano hiyo ilifanyika viwanjani na mitandaoni, lakini haikuonekana kuwashawishi watu wengi kuifatilia, na badala yake mwenyekiti alikuwa akijikuta anakusanya watoto wadogo na baadhi ya wanachama wake waliokosa shughuli za kufanya.

Kwa kutambua hali hiyo ilibidi mwenyekiti aongeze juhudi za kufanya mikutano yake kwa njia ya chopa, ili kuwavuta watoto na wale ambao walikuwa wanakwenda kushangaa chombo hicho cha mzungu kinavyoshuka, na kupaa angani bila kushikiliwa na kitu chochote chini.

Mikutano hiyo ya mwenyekiti ilikoma ghafla baada ya katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Makonda kuapishwa na kuapa kula sahani moja na mwenyekiti huyo wa chama kikuu cha upinzani nchini.

Ikumbukwe kuwa raisi Samia na Makonda waliahidi kumsaidia mwenyekiti huyo kwa hali na mali ili aweze kutimiza malengo yake ya mikutano, ila kwa ahadi ya kula nae sahani moja. Akimaanisha kwamba kila atapofika Mbowe, na yeye (Makonda) atatia mguu kusafisha uchafu utakaokuwa umeachwa na Mbowe alaf wawaachie wanachi wenyewe wachague pumba na mchele.

Sasa inasikitisha kuona Mbowe amefyata, na kuogopa kuendelea na mikutano kwa visingizio visivyokuwa na maana. Mara adai anasubiri vibali vya mamlaka ya hali ya hewa, mara mvua zinanyesha kana kwamba yeye maisha yake yote hutembelea chopa tu, hawezi kutumia gari kama wenzake kina Lisu, Makonda nk.

Mikutano miwili mitatu ya Makonda imeshamvunja nguvu mwenyekiti hadi kuamua kumsubiri Lisu arudi wapambane na mtu mmoja, je hiyo 2024 na 2025, si hali itakuwa mbaya kama pale mwembe yanga au mbagala!
Hiyo ccm ya kuisumbua cdm ilishapita, Sasa hivi cdm inabidi waangalie ni jinsi gani wataweza kupambana na vyombo vya dola, maana ndio hasa washindani wao.

Dhalimu alifanya mikutano hiyo hiyo ya kishamba na kupigia simu viongozi kuwapa maagizo, lakini ilipofika wakati wa uchaguzi ikabidi apore mchakato mzima.
 
Pumba tupu umeandika. Mikutano ya makonda inajaza makada na wanachama wa ccm tu tena wengine wanatolewa mbali kujaza mikutano tofauti na kina mbowe wanajaza wananchi halisi wenye kiu na mabadiliko ya kisiasa nchini
Kama nauona moyo wako unavyojitahidi kupambana na mkono wako, ili usiendelee kuandika uongo.

Moyo unakubali kwamba Mbowe anaogopa kuaibika kwa kukosa watu mikutanoni, huku mkono ukifosi kuandika uongo ili wenzako waone kuwa na wewe umejitahidi kuja kuokoa jahazi la mwenyekiti linaloonekana kuzama wakati wowote.
 
Hiyo ccm ya kuisumbua cdm ilishapita, Sasa hivi cdm inabidi waangalie ni jinsi gani wataweza kupambana na vyombo vya dola, maana ndio hasa washindani wao.

Dhalimu alifanya mikutano hiyo hiyo ya kishamba na kupigia simu viongozi kuwapa maagizo, lakini ilipofika wakati wa uchaguzi ikabidi apore mchakato mzima.
Toka 1995 mpaka leo 2023, bado mnategemea kujificha katika madai yale yale yalioanzishwa na kina Mrema, akafuatia Lipumba na sasa Mbowe, Lisu nk.

Cha kushangaza mkibahatika kupata wabunge wawili watatu hamzungumzii swala la kuibiwa kura. Ila mkiangukia pua kwenye uraisi ndio mnaanza tena kurudisha mziki wa miaka zaidi ya 28 iliyopita.

Mwl Nyerere aliwahi kusema kuwa mtu wa hovyo akikwambia jambo la kijinga, na wewe ukalikubali huku ukijua kwamba lile unaloambiwa ni ujinga, basi mtu huyo atakuona wewe ni zaidi ya mpumbavu wake.

Mngekuwa na akili mngewawajibisha kina Mbowe, na Lisu wake kwa kufanikiwa kuwafanya nyinyi wajinga wa kupokea uongo wao kila mara.

