kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Tatizo lako ni yale maagano ya kuungana na kuwa mwili mmoja, utabakije nusu mwili? Hivyo mme au mke ni muhimu zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😊😊😊☺️🤗🤗🤗🤗🤗
Niko upande wa pili wa karne.Una umri gani Mkuu?
Kweli kabisaa ila ni depression anayopitia inamfanya aseme huo ujingaa ila mzazi anaumaa hata kama iwe unajitegemea kimaishaa.Pole sana Mkuu, kama una nafasi ya kubadilisha mazingira fanya hivyo nyumba kodisha. Inaweza kukusaidia kuanza upya sasa hivi ni ngumu sababu nyumba ni ile ile, ndugu ni wale wale na wapo pale pale, marafiki ni wale wale. So kila utachofanya taswira ya mwenzio lazima ije, badili mazingira ukiweza!!
NB: Wanao ndiyo wanaona umuhimu wa mzazi ila wewe unaona umuhimu wa mke. Huoni umuhimu wa wazazi sababu ulishajitegemea
Pole sana mkuu...!Pole sana mkuu sio rahisi kukuelewa mimi nina ya tofauti nina umri wa 33 nimeshafiwa na watoto wawil;i asikuambie mtu hayo maumivu yake sio ya kuhadidhia, nlikuja gundua kumbe ndio maana mzee anafiwa na ,mwanae mwenye wajukuu bado analia uchungu hauelezeki. NB WAMEZALIWA WAKAISHI SIO MIMBA KUHARIBIKA mwenyenzi mungu alawalaze mahala pema peponi.
Maumivu ya kuondokewa na mzazi hayapimiki aisee, binafsi yananitafuna ndani kwa ndani, sijawahi kupata relief.Kweli kabisaa ila ni depression anayopitia inamfanya aseme huo ujingaa
Mama yangu haipiti siku sijamuwazaaa..[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Hapana aiseee kifo kitu kibayaa sanaaMaumivu ya kuondokewa na mzazi hayapimiki aisee, binafsi yananitafuna ndani kwa ndani, sijawahi kupata relief.
Pole sana mkuu, tunapitia the same situation. Naumia zaidi nikiwaza namna alivyoondoka, watu wabaya sana jamani.Mama yangu haipiti siku sijamuwazaaa.Hapana aiseee kifo kitu kibayaa sanaa
Kwa kweli Mkuu, yaani anafananisha mapenzi ya Wazazi na hawa Wanawake tunaogongewa kila siku 🙌Kashawaambia kachanganyikiwa kwahyo hajielewi
Umemaliza.Mkuu mkuu usikufuru kama hauoni umuhimu wa mzazi potezea na sio kuanza kumuombea kifo kisa mtu uliyekutana nae ukubwani. Mzazi ana umuhimu wake na mke,mume ana umuhimu wake pia. Jambo usilolijua au kulifahamu asilimia kubwa ya wanawake wapo tayari kumpoteza Mume na sio mtoto au mzazi wazazi wake.
Pole kwa msiba
asante sana mkuu.Pole sana mkuu...!
Yanini hiyo miaka!Una miaka mingapi ya ndoa ?
Watoto wakikua wataelewa , halafu kwao ni rahisi sana ku move on,Vaa viatu vya watoto wako mkuu, waambie ni heri wao wamefiwa na mama yao kuliko wewe uliyefiwa na mke uone kama watakuelewa. Na kama huoni umuhimu wa wazazi basi maisha yako yalikuwa boarding school.
Pole sana mke anauma hasa ukiwaangalia watoto wanapomkosa mama yao. Ila jitahidi kuwa strong maisha yaendelee kwa faida ya watoto vinginevyo utawaacha kwenye ulimwengu wa peke yao.
Nikweli kabisa, mtu akishapata mwenza kaoa au kuolewa ule ukaribu wa ndugu au wazazi hupungua hata mawasiliano hupungua, mzazi utawaailiana naye mara 1 au 2 kwa siku lakini mpenzi hata mara mia na haukinai kabisa.Shida si kukubali, inategemea bna personal attachment na huyo aliyeondoka., Mchango wake kwako watoto na kadhalika, kuna wenza uwepo wao nibzaidi ya nyota kwako, mnafanya mambo mengi ya maendeleo naye mnalala naye na pengine ni msiri wako wa ndani, huyu akiondoka duniani si rahisi kukubali .
Mzazi kama mzazi , ni rahisi sana ku move on maana kifo kinajulikana .mzazi hulali naye na wala hawezi kukufanyia ya mkeo .
Nb kama hamkufanya chochote cha maendeleo na mkeo , halafu akafariki , ni tofauti . Mtoa mada anaposema hata akiingia chumbani kuwa anasikia harufu ya mkewe maana yake kuwa walifanikiwa kujenga , angekuwa amepanga hilo lisingetokea , maana angehama tu nyumba.
At least tuwe kwenye same page!! kama huna ndoa
Hapa nimekuelewaHata mi nimemuelewa sana na ni katika vitu vinasononesha sana .
Wazazi tunawapenda na kuwathamini, lakini for the sake of life huwa tunawaacha na kwenda kuanzisha maisha yetu mapya na wenza wetu , . Hiyo ni hatua ya kwanza ya kujiondoa kwao. , Ukiingia kwenye ndoa tayari kunakuwa na maamuzi ya kindoa na wazazi by default wanakuwa wako mbali na kinachoamuliwa au kufanyika kwenye ndoa.
Typical men huwa wanaondoka nyumbani kwa namna moja au nyingine wakiwa na miaka 13 hadi 18, na ndo muda mahusiano ya kindoa yanapoanza .
FactJambo usilolijua au kulifahamu asilimia kubwa ya wanawake wapo tayari kumpoteza Mume na sio mtoto au mzazi wazazi wake.
Polee kwani bado hujapata mke? Si umeshaoa ww2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito, nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni, nimeenda kwa psychologist lakini wapi.