Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Kwahiyo wewe ulisahau hapo hapo? Au nisababu ya umri wako ulikuwa mdogo!Baba na nikiwa mdogo
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wewe ulisahau hapo hapo? Au nisababu ya umri wako ulikuwa mdogo!Baba na nikiwa mdogo
Pole muombe Mungu akupe faraja na moyo wa ujasiri peke yako huweziMaumivu ya kuondokewa na mzazi hayapimiki aisee, binafsi yananitafuna ndani kwa ndani, sijawahi kupata relief.
Maneno mazito hayo!Mkuu mkuu usikufuru kama hauoni umuhimu wa mzazi potezea na sio kuanza kumuombea kifo kisa mtu uliyekutana nae ukubwani. Mzazi ana umuhimu wake na mke,mume ana umuhimu wake pia. Jambo usilolijua au kulifahamu asilimia kubwa ya wanawake wapo tayari kumpoteza Mume na sio mtoto au mzazi wazazi wake.
Pole kwa msiba
wengi hatukulijua hili jambo, aiseeee [emoji848]Jambo usilolijua au kulifahamu asilimia kubwa ya wanawake wapo tayari kumpoteza Mume na sio mtoto au mzazi wazazi wake.
huezi kupata ahueni mpaka upate replacement yake, huezi2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito, nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni, nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
sasa kila mtu na akomae na wake😂😂Baba/ Mama ni mke/mume wa mtu mwingine.
Baba yupo wapi?Juzi kuna clip nilikuwa nasikiliza inasema hivi
In life you must remember 3 things.
1. Remember all the people you love, they will once die, so show them love before they die.
Aliongea ya 2 na ya 3 ila hii iliniuma sana.
nikapiga picha family yangu nikamuwaza mama nilijikuta nalia nikampigia mama akapokea huku ananiimbia ( mara nyingi anafanyaga hivyo)
Nikajisemea dah ipo siku sitokuwepo au yeye hatokuwepo.
Nikawa namsikiliza tu na nyimbo zake,mara akaita, weee dada mbona naimba mwenyewe uko kimya? Nikamjibu mama niko busy nikasikia sonyo refuuuu nfyuuuxxxxxx! Kama ulikuwa busy kwa nini ulinipigia?
Akasusa akakata simu kisa alivyokuwa ananiimbia sikumpokea kwa kuimba [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ati haya yote kuna siku hayatakuwepo dah.
Kumbe alikuwa amejiunga dk zake 300 na zinakaribia kuisha muda wake[emoji1787]
Amewapigia wadogo zangu wengine hawapokei.
Mara naona ananipigia lawama kibao.
" nilijiunga dk zangu zinakaribia kuisha muda wake nawapigia akina fulani wote hawapokei ipo siku watanikumbuka, ipo siku hawataona no ya mama akiwapigia simu, siku nikifa ndo watajua umuhimu wa simu zangu[emoji28]
Nikamuuliza kwani ulitaka kuwaambia nini? eti kuwasalimia tu[emoji28] " najua mwanangu wewe hukaagi mbali na simu yako ukimaliza kazi zako nipigie" nikajua huyu hana lolote ana umbea wa huko kijijini kwetu anataka kutusimulia.
Anyway mleta mada pole sana ila na mzazi ana nafasi yake muhumu hasa ukiwa nae karibu.
Pole sana2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito, nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni, nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Kwani mama sio mwanamke?Kwa kweli Mkuu, yaani anafananisha mapenzi ya Wazazi na hawa Wanawake tunaogongewa kila siku [emoji119]
kwenye reaml nyinyi ni kitu kimoja na ulipo toka haiesabu ni kwa mwanamke fulaniMake unaweza kuoa mwingine,Mama utampata wapi?
Ha ha ha nachangia ninacho kiishi mkuuAt least tuwe kwenye same page!! kama huna ndoa
ndo maana wivu wa mapenz unauwaHakuna replacement ya mzazi.
Pole sana
Jamaa naona kufiwa kumemharibu mpaka ubongo! Atulie tu atasahau! Amekosea sana kutolea mfano mzazi!Make unaweza kuoa mwingine,Mama utampata wapi?