[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Ukipata mzigo funga system nzuri ya solar, ambayo utakuwa unaitumia kuliko umeme wa tanesco, japo gharama yake huenda ikawa kubwa ila utaokoa pesa nyingi kwa baadae.
Safi saana.Kujenga wenye slope chini kabisa mita kama 75 kutoka kwenye bonde lenye kupitisha maji kipindi cha mvua kubwa , ila nashkuru kuna mtu alinibadilisha akili kunifanya kuona kama niko kwenye fursa,
Nikachimba bwawa la samaki, bustani za mbogamboga na mifugo kuku na nna mpango wa mbuzi….
Ungepiga under groundKujenga kwanye slope,kuna upande umeenda kozi 12...
Khaaa!! Mkuu ndio hukumtia hata kofi ???Kuamini mafundi nikiambiwa cement imeisha napiga simu tu inapelekwa bila kufatilia. Kuna siku fundi anapiga simu kuwa wamesimama kazi kwa kuwa cement imeisha inabidi ipelekwe haraka.
Ikabidi niende mwenyewe kuangalia kazi imefikiaje hadi cement kuisha hivo, nilivyofika mafundi wakastuka sana maana hawakutarajia kuniona kwa wakati huo. Ikawa kila ninapoingia kukagua jamaa kama ananizuga ili niache nimsikilize yeye. Nikahisi kitu nikaongeza umakini kuangalia chumba hadi chumba.
Bwana weee! Si nikakuta kuna mifuko 9 ya cement haijatumika wameificha kwenye chumba chooni. Asee jamaa alibabaika sana akakosa la kusema.
Asante kwa kuja na huu uzi.. Ngoja tung'amue hoja za kimkakatiii.Habari wana JF
Ni kosa gani ulilifanya kipindi unajenga na ungependa wengine wajifunze ili lisitokee kwao?
hakuna mantiki ya kuweka wiring mbili zaidi ya kuongeza gharama
kinachofanyika ni kuweka 'change over switch' ya kubadili tanesco-solar mle kwenye DB (lile box lenye mifyuzi) na kama solar yako ni Inverterless, hapo utakua unabadili taa, unatoa za AC unaweka za DC ,
kama ni solar ya Inverter hapo hutabadili taa, zaidi fundi ataunga njia zinakazolishwa na solar mle mle kwenye DB kulingana na pendekezo la mteja pindi anapohamisha tanesco to solar
Mkuu, mie mzito sana kupiga mtu, ila tu nilikasirika sana.Khaaa!! Mkuu ndio hukumtia hata kofi ???
Kumuacha fundi afanye kazi ukiwa haupo. Aliniharibia design ya paa la nyumba.
Hakuna ubayaKila mtu amalize haja zake chumbani kwake,
Kuna ubaya
Sawa...ulipata tatizo gani?Kuhamia, nimeandika huku nafungua box si unajua leo
Hii imekutokea au ni ushauri?kujenga style ya flat roof yani nyumba kuvuja ni 50/50.
dah lile paa lako lilivyo refu mara 2 ya kuanzia msing mpaka mwanzo wa paa yale maji yanayovunwa sijui itakuwaje pale barazani😆Kumuacha fundi afanye kazi ukiwa haupo. Aliniharibia design ya paa la nyumba.
Eeeh ndiwooo hii nzuri....umeme umeshauzwa huuKutoweka wiring system ya solar! Mnaojenga saivi hili nalo mlitizame..
Mi napenda mjumba mkubwa asee mambo ya kubanana hapana...acha hao watoto wasepeMnaejenga mijumba mikubwa mjitafakari mambo yamebadilika siku hizi hakuna kutembeleana ovyo wala kuishi kwa ndugu kama zamani na watoto wakikua wanakimbilia sehemu nyingine kutafuta maisha ,kwahiyo utabaki na jumba kubwa kama msikiti peke yako
Eeeheehe ukafanyaje sasa hapo?Kuamini mafundi nikiambiwa cement imeisha napiga simu tu inapelekwa bila kufatilia. Kuna siku fundi anapiga simu kuwa wamesimama kazi kwa kuwa cement imeisha inabidi ipelekwe haraka.
Ikabidi niende mwenyewe kuangalia kazi imefikiaje hadi cement kuisha hivo, nilivyofika mafundi wakastuka sana maana hawakutarajia kuniona kwa wakati huo. Ikawa kila ninapoingia kukagua jamaa kama ananizuga ili niache nimsikilize yeye. Nikahisi kitu nikaongeza umakini kuangalia chumba hadi chumba.
Bwana weee! Si nikakuta kuna mifuko 9 ya cement haijatumika wameificha kwenye chumba chooni. Asee jamaa alibabaika sana akakosa la kusema.
Kwa sasa,kulingana na mambo ya mgao wa umeme, kuwa na mfumo wa solar ni muhimu sana.Hili Jambo ni muhimu. Inabidi tuulize wataalam nisije kurudia kosa.
Mfumo wa solar ni pesa yako tu kila kitu unaweza unganisha,Asante kwa maelezo mazuri. Na solar yenye ukubwa gani naweza kufunga ili kutumia kwenye vifaa vya kawaida kama pasi, TV nk? Umesema hapo nikifunga invertor sina sababu ya kubadilisha taa, maana yake hata vifaa vingine naweza kutumia kwa hiyo solar?
Somo la solar haijanikaa vizuri.
Haaaaah haaaaah ninakiwanja slope hapa nafikiria nikifanyaje afu mi ni slope ya maweKujenga kwanye slope,kuna upande umeenda kozi 12...