The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
- Thread starter
- #61
Kuna mahali haupo sawa..au sija kuelewa.kwaio tusichepuke au?
Hapa mjadala sio kuchepuka au kutokuchepuka mkuu, tuanza kujadili Hilo tutajaza servers za JF bila kufikia makubaliano. Tupo Kwa mchepukaji anapopunguza maumivu ya usaliti Kwa kuonyesha heshima ya mwenza anapokataa kutumia Kitanda akiwa na mchepuko au kuvua Pete wakati mwili ambao ndio kitendea kazi anaukabidhi Kwa mchepuko.
Hapo ndio swali linakuja, kati ya mwili na Kitanda, kipi ni Cha Thamani Kwa mwenza?