Ila kwa vile mmeangukia katika sifa ile aliyosema Nyerere basi, kila watapoangukia pua watakuwa wanakuja kwenu kuwambieni ujinga wakitegemea hakuna atakaepinga na kutaka kujua au kusikia ukweli kutoka kwao.

Mtu kama Lisu anajifanya ana misimamo uchwara, ila Mbele ya Lowasa alikubali kuburuzwa, na kugeuza kauli zake mwenyewe. Badala ya kuendelea na msimamo wa kauli zake, yeye akawa mtu wa kucheka cheka tu hovyo.
 

Attachments

  • bd7969cf298a2a0e75ea62f12095d465.jpg
    bd7969cf298a2a0e75ea62f12095d465.jpg
    50.7 KB · Views: 1
  • images (6).jpeg
    images (6).jpeg
    31.9 KB · Views: 2
Toka 1995 mpaka leo 2023, bado mnategemea kujificha katika madai yale yale yalioanzishwa na kina Mrema, akafuatia Lipumba na sasa Mbowe, Lisu nk.

Cha kushangaza mkibahatika kupata wabunge wawili watatu hamzungumzii swala la kuibiwa kura. Ila mkiangukia pua kwenye uraisi ndio mnaanza tena kurudisha mziki wa miaka zaidi ya 28 iliyopita.

Mwl Nyerere aliwahi kusema kuwa mtu wa hovyo akikwambia jambo la kijinga, na wewe ukalikubali huku ukijua kwamba lile unaloambiwa ni ujinga, basi mtu huyo atakuona wewe ni zaidi ya mpumbavu wake.

Mngekuwa na akili mngewawajibisha kina Mbowe, na Lisu wake kwa kufanikiwa kuwafanya nyinyi wajinga wa kupokea uongo wao kila mara.

Ila kwa vile mmeangukia katika sifa ile aliyosema Nyerere basi, kila watapoangukia pua watakuwa wanakuja kwenu kuwambieni ujinga wakitegemea hakuna atakaepinga na kutaka kujua au kusikia ukweli kutoka kwao.

Mtu kama Lisu anajifanya ana misimamo uchwara, ila Mbele ya Lowasa alikubali kuburuzwa, na kugeuza kauli zake mwenyewe. Badala ya kuendelea na msimamo wa kauli zake, yeye akawa mtu wa kucheka cheka tu hovyo.
Ni lini umewahi kusikia wapinzani wakiwa kimya kisa walipata viti kadhaa?
 
Ni lini umewahi kusikia wapinzani wakiwa kimya kisa walipata viti kadhaa?
Ni kawaida watu wengi wanaoshindwa uchaguzi sehemu mbali mbali duniani kulalamika kuwa wameibiwa, hata pale ambapo hapakuwa na wizi wowote juu yao.

Tumeona mpaka Trump kadai kuibiwa kura na mgombea wa chama cha upinzani.
Mambo mengine yanachekesha sana aisee 🤣🤣🤣
 
Habari wanajf.. Huyu kijana yupo kwa ajiri ya kazi maalumu.. msiumize sanaa vichwa sisi tumempa hiyo nafasi for reason... na kazi anaifanya kwelikweli.. safi sanaa..
 
Nafikiria Mbowe ameona mbali sana hadi kuamua kuachana na operation zake uchwara, alizokuwa ameziandaa kabla ya Makonda kuwa katibu mwenezi.

Hata kama mtu unashupaza shingo kumuepusha mwenyekiti na aibu lkn bado picha zipo na zinajieleza zenyewe 🤣🤣🤣
Wafu mnazikana
 
Kama nauona moyo wako unavyojitahidi kupambana na mkono wako, ili usiendelee kuandika uongo.

Moyo unakubali kwamba Mbowe anaogopa kuaibika kwa kukosa watu mikutanoni, huku mkono ukifosi kuandika uongo ili wenzako waone kuwa na wewe umejitahidi kuja kuokoa jahazi la mwenyekiti linaloonekana kuzama wakati wowote.
we uko kazini kufanya propaganda
 
kwamba wewe una ufahamu ama ndo kujidai kuwaza ki GT kumbe uharo tu

mkakati gani, ana kipi cha maana zaidi ya upumbavu
Umejibu kimhemko sana kiasi kwamba ni rahisi watu wenye akili ku notes kwamba una uoga fulani juu ya ujaji wa Makonda katika mambo ya siasa. Hadi kupelekea kuonesha hofu yako wazi wazi mitandaoni.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hakika kuna mambo ambayo yanaendelea katika faifa letu. Mambo ambayo yanadhalilisha, yanaumiza na kumvunjia heshima mtu ambae alikuwa anaonekana ana hadhi ya juu kichama, na kisiasa.

