Ni Kazi gani ambazo hutaki mtoto wako aje kufanya.??

Ni Kazi gani ambazo hutaki mtoto wako aje kufanya.??

Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k

Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
Bora awe bamaid kuliko polisi
 
Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k

Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
Kuuza chini (kama ni wa kike)
 
Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k

Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
Kwahiyo hizi kazi zote ulizozitaja hapa ndiyo zenye pesa nyingi?
 
Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k

Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
Bila kuathiri uendelevu wa mada; Mm siongezi ila Namba 4 iondolewe na badala yake iwekwe kazi ya salon na massage.
 
Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k

Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
Hii list haikamiliki bila ualimu. Usi ovelook chuo kikuu sio ualimu.
 
Bila kuathiri uendelevu wa mada; Mm siongezi ila Namba 4 iondolewe na badala yake iwekwe kazi ya salon na massage.
Salon na Massage nakuunga mkono kabsa ila no 4 wengi wanateswa sana mzee
 
Salon na Massage nakuunga mkono kabsa ila no 4 wengi wanateswa sana mzee
Hawatumii Akili, Hekima na Busara zao. Wengi wao hudhani kwa kujirahisi kwa maboss ndo mambo yatawaendea vizuri (kwa vi-Nights out watakavyopewa kwa kufuatana na boss safarini) wanasahau huyo bosi siye aliyewaajiri. Boss nae ni mwajiriwa sawa kama wao. Hawatosheki na kile kidogo(Mshahara) wanachokipata.
 
Back
Top Bottom