Kollebundle
Senior Member
- Nov 9, 2022
- 176
- 109
Nikosa kubwa mwanamke kumtawala mwanaume na Mungu amekataa hili, soma 1timotheo2:12 (Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha Wala kumtawala mwanaume). Je, waislamu maandiko yenu yanasemaje kuhusu hili?
Wanawake wa sasa hawalitii hili agizo la Mungu wanalazimisha wawe sawa na wanaume na ni kitu ambacho hakitawezekana kamwe kuwa na mafahali wãwili katika zizi moja.
Kuendelea kulazimisha hili ndio inapelekea wanawake wengi siku hizi wana uawa kila kukicha Lakini bado hawakomi kutaka kuwa Sawa na wanaume.
Je, hili lina ukweli? tujadili kwa pamoja waislamu na wakristo ruksa pia kuilinda hoja kwa kutumia maandiko ya biblia na Quran, karibuni wadau!
Wanawake wa sasa hawalitii hili agizo la Mungu wanalazimisha wawe sawa na wanaume na ni kitu ambacho hakitawezekana kamwe kuwa na mafahali wãwili katika zizi moja.
Kuendelea kulazimisha hili ndio inapelekea wanawake wengi siku hizi wana uawa kila kukicha Lakini bado hawakomi kutaka kuwa Sawa na wanaume.
Je, hili lina ukweli? tujadili kwa pamoja waislamu na wakristo ruksa pia kuilinda hoja kwa kutumia maandiko ya biblia na Quran, karibuni wadau!