Ni kipi humfanya mtu kupata GPA ndogo chuoni? Kati ya mwenye GPA ndogo na kubwa ni yupi ana uwezo mkubwa?

Kikwete alikuwa na GPA ya 2.5 lakini amekuwa raisi Tanzania.Tunao viongozi wetu wengi na wafaham wana GPA ndogo sana
Kuwa Rai's Sio kigezo kwamba Uwe Na GPA kubwa, subir siku msukuma au Kibajaji waje kuwa Rai's ndio utaelewa somo.
 
Umechomoa pale Lawa school dah!! We ni mwamba ,Kuna watu wako na GPA za hatar ila wanazungusha hawagraduate kila siku kuangukia pua kama wa CPA🤣🤣
 
Kaka hujakosea hata kidogo
 
Ata hapo SUA kunawatu WanaGPA nzuri ila sasa kufanya vitendo ndio issue ,kumbe wanaingia na kartasi wengine wanaficha chooni wengine kwenye nguo za ndani aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…