Ni kama kuvunja miiko ila hakuna namna, Wazazi tutumie mbinu zipi kuwaelimisha watoto kuhusu mapenzi kuwalinda na kizazi hiki

Ni kama kuvunja miiko ila hakuna namna, Wazazi tutumie mbinu zipi kuwaelimisha watoto kuhusu mapenzi kuwalinda na kizazi hiki

Huwezi labda mkakae Lindi ndani ndani kule mtaa nnaokaa, watoto wadogo chini ya miaka 17 washaanza unga vikojoleo(wengi wakiwa sec)

ilihali mie nilianza sex nna miaka 26

sehem niliyopo hakuna binti 18+ asiye na mtoto, na wote ni singo maza
Mh
 
Kama unampenda mwanao mweke mbali na smart phones na Social networks, mpaka atakapo vuka 18 au kodato cha sita.

Hamna sehemu mbovu kama social networks, vijana wadogo wanapenda kuiga vinavyo fanyika katika social networks ambavyo kwa asilimia kubwa huwaga ni fake, havimfunzi chochote zaidi ya kuharibu mind yake.

Husiache kuongea na kumfunza ajue ni maana ya maisha,thamani ya utu wake haufanani na kitu chochote, apiganie ndoto zake na mweke karibu na Mungu.
 
Back
Top Bottom