Ni kama Dotto Biteko kaanza kupewa heshima zaidi ya uwaziri mkuu kuzidi Majaliwa, hii haiwezi kuleta msuguano?

Ni kama Dotto Biteko kaanza kupewa heshima zaidi ya uwaziri mkuu kuzidi Majaliwa, hii haiwezi kuleta msuguano?

Naona tutarudi kule kipindi cha 1995, Waziri mkuu akiwa Msuya lakini watu walimtambua zaidi Mrema aliekuwa Naibu waziri mkuu

Kwa ninachokiona kwa hali ya sasa Dotto Biteko anaonekana ndie waziri mkuu zaidi kuzidi Majaliwa.

Yani hata ulinzi anaopewa tu sio kitoto.

Ana nguvu ya kutoa kauli zaidi ya Majaliwa

Ana ushawishi zaidi kuliko Majaliwa

Naona meza yaweza kupinduliwa Majaliwa awe Naibu na Biteko awe waziri mkuu

Je unajua walinzi wa PM wapo wangapi mpaka unaona kuwa VPM anaulinzi mkali kuliko? Au umewaona hao wenye suti ndiyo ukajua ni walinzi wote ? nimeangalia clip haraka nimwaona kama 6 wengine hapo siyo lazima wawe ni walinzi kuna katibu wake . Pili unapozungumzia ulinzi inategemea pia ni mazingira yapi na siyo lazima wote wavae suti kama ulivyofikiria. Sasa niambie PM anakwenda JNICC unadhani watakuwa walinzi 10 tu? PM anaenda Ofisini kwake unategemea atakuwa na walinzi 20? PM ananeda sehemu yenye mkusanyiko Mkubwa unategemea awe na walinzi 10?

Pili ulinzi unashirikisha hata polisina kikosi cha ulinzi wa viongozi. Kuna advance team ambao siyo rahisi kuwajua so usije dhania kuwa sijui ulinzi wa huyu ni mkubwa kamzidi huyu hakuna anayejua.
Nimeona hii topic leo imetrend sana , ila kumbuka huyu ni Naibu waziri mkuu kutokana na cheo chake anastahili ulinzi.
 
Naona tutarudi kule kipindi cha 1995, Waziri mkuu akiwa Msuya lakini watu walimtambua zaidi Mrema aliekuwa Naibu waziri mkuu

Kwa ninachokiona kwa hali ya sasa Dotto Biteko anaonekana ndie waziri mkuu zaidi kuzidi Majaliwa.

Yani hata ulinzi anaopewa tu sio kitoto.

Ana nguvu ya kutoa kauli zaidi ya Majaliwa

Ana ushawishi zaidi kuliko Majaliwa

Naona meza yaweza kupinduliwa Majaliwa awe Naibu na Biteko awe waziri mkuu
Hakuna msuguwano, nahisi hali ya kiafya ya Majaliwa siyo nzuri, anahitaji sana usaidizi.
 
Huu mchezo ni mbinu ya kutupata sisi wa kanda ya ziwa lakini tuna akili nyingi kuliko waliobuni hii mbinu ya kitoto,kifupi ni kuwa hatudanganyiki. Haya matusi na dharau toka Zanzibar yamezidi kutufumbua macho Watanganyika.
 
Naona tutarudi kule kipindi cha 1995, Waziri mkuu akiwa Msuya lakini watu walimtambua zaidi Mrema aliekuwa Naibu waziri mkuu

Kwa ninachokiona kwa hali ya sasa Dotto Biteko anaonekana ndie waziri mkuu zaidi kuzidi Majaliwa.

Yani hata ulinzi anaopewa tu sio kitoto.

Ana nguvu ya kutoa kauli zaidi ya Majaliwa

Ana ushawishi zaidi kuliko Majaliwa

Naona meza yaweza kupinduliwa Majaliwa awe Naibu na Biteko awe waziri mkuu
Ni utapanyaji wa fedha za umma.
 
Back
Top Bottom