KabisaHata Messi maestro lapulga anamkubali Neymar kupita maelezo ndomaana Neymar baada ya kutimka pale new camp lapulga alifadhaika sana.
Note; wakitaka kujua kuwa Neymar mtu na nusu baada ya kuondoka pale Barca ,,akaletwa Coutinho akafeli haikutosha wakamchukua na dembele Naye pia akafeli kuvaa viatu vya Neymar.
Kumbuka Coutinho na dembele wote walitoka kwenye team zao wakiwa wamoto.
kumbuka ; Neymar ametoka katikati ya vita ya Nike na Adidas ambao walikuwa wanatangaziwa biashara zao na Messi na cr7. Hapo Kila kampuni ilitaka mchezaji aliyechini yao kushinda balloon d' or.
nb: KAMA HUNA D' HATA YA SOMO LA DINI HUWEZI KUELEWA.
Huyo Neema anazidiwa hata na Robinho tu Kwa udambwi......Wazee Leo nimebishana na mtu umu in comments anadai ZIDANE was talented than MESSI nikiangalia hoja zake nikimuwekea statistics anakataa individuals achievements pia anazikataa nikimuuza kipaji kwako ni Nini haeleweke nikapata CONCULUSION kuwa anaongea skills ule UDAMBWI .
Sasa katika uwanja wa skills udambwi hao niliowataja Kuna kitu Gani wamemzidi NEYMAR JR?
Tuachane na kule kukalilishwa kuwa Neymar ni bishoo bishoo
Wakati wewe unasema hivyo Gaucho mwenyewe anampa kijiti Okocha.Tatizo umekuja na majibu Yako, ila Gaucho ni Nabii wa Ufundi wote wa
mpira hajawahi tokea mwingine.
Unauhakika bibi yako hakuwa na tatizo la akili?Bibi yangu aliwahi kuniuliza yule anaecheza mpira muda wote anacheka huko Afrika kusini hayupo Timu ya Taifa daah nikagundua kama Bibi ana uwezo wa kukagua yupi bora mimi nani nimbishie aisee..
Duh! Wewe utakuwa ulikuwa unamsikiliza robinho redioni robinho flop wa man city unamlinganisha na Neymar?Huyo Neema anazidiwa hata na Robinho tu Kwa udambwi......
Gaucho is the best. Neymar hastahili kufungua japo kamba za viatu vya gaucho.Wazee Leo nimebishana na mtu umu in comments anadai ZIDANE was talented than MESSI nikiangalia hoja zake nikimuwekea statistics anakataa individuals achievements pia anazikataa nikimuuza kipaji kwako ni Nini haeleweke nikapata CONCULUSION kuwa anaongea skills ule UDAMBWI .
Sasa katika uwanja wa skills udambwi hao niliowataja Kuna kitu Gani wamemzidi NEYMAR JR?
Tuachane na kule kukalilishwa kuwa Neymar ni bishoo bishoo
Acha utoto .... Kumbe umeanza kumuona Robinho Man City...Duh! Wewe utakuwa ulikuwa unamsikiliza robinho redioni robinho flop wa man city unamlinganisha na Neymar?
Neymar hakuna alipoenda aka fail
Robinho skills zake ni average mno namuweka kundi la Ben arfa
Robinho amewai kufunga magoli kwenye ligi zote kubwa hapa ulimwenguni.Duh! Wewe utakuwa ulikuwa unamsikiliza robinho redioni robinho flop wa man city unamlinganisha na Neymar?
Neymar hakuna alipoenda aka fail
Robinho skills zake ni average mno namuweka kundi la Ben arfa
Mbona neymar kamzidi number zote gaucho?Gaucho is the best. Neymar hastahili kufungua japo kamba za viatu vya gaucho.
Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
Gaucho ni pure talent akiwepo uwanjani anakupa matokeo muda wowotee.Mbona neymar kamzidi number zote gaucho?
Basi hayupo juu ya Neymar sasaGaucho ni pure talent akiwepo uwanjani anakupa matokeo muda wowotee.
The different is gaucho hakucheza kwa muda mrefu pesa anasa starehe zikamfanya kua bonge likewise Ronaldo de Lima bila kusahau injury.
Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
Naunga mkono hoja mtaniKama ni udambwi udambwi tu basi kwangu mimi sijaona wa kumfikia Ronaldinho, ila tukija kwenye rekodi hebu muambie huyo jamaa yako aache kuvuta hicho anachovuta, kama kuna wachezaji ambao walifanya mpira wa miguu uonekane ni mchezo rahisi basi Lionel ndio wa kwanza
Wadau wengi wanakwambia gaucho is the best..Basi hayupo juu ya Neymar sasa