Alinikataza kusuka...eti anapenda mademu wenye vipara
Ni wazuri tu mbona[emoji23]Hatupendi kabisa hiyo kauli tunaihusisha na mwanamme asiyetaka kukuhudumia[emoji1787]
Ulikua unapimwa, umeshafeli[emoji23]Niache kufanya kazi halafu kuhudumia kwenyewe Kwa masimango[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mfyuuu zake
Potelea mbali...Hela za kujitafutia mwenyewe tamu unajuaUlikua unapimwa, umeshafeli[emoji23]
Mkuu sio kweli, kuna watu wana degree na wanapost ujinga humu na kuna watu hawana hyo degree na wanapost madini matupu.Jf mods naunga mkono aliyesema degree kiwe kigezo cha kujiunga jf... Juzi kati kuna bnt amefungua uzi namna wats app inavomsumbua..yaaan inakuwa ni HOME OF TABURALASA
Kama umeweza basi ni vizuri, mwanaume wako hatoteseka.....Potelea mbali...Hela za kujitafutia mwenyewe tamu unajua
Mbona kasema walishaachana au haujui kusoma vizuri.I hope bado mko pamoja hamjaachana mkuu
Kitambo sana ilikua hiyo, mwaka 2015 huko, now ana familia yake.Nipigie ilo pande mkuu
ππ ndiooπ Nawewe ni kada
Ccmππ ndioo
ndio
huyo atakua bahiri, anaogopa gharama za kusukaπππAlinikataza kusuka...eti anapenda mademu wenye vipara
Fala Sanaπππhuyo atakua bahiri, anaogopa gharama za kusukaπππ
nmechekaa jamani ππππ, eti hujui ulikosea wapi dahππ nilishamsifiaga kuwa akiwa na short hair anapendeza akaniacha sijui nilikosea wap
bora ulimuacha, watu wabahiri wabahiri dawa yao kuwaacha tu πFala Sanaπππ
Hahaha bila shaka ulikuwa Mchepuko wake.Mimi aliniambia nisiwe nampigia Simu Usiku kuanzia saa mbili kuendelea [emoji23]