Ni Kazi gani ambazo hutaki mtoto wako aje kufanya.??

Ni Kazi gani ambazo hutaki mtoto wako aje kufanya.??

Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k

Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
Siasa.
 
Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k

Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
Kazi za ccm
 
Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k

Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
Mbona ndo kazi za Pesa hizo
 
Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k

Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
1
 
Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k

Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
Polisi
 
Mama yangu alinikatalia kwenda kusoma chuo cha Diplomasia baada ya kupeleka maombi ya kupata ujuzi/elimu.
Nakumbuka nililetewa barua kuwa natakiwa kuanza masomo tarehe ../../19..

Ikabidi nimsikize Bi Mkubwa, enzi hizo mzazi anasauti kubwa na maamuzi kwa mtoto si kama sikuhizi.
Ila maji hufuata mkondo....🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️.
 
Back
Top Bottom