Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwetu hukoOne day ntaenda huko...
Ulipata?Atokee mkuu mmoja anisuprise na milioni moja tuuu Mungu atambariki na nitamwombea kwelikweli
Chizi wewe🤣🤣Ile fanta ya take away hasa ikiwa ya barid
Mm na barid mbali mbali...Kwetu huko
Maisha hayana Rewind ⏪siku zirudi nyuma kwa wiki 1 nirekebishe tukio moja ambalo linanigharimu sana sasa.
Ngoja waje wazee wa location.....Nahitaji mtoto mmoja matata Sana jioni ya leo
hapo ndo pabaya, kuna tukio limetokea juz linanigharimu sanaMaisha hayana Rewind ⏪
Itangaze hapa sio mbaya....unaweza pata hapa hapa...Customers for my business.
Mexico cityType ABC za Mexico huko maybe tuka join
Usikate Tamaa Mungu tupo ktkt ya Giza Nene kuna muujizaI see Nothing, nmemaanisha nahitaji sana kufariki dunia sitanii
Hapana mkuu, ila naamini miracle happens na suprises zipo pia.Ulipata?
Enenda sawa sawa na mapenzi ya MUNGU.. Zitii amri zake, soma Neno la MUNGU na kuliishi. Zaidi ya yote kua mtu unaependa kumuomba MUNGU in short uwe mtu wa maombi maana YESU anasema kesheni mkiomba msije mkaingia majaribuni. Roho Mtakatifu ajae ndani yako maana yeye atakuongoza na kukusaidia kulitimiza kusudi la MUNGU maishani mwako na hatimae uurithi uzima wa milele.Nataka niwe na uhakika wa kunyakuliwa bwana Yesu akirudi
Ila maisha yangu sasa [emoji58]
Una shida nayo ya muhimu sana?Hapana mkuu, ila naamini miracle happens na suprises zipo pia.
Laiti kama kungekuwa na chansi hata moja ya kurewind maisha nadhani binadamu wengi sana wasingekuwa hapa walipo.Maisha hayana Rewind [emoji672]
Ukiona unaonywa na watu zaidi ya mmoja juu ya kitu fulani, rudi nyuma ujiulize tena kabla ya kuendelea.hapo ndo pabaya, kuna tukio limetokea juz linanigharimu sana
mbaya zaidi nilisha onywa na watu wa karibu acha kufanya hivi mimi nafanya kwa ukaidi daaaah kwisha habari yangu
Utampata MUNGU ni mwema