Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

Ndoa....
 
Kumuomba Mungu kuna taratibu zake mkuu,watafute watumishi wa Mungu walio vizuri,wakuongoze katika misingi mizuri ya kiroho,ungekuwa umesimama vizuri usingeongea hayo,unapoteza tumaini wakati Mungu wetu hana linalomshinda.'Yak.4:3 Hata mwaomba, wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya, ili mvitumie kwa tamaa zenu'.Mtafute Mungu kwa kumaanisha utakuja kunishukuru...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…