neema niwagila
JF-Expert Member
- May 2, 2017
- 232
- 137
Wewe ndo nakutaka ili nikunyanyase,make hutanifokea.Wakuu habari.
Kuna huu msemo kua hakuna aliekamilika chini ya jua. Hivyo kila mtu ana madhaifu yake, unaweza kua unaujua udhaifu wako au huujui lakini bado utakua na mapungufu flani kadha wa kadha.
Mimi udhaifu wangu mkubwa ni u laissez faire na kua too gentleman. Mimi hua sio mtu wa kutake things serious sana, lakini pia mimi ni mnyenyekevu au mpole sana hasa kwenye mahusiano.
Hadi mama yangu aliwahi kuniambia kua wanawake watakua wananiendesha sana. Mimi hua siwezi kumgombeza mwanamke au kumkemea hata akinikosea,.
Binafsi naona udhaifu wangu kwa wanawake umepitiliza kikomo ila sina jinsi ya kufanya, niko mpole sana.
Hayo ndio madhaifu yangu, wewe nini udhaifu wako hasa kwenye mahusiano.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app