Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Materials nilikuwa nanunua mimi mwenyewe na uzuri nina idea za ufundi ilikuwa si rahisi kunidanganyaKumwamini fundi
na kumwachia pesa
na kujenga bila mimi kumsimamia au kuwepo
Ni kosa kubwa sana kwa mafundi hawa wa sasa hivi.
Ramani za wenzetu mbele huko store kwao sio muhimu kama laundry room ona hapo chumba cha katikati ya jiko na public toilet ni laundry room, mbongo angefanya hiyo iwe ni storeHaya nyumba hii hapa 83 SQm ,ni matumizi mabaya sana ya akili na pesa kujenga nyumba ya vyumba 3 kwa SQM 150 ama 200 ni poor mind!,mwisho wa siku unatumia gharama kubwa pesa ambayo ilitakiwa uwekeze sehemu nyingine![emoji276],ni maaajabu sana tena sana kwa mtu mwenye kipato cha kati kujenga nyumba ya SQM 150 yenye vyumba 3,kuanzia SQM 150 kuendelea hiyo ni Guest house View attachment 2468926
Ukiwa na uwezo jenga nyumba kubwa.Sqm 200 ndiyo kubwa? Nyumba ikiwa haina nafasi sana inakuchosha mapemba kuishi.
Point muhimuKOSA KUBWA AMBALO WAJENZI NA WAJENGEWA HUKIFANYA SIKU ZOTE;.
Ni kuharibu nyumba kuanzia kwenye msingi.
Nyumba sio chini ya 96% Tanzania, ujenzi wake umekosewa kuanzia msingi.
Msingi unatakiwa usiwe chini ya 60cm kutoka usawa wa Ardhi.
60cm ni sawa na laini 4 za tofali za nchi 6 au ngazi nne.
Kwani ni makosa kukosea msingi?
Unakosea msingi kwa mfano nyumba ikawa na laini 2 kutoka usawa wa ardhi;
1. Nyumba itapoteza uwiano kati ya msingi, boma na paa
2. Nyumba hukosa mvuto.
3. Mvua inaoonyesha matone yanayodondoka chini hurukia barazani au ukutani na kuharibu rangi.
4. Mara nyingi husababisha nyumba inakuwa fupi hivyo kuwa na joti kalu ndani.
...USHAURI;.Kabla hujaanza ujenzi pata ushauri wa kitalaam
Napenda nyumba yenye ukumbi mkubwa, jiko na masterbedroom pia viwe vikubwaUkiwa na uwezo jenga nyumba kubwa.
Yani ukiwa na uwezo unajenga nyumba sebule na jiko tuuNapenda nyumba yenye ukumbi mkubwa, jiko na masterbedroom pia viwe vikubwa
4*4Ungepewa nafasi ujenge tena ,ungejenga vyumba vya ukubwa upi? Watu wengi husema standard ni 3*3
Panda mtiPia mkumbuke kuzingatia uelekeo wa kuchomoza na kuzama kwa jua wa eneo husika sio kujenga tu kama ramani ilivyo.
Kuna block yangu ipo shambani hapo Mkuranga master bedroom ipo upande jua linapozama kwahiyo lile jua la jioni lote linatandika chumbani hivyo kama unataka kulala vizuri nasubiri hadi saa nne usiku ndio room inakua imepoa.
Kinachonifurahisha Bongo wanajua kuachia madirisha aisé yani nahisi wabongo natamani nyumba nzima iwe madirisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuwa na slab haina maana hutafunga ceiling, washua wanafunga ceiling vizuri sanaView attachment 2500021
View attachment 2500024
Huyo jamaa anapenda nyumba ndogo kama kilingeWewe ndo mshamba kwa kuona uchaguzi wa wenzako wa kishamba wako ndo bora zaidi.
