Kiminyio 01
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 1,389
- 2,025
Hujapiga chini!?Mchumba wangu alipata miscarriage, aliumia sana. Ajabu akaniambia ni bora angenipoteza mimi! I was perplexed! Since then I learned mke siyo ndugu yako. They're too selfish.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujapiga chini!?Mchumba wangu alipata miscarriage, aliumia sana. Ajabu akaniambia ni bora angenipoteza mimi! I was perplexed! Since then I learned mke siyo ndugu yako. They're too selfish.
Pole sanaPole sana.
Ingawa kwangu nahisi wazazi inauma zaidi maana tuna baba mmoja tu na mama mmoja… Paka leo huwa naweweseka nikikumbuka moment na dingi yangu
Hata umwambie aoe utamskia anasema nitampata wapi mwingine kama Mama yenu?Ntamwambia dingi aoe mwingine
Duuuh huu ushauri kiboko!Anza kupiga mabaa medi utakuwa sawa tu
Mkuu pole sana. Nakuelewa sana hasa kama mke ni mtu mliyekuwa mnaelewana sana. Nakumbuka wife aliwahi kulazwa cku 5 kwangu ilikuwa ni kama miaka 10. Niliteseka sana kukaa nyumba bila mke kwa mwanaume ni mtihan sana.2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Duh, Mungu wa mbinguni akupe faraja ya kweli. Kuna nyakati ukiwaangalia watoto ndio wanazidi kukumbusha na kuleta maumivu. Mmmmmghhh majaribu mengine, pole sana2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Pole Sana huwezi kusahau Kwa uraisi lakini inakubidi kuukubali ukweliPole sana
Duh! Mkuu wote muhimu mno. Labda mke au mme yakuwa nzito sababu ya zile Kuta nne. Wote inauma sis...2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Aliyefiwa na mke anaitwa mgane,aliyefiwa na mume ndiye mjane kama sijakosea.Pole sana mjane
Inauma sana
Tatizo ni zambi kwa Muumba ila inasaidia sanaDuuuh huu ushauri kiboko!
Kumbe waelewa kwamba ni dhambi kwa muumbaTatizo ni zambi kwa Muumba ila inasaidia sana
Nafahamu sanaKumbe waelewa kwamba ni dhambi muumba
Kama mwezi hivi tangu afariki, nilikuwa namwona, kumbe kichaa changu tu.2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Nilimuacha zamani sana.Hujapiga chini!?
Wewe umefiwa na nani wa karibu ukakubali mapema ?