Ni Kazi gani ambazo hutaki mtoto wako aje kufanya.??

Ni Kazi gani ambazo hutaki mtoto wako aje kufanya.??

Kazi ya Upolisi
Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k

Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje Polisi
Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k

Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
Kazi ya Upolisi...
 
Mbona na madalali nao wana hela tu then chawa na dalali somehow hawana utofauti sana
Dalali anadanganya anadhurumu manufaa huu ni wizi wa aina yake,
Chawa anapewa na Boss fairly kabisa, Kama tu Petro alivokua chawa wa Yesu.
 
Kwangu mwanang kazi yoyote ruksa Cha msingi asivunje sheria za nchi mana kumpangia nini Cha kufanya ni hatari endapo akapata changamoto hata kidogo kwenye kazi yake uliyomchagulia
 
Kwangu mwanang kazi yoyote ruksa Cha msingi asivunje sheria za nchi mana kumpangia nini Cha kufanya ni hatari endapo akapata changamoto hata kidogo kwenye kazi yake uliyomchagulia
Sawa kiongozi
 
Back
Top Bottom