sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Ukipata mzigo funga system nzuri ya solar, ambayo utakuwa unaitumia kuliko umeme wa tanesco, japo gharama yake huenda ikawa kubwa ila utaokoa pesa nyingi kwa baadae.