mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Kazi yeyote iliyo kinyume na sheria.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora awe bamaid kuliko polisiHabari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k
Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
Kubambikia watu kesi za uongo.Polisi Wana dhambi nyiee🙌
Kwani police officers wote wana tabia hizo ?Kubambikia watu kesi za uongo.
Kuuza chini (kama ni wa kike)Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k
Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
Kwani ualimu unashida ipi?Ualimu ingekuwa ya kwanza mkuu
Kwahiyo hizi kazi zote ulizozitaja hapa ndiyo zenye pesa nyingi?Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k
Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
Bila kuathiri uendelevu wa mada; Mm siongezi ila Namba 4 iondolewe na badala yake iwekwe kazi ya salon na massage.Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k
Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
Kwanini ualimu kiongoziUalimu ingekuwa ya kwanza mkuu
Hii list haikamiliki bila ualimu. Usi ovelook chuo kikuu sio ualimu.Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k
Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
Nilisikitika sana police level ya rpc akifanya uovu kama huo. Mwanzoni nilidhani wa ngazi za chini tu.Kubambikia watu kesi za uongo.
Salon na Massage nakuunga mkono kabsa ila no 4 wengi wanateswa sana mzeeBila kuathiri uendelevu wa mada; Mm siongezi ila Namba 4 iondolewe na badala yake iwekwe kazi ya salon na massage.
Hawatumii Akili, Hekima na Busara zao. Wengi wao hudhani kwa kujirahisi kwa maboss ndo mambo yatawaendea vizuri (kwa vi-Nights out watakavyopewa kwa kufuatana na boss safarini) wanasahau huyo bosi siye aliyewaajiri. Boss nae ni mwajiriwa sawa kama wao. Hawatosheki na kile kidogo(Mshahara) wanachokipata.Salon na Massage nakuunga mkono kabsa ila no 4 wengi wanateswa sana mzee