Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Kibok kabisa ahahahaAsiwe MTM kwa lamasela. Awe amefunuafunua vitabu PW, Chini ya hapo asithubutu🤣 vinginevyo awe mtoto analilia nini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibok kabisa ahahahaAsiwe MTM kwa lamasela. Awe amefunuafunua vitabu PW, Chini ya hapo asithubutu🤣 vinginevyo awe mtoto analilia nini.
Hongera sana MkuuNdo mana nkasema hata km zna pesa staki aje kufanya pesa si kila kitu mumy
HakikaUalimu nadhani ni kazi takatifu Yesu alikuwa mwalimu sema serikali ya ccm ndio inafanya hii kazi idharauliwe.
Atajua hajui 🥴Binti yangu anachukua diploma in Special Education.
Pia haifai?
🤣🤣🤣😔Kwa kweli 😆😆😆
Atarudi hapa kwao, bado wadogozake wanakua na kuna vyombo....Atajua hajui 🥴
🤣🤣🤣Acha ukorofi huo....Atarudi hapa kwao, bado wadogozake wanakua na kuna vyombo....
Kabisa aisee ualimu uheshimiwe banaUalimu nadhani ni kazi takatifu Yesu alikuwa mwalimu sema serikali ya ccm ndio inafanya hii kazi idharauliwe.
Chawa wana hela wewe Kaa kimasta.9. Uchawa
Mbona na madalali nao wana hela tu then chawa na dalali somehow hawana utofauti sanaChawa wana hela wewe Kaa kimasta.
Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k
Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje PolisiKazi ya Upolisi...Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k
Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
Dalali anadanganya anadhurumu manufaa huu ni wizi wa aina yake,Mbona na madalali nao wana hela tu then chawa na dalali somehow hawana utofauti sana
Sawa kiongoziKwangu mwanang kazi yoyote ruksa Cha msingi asivunje sheria za nchi mana kumpangia nini Cha kufanya ni hatari endapo akapata changamoto hata kidogo kwenye kazi yake uliyomchagulia