Mambo mrembo!Ngoja waje, wanandoano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo mrembo!Ngoja waje, wanandoano.
Swala ni heshima tu,
Heshima ni positive feeling tunaonyesha kwa mtu wetu wa karibu au tunayedhani ni mtu anayetakiwa kulindiwa hadhi au tumempa hadhi ya juu sana. Kutochepuka mbele yake, watu wanachepuka miaka kumi na wapo kwenye ndoa zao zenye furaha, wapo wamezaa kabisa. HESHIMA. Regards kwa yule hufanyi mbele yake inatosha.
Ndio maana utamtukana rafiki yako tusi kubwa wakati wa stru na si baba yako.
Kuchepuka nje ya kitanda cha wewe na mkeo, nikuonyesha ni jinsi gani unamuheshimu. Hata kuvua pete wakati wa kuchepuka, as well as , swala si tu kitanda , kwahyo unadhani mtu mwenye nyumba vyumba vitatu anaweza kuja na mchepuko akachukua chumba kingine na kulala nae?.
HESHIMA IS ALL I HAVE TO SAY.
Yani wewe ni mchokozi walai🤣Kwako yanachanganya maana si mambo yako kabisa haya..turudi kule mwalimu😊
Unafiki tu. Hili swali jibu unalo mwenyewe. Kama umeoa jaribu kujiuliza: hujawahi ku-cheat?
Kama umeshawahi ku-cheat ulifanyia wapi? Kwa nini hukumleta huyo mchepuko wako kwenye kitanda chako na mkeo?
Mada zingine ni kupotezeana muda tu. Unafiki! 🚮🚮🚮
Poa kabisa.Mambo mrembo!
Poa kabisa.
Poa kabisa.🤩✌️Poa kabisa.
Kwako wewe:
Ulishawahi kuchiti?
Ulichitia kwenye kitanda chako na mkeo?
Kama jibu ni hapana: Kwa nini? Uliogopa kukitia unajisi kitanda chenu "kitakatifu"? Ulimwoyopa mkeo? Uliogopa watoto wako na majirani wasiwaone? Nafsi yako ya ndani (aka Roho Mtakatifu) ilikuhukumu? Hukutaka mchepuko apafahamu kwako? Nini kilikufanya mpelekane lodge au kokote mlikopelekana?
Jibu liko hapo 👆👆👆
Kwako wewe:
Ulishawahi kuchiti?
Ulichitia kwenye kitanda chako na mkeo?
Kama jibu ni hapana: Kwa nini? Uliogopa kukitia unajisi kitanda chenu "kitakatifu"? Ulimwogopa mkeo? Uliogopa watoto wako na majirani wasiwaone? Nafsi yako ya ndani (aka Roho Mtakatifu) ilikuhukumu? Hukutaka mchepuko apafahamu kwako? Nini kilikufanya mpelekane lodge au kokote mlikopelekana?
Jibu liko hapo 👆👆👆
Unafiki na ubinafsi unakusumbuaaa.Ni hivi, Binafsi kama Mwanaume kula Mbususu ya nje hainifanyi Kuvunja heshima kwa Mke wangu, ila Mke wangu akiliwa na Jamaa lingine hapo Kanivunjia Heshima na hili kosa litamgharimu.
Na, ikishagundulika kanuni ni 1.Ukiamua kuchepuka chepuka usigunduliwe iwe kitandani kwenu au bafuni, ukijulikana ni dharau sana na huonyesha dhairi umpendi mkeo, chepuka usigundulike wala kutiliwa shaka,
Umepigaaa penyewee dear.Kwa nilivyo muelewa…anauliza kwanini kitanda kionekane kuwa kinathamani(mke au mume kupiga game kwenye kitanda chao na sio mwili wa mhusika?)
Yani yuko tayari akachepuke kwenye kitanda cha nje ya nyumbani kwao lakini amesahau kuwa mwili unathamani zaidi ya kitanda.
The Monk nirekebishe
Af mke wako ukimkuta kachepuka unajisikiaje?Ukichepuka nje mke atachukulia shetani kakupitia ila ukimleta kitanda anacholala yeye unakua umemfanyia dharau tena. Hilo hatasahau.
Niko hapa mawasiliano Tower.Ila hapo kwenye kitanda nadhani kuna ishu zingine ama za kitamaduni na zinginezo. Maana hata mkeo akikufuma unazinia kwenye kitanda chenu utamsikia:
"Yaani kabisa mume wangu umeamua kuniletea malaya wako na kulala naye tena kitandani kwangu? Mlikosa lodge za kwenda mpaka ukaamua kumleta kitandani kwangu kabisa?"
Hata wewe ukimfuma mkeo anagegedwa kwenye kitanda chenu dah! Inaonyesha dharau sana na kutojali. Ni kama mtu ambaye ameshafikia ile steji ya liwalo na liwe.
Uko Songea au Masaki? [emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Anahitaji uponyaji wa akili mtu kama huyuNi kama mtu anaingia lodge halafu eti anavua Pete ya ndoa