Ni Kisa/ kituko gani uliwahi kufanyiwa na Dada wa kazi?

Mwezi Desemba mwaka jana mi na ma wife kupitia connection ya dalali tulipata binti wa kazi kutoka moja ya wilaya zamkoa wa Songwe.

Binti alikuwa na mchangamko wa kupitiliza mpaka nyumba nzima tukashangaa.
Mara aanze kuvaa vitaiti vya kubana na kuanza kujibinua binua matakombele zangu.
Basi machale yakanicheza nikamwambia wife huyu binti ni kimeo.
Basi binti kila akiona mwanaume ni kumparamia,nikaanza kuwa na wasiwasi maana nina vijana wa kiume japo hawaishi nyumbani mpaka wakati wa likizo.

Wasiwasi wangu ukanituma nimwombe wife amfanyie vipimo vya HIV ili kufahamu afya yake. Ile kumpima tu binti, kitu imesoma positive ila mwenyewe wala hashtuki wala nini.
Mtaani akaanza kutongoza kila kijana wa kiume aliekatiza mbele zake, bodaboda na wahuni wa mtaa wakaanza kujipigia kila alie weza.
Kila tulipo taka kumshauri kuhusu kuanza kutumia dawa za kufubaza hakuonesha kujali wala kutusikia, sanasana aliishia kutucheka tu kitu kilichoonyesha kuwa tayari alishajikatia tamaa ya maisha.
Ilikuwa inasikitisha sana kwani kiumri alikuwa bado mdogo sana miaka 17.
Baada ya kushindwana tabia za kutojijali ilibidi tumrudishe kwao japo kwa mbinde sana kwani alikuwa anagoma kurejea kwao.
 
Sasa ndo unamuachia watoto mtu kama huyo atawafundisha nini?
 
πŸ˜…πŸ˜…
 
Wanapenda sana kuongea na Simu
 
Enzi hizo niko sijui form 1 tunaishi kota wageni wakija tunakua na uhaba wa byumba tunalala na dada wa kazi yule binti alikuwa akilala sketi inafunuka mapaja yanabaki wazi mzee mzima naamka naanza kumshikashika mapaja yeye akiwa anakoroma
😜😜😜
 
Kumbe unakuwaga mpole ukikutana watu wa hivo ...
 
Negative maana yake Hana Ukimwi mbona kama umeandika tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…