Kwa vile huyu anaedhalilishwa na kuvunjiwa heshima hana uwezo, wala ujanja wa kujitetea, acha basi sisi wengine tuje kutafuta watu ambao wataingia kazini kumtetea kiongozi huyo mkubwa wa kisiasa nchini.


Ni hivi ndugu zangu.., kabla ya katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Christian Makonda kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, kulikuwa na mikutano fulani ya hadhara iliyokuwa inafanywa na mwenyekiti wa Chadema taifa ndugu Freeman Mbowe.

Mikutano hiyo ilipewa jina la operation nini sijui, na ilitangazwa sana na chawa wake mwaminifu ambae sina haja ya kumtaja. Japo mikutano hiyo ilifanyika viwanjani na mitandaoni, lakini haikuonekana kuwashawishi watu wengi kuifatilia, na badala yake mwenyekiti alikuwa akijikuta anakusanya watoto wadogo na baadhi ya wanachama wake waliokosa shughuli za kufanya.

Kwa kutambua hali hiyo ilibidi mwenyekiti aongeze juhudi za kufanya mikutano yake kwa njia ya chopa, ili kuwavuta watoto na wale ambao walikuwa wanakwenda kushangaa chombo hicho cha mzungu kinavyoshuka, na kupaa angani bila kushikiliwa na kitu chochote chini.

Mikutano hiyo ya mwenyekiti ilikoma ghafla baada ya katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Makonda kuapishwa na kuapa kula sahani moja na mwenyekiti huyo wa chama kikuu cha upinzani nchini.

Ikumbukwe kuwa raisi Samia na Makonda waliahidi kumsaidia mwenyekiti huyo kwa hali na mali ili aweze kutimiza malengo yake ya mikutano, ila kwa ahadi ya kula nae sahani moja. Akimaanisha kwamba kila atapofika Mbowe, na yeye (Makonda) atatia mguu kusafisha uchafu utakaokuwa umeachwa na Mbowe alaf wawaachie wanachi wenyewe wachague pumba na mchele.

Sasa inasikitisha kuona Mbowe amefyata, na kuogopa kuendelea na mikutano kwa visingizio visivyokuwa na maana. Mara adai anasubiri vibali vya mamlaka ya hali ya hewa, mara mvua zinanyesha kana kwamba yeye maisha yake yote hutembelea chopa tu, hawezi kutumia gari kama wenzake kina Lisu, Makonda nk.

Mikutano miwili mitatu ya Makonda imeshamvunja nguvu mwenyekiti hadi kuamua kumsubiri Lisu arudi wapambane na mtu mmoja, je hiyo 2024 na 2025, si hali itakuwa mbaya kama pale mwembe yanga au mbagala!
Foolish
 
Udhaifu wa ccm siku zote ni ushindi kwa chadema. Ndio maana kipindi cha Magu waliegemea kwenye hoja ya kuzuiwa mikutano. Japo waliambiwa wabunge wapige tu mikutano bila shida.

Sasa hapa kati ccm imekuwa dhaifu mno kuwahi kutokea..kitendo cha makonda kuwapigia mawaziri simu, sijui makatibu,mara wakuu wa TRA,mara maRC na maDC katika hali ya kutaka kujua utekelezaji na hatua mbalimbali zinazochukuliwa kutatua kero na adha za wananchi kimewashtua mno chadema.

Wanaona wazi kifo chao cha mara ya pili baada ya kuanza kupata matumaini ya kufufuka.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Umeeleweka vizuri mkuu.
 
Habari wanajf.. Huyu kijana yupo kwa ajiri ya kazi maalumu.. msiumize sanaa vichwa sisi tumempa hiyo nafasi for reason... na kazi anaifanya kwelikweli.. safi sanaa..
Kila mwanasiasa yuko katika siasa kwa kazi maalumu. Hivyo kina Lisu wako katika siasa kwa kazi maalumu ya kuiondoa CCM madarakani hata kwa uongo, kwa kukataa au kupinga hata maendeleo ya wazi yanayoletwa na serikali ya CCM.

Pia Makonda na yeye yuko kwa ajili ya ku deal na kina Mbowe hata kuwazushia uongo wa kisiasa nk.

Hiyo ndio maana halisi ya siasa.
 
Kile anachopigania kinatekelezwa, ulitaka andelee. Chawa wa Bashite sasa mmepata kula na kunyaa
Sasa ivi mwenyekiti ana aibika sana kwa kukosa watu mikutanoni.
 

Attachments

  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    53.4 KB · Views: 1
  • images (5).jpeg
    images (5).jpeg
    33.7 KB · Views: 1
Back
Top Bottom