Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ndio tatizo, wanawake wa kiafrika ukiwa gentleman ni shida.Itakucost usipojirekebisha. Wanawake wa kiafrika ukiwa gentleman sana inakula kwako,ugentleman waachie wahindi na wazungu. Huku kwetu watasema amekukamata.
Be careful.
Wewe kama mm aisee hakuna kitu chanye thamani kwangu kama demu mpya ambae sijamla! Nikishamla tu namuona kama mavi vilee! Sitaki kuona hata text yakeNikila mzigo tu sirud tena..... Kuna wakat inaniumiza sana but I just can't handle it
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahhahah iyo nafahamu mtu akikusema kidogo inaleta ahueni ila ile kimya yaani ni woga balaa, huwa nawashuhudia wakinikosea wanatetemeka sana ila wala sisemi kitu.Ndio nilichomaanisha....kwamba mawazo yatawaua....mana inanoga umfanyie mtu kosa akuseme...akasirike kidogo
U see....?hahahhahah iyo nafahamu mtu akikusema kidogo inaleta ahueni ila ile kimya yaani ni woga balaa, huwa nawashuhudia wakinikosea wanatetemeka sana ila wala sisemi kitu.
Kweli mkuu umalaya hauna dili wala hauongezi chochote kwenye kipatoNahisi weakness yangu kubwa huwa siwezi ukicheche kabisa, nikimpenda mmoja ndio basi nashindwa ile tabia ya ki ngedere kuhama hama miti hali inayopelekea usumbufu mtu akishajua nampenda kweli na kumjali sana.
Wivu kama nkimpenda mtu alaf nakua too caring ile kutaka kuchat kila saa kutaka kuwasiliana kila mda inakua kama ni usumbufu kwa mwingne
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi hii inaniboa sana, sms za kila wakati mara; Umeshaamka, unafanya nini, umekula, unakula nini, upo na nani, mbona hujibu sms, umelala au bado n.k yani unakuwa mtumwa wa simu.Wivu kama nkimpenda mtu alaf nakua too caring ile kutaka kuchat kila saa kutaka kuwasiliana kila mda inakua kama ni usumbufu kwa mwingne
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naona sina udhaifu... wako ni upi