Wewe kama unapenda ndogo ni wewe. Waache wanaopenda kubwa wafanye wakipendacho.
hiyo ukiwa hupangi kuwa na familia au hata wageni. Japo vyumba viwili basiYani ukiwa na uwezo unajenga nyumba sebule na jiko tuu
Ukipata ni PM na mimi, ila sio kila ramani ipo poa. Kuna moja niliiona ya mkenya nikitukia namtafuta mtaalam atengeze structral drawing na badiliko modification kidogo kukidhi vionjo vyangu. Huwa narndelea kuangalia ipi bora zaidi, mpaka nikianza niwe nimapata hasa bora kulikoMkuu Naomba ramani PM
Ukiyumba, unaweka wapangaji mnapigana vikumbo kweye corrido!Nyumba kubwa lina raha yake. Kama una pesa bora ujenge nyumba kubwa. Sebule mbili, chumba cha kusomea/ofisi. Self contained bed rooms 4, jiko kubwa etc
Yes. Mana kuweka inverter, kuzuia matumizi ya vitu kama pasi umeme ukikatika ni ngumu na italeta usumbufukufanya wiring mbili ni nzuri zaidi, Bomba ni moja ila zinapitisha wires za Tanesco na hizo za Solar! Inapendeza zaidi
Tatizo nini¿Kununua kiwanja karibu na mhaya
Kitu ninachoshukuru utawala wa Mwendazake ni msukumo wa upimaji viwanja, hapa alizuia wizi sanaMaisha ndio yalivyo mkuu,umetoka kugombana na wenye nyumba sasa hivi unagombana na majirani [emoji276]mwendo ni haste haste hakuna kupumzika
Kosa ni lako, kabla ya kuanza ujenzi ilipaswa uangalie mrejesho wa ramani. Hii ni lazima, hata huyo uliemkabidhi ilipaswa akuhoji vitu flan ili ajue ukubwa wa chumba. Mfano chumba cha watoto unataka vikae vitanda vingapi vya ukubwa gani? HivyoKuna makosa kadhaa niliyafanya
1.Nilimuamini chalii mmoja kosa tu kasomea civil engeering nikq mtrust anichoree ramani kisha nikasafiri nje kidogo then nikawa tuma pesa ijengwe sikiwa na shaka coz aliye chora si ni engineer aisee niliporejea Bongo kuitazama lile boma yaan siku rizishwa nalo mosi vyuma vilikiwa vodogo, choo na bafu humo humo
Aisee sitokuja tena kumpa ndugu kazi ya ku deaign ramani au yoyote ile ya kuhusiana na ujenzi ata kama awe amesomea MIT, Oxford, ata Havard
Hata hiyo ndogo inajengwa vizuri hewa unapata, unaeeka madilisha ya nguvu ukilala kama upo nje. Wewe unasemea nyumba enzi za wazee wetu vidiridha milango ilikuwa midogo. Hiyo nyumba ya 83 m3 ni kali ukiijulia wapi uiweke na vipi. Nikijenga hiyo hapo mbele naweza fanya midifikation kidogo ili mlango wa kuingilia usianzie dinning.Siriazi vyumba vitatu sqm 76!! Hapo sasa utakua umejenga nini!!,Hio nyumba itakua haina hewa kabisa na imebanana kila kona.standard vyumba vitatu ni sqm 150 ikiwa spacious inafika 200sqm,hii inaitwa medium size house.
Lakini kila mtu ana mapenzi yake ,kiukweli sipend nyumba yenye vyumba vidogo sana hii ni kutokana na nyumba niliyokulia kwa wazee,kipind hicho nipo form 6 naona kabisa chumba ni kidogo hakina hewa vitu vimebanana nikawa najisemea ikitokea nimefanikiwa kujenga yangu huko badae ntaongeza kidogo ukubwa.ila sio mita 5 hizo ni nyingi labda kwa masta.
Asikuambie mtu kuna raha ya kulala kwenye chumba kikubwa chenye hewa .
Ndani kuna chumba na sebule au? Huwa sisifii nyumba mpaka nijue kilichopo na ukubwaVipi hapa imekaaje wakuu?View attachment 2470699