Ze_Papirii
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 558
- 1,117
- Thread starter
- #41
Kwani kuuza uchi ni kazi inayotambulika.?Kuuza chini (kama ni wa kike)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuuza uchi ni kazi inayotambulika.?Kuuza chini (kama ni wa kike)
Siasa.Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k
Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
😂daahh upolisi kweli jauuBora awe bamaid kuliko polisi
Kazi za ccmHabari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k
Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
Hahaha. DaahPolisi Wana dhambi nyiee🙌
Binti yangu anachukua diploma in Special Education.Ualimu ingekuwa ya kwanza mkuu
Kama ya Lucas, Chiembe na Choicevariable bila kumsahau Tlaatlaa na KadhiMkuuKazi ya kuanzisha threads jf
Mbona ndo kazi za Pesa hizoHabari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k
Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
1Habari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k
Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...
Ndo mana nkasema hata km zna pesa staki aje kufanya pesa si kila kitu mumyMbona ndo kazi za Pesa hizo
Kumbe nayo ni kazi😁Kazi ya kuanzisha threads jf
🤣Nisingependa mwanangu atengeneze ID fake jfKazi ya kuanzisha threads jf
Ualimu nadhani ni kazi takatifu Yesu alikuwa mwalimu sema serikali ya ccm ndio inafanya hii kazi idharauliwe.Ualimu ingekuwa ya kwanza mkuu
PolisiHabari wanaJF
Bila kupoteza muda hizi ndyo kazi ambazo sitamani kabisa mwanangu aje kuzifanya hata kama zina pesa nyingi.
1.Polisi
2.Barmaid
3.Muigizaji(Kwa mtoto wa Kike)
4.Secretary wa MaBoss
5.Jaji/Hakimu
6.Referree
7.Usalama
8.Mhudumu wa Ndege n.k
Ongezea zako mdau hata km ww unaifanya ila hutamani mwanao aje aifanye...