Kuna beki 3 mmoja alikaa wiki mbili , ya tatu akaanza vituko. Kuchunguza kumbe ni dalali kamtafutia sehemu nyingine.Kwenye madalali hapo kazi ipo? Waongo hatari
Au kazi zinakuwa nyingi?Wangu nilimsoma akiona wageni ananuna hapendi wageni cjui kwa nn ila ni binti poa sana ninae zaidi ya mwaka anapenda watoto yuko committed sana na kazi zake mazuri yake ni mengi kuliko mabaya yake nachkulia ni mapungufu ya kawaida kwa binadamu yyte mambo yanaenda
ππππππJuzi tukiwa job dada mmoja akasema amemwondosha afisa malezi baada ya kumuuliza mbona wewe na shem hamuendani
Heee! Mungu wangu!Wife aliwahi kurudi nyumbani na kufungua geti bila mdada wa kazi kujua akamkuta anaosha vyombo akiwa uchi wa mnyama, baada ya kuona amekutwa basi alikimbia mbio ndani.
Tulipo muhoji alionekana ni mwanachama wa ulozi hivyo tulimsafirisha haraka sana.
Mungu atakusaidia utapata Dada mzuri tu.Familia tusali sana kwa ajili ya watoto wetu...na familia kwa ujumla..Mungu huwa anatenda bila ww kujua...unakuta mtu kaja wiki 2 kaondoka au amefanya jambo baya umemtimua..ujue ni Mungu kakuonyesha la sivyo yangeweza kutoakea mabaya zaidi...
Mm nimekaa na msichana kwa miaka 9 nimezaa wtt wangu wote nikiwa nae...kaondoka sasa kashakua mtu mzima ..ndo nianze upyaaa...sijui naanzia wapi...
Jamani πQ
1. Nililetewa mdada wa kazi na jamaa yangu alikuwa mkatisha tiketi kipindi kile Ubungo, alinambia ametekelezwa na aliyemuagiza kuja Daslam, baada ya wiki moja, wikiend moja, baada ya kuweka chakula mezani akaaga anaenda dukani mara mojq, ndiyo kimoja akarudi saa usiku!, nilivyombana sana aseme alikuwa wapi, akamtaja alifuatwa na yule jamaa yangu kumbe alikuwa demu wake...kesho tu nikamtarifu aje kumfuata kwangu kazi basi.
Whattt??Alikuwa anajikojolea halafu ananisingizia mimi.
Baba wenye nyumba ndio mnaotafutwa wakitoka kwao πππMoja ya masharti ambayo huwa nawapa hawa maafisa malezi ni kutomiliki simu , maana akiwa na simu ni shida nyingine.
Sasa kuna huyo nililetewa kutoka kanda ya ziwa, tukiondoka anaunga nyumba na yeye anaondoka , mwezi mmoja tu analiwa na wanaume kumi +, wapo vijana wa kawaida, bodaboda, bajaj na kuna mmoja mtangazaji wa radio.
Sasa siku anaingia 18 zangu , kapewa maelekezo na Wife, akafanya tofauti then akasingizia eti baba ndo alisema.
Alikula bakora na kesho yake nikampandosha gari kumridisha kwao, kumpigia mama yake kumbe anajua mwanae ni malaya β
Alooo, mimi huwa sili vyakula vyaoBaba wenye nyumba ndio mnaotafutwa wakitoka kwao πππ