Ni kosa kubwa sana la kiufundi kumteua Paul Makonda kuwa Mwenezi wa CCM Taifa

Nyumba haina mlango na imeshajiweka nyufa
Badala ya kuziba nyufa wanapuuzia as if hawaoni
Badala ya kuweka mlango wameweka pazia ambalo kimsingi nalo halitoshi
 
Bora Makonda kuliko Heri James na Jery MURO.
 
Hicho ni cheo Cha kisiasa na siku zote siasa ni uongo uongo na ujanja ujanja tu na hizo ndio sifa za Makonda hivyo hicho cheo kinamfaa

Pia nahisi mama alikuwa hana rafiki ndani ya Chama ndio maana amemuweka Makonda hapo awe rafiki yake na chawa wake

Acha wivu wa kijinga
 
Makonda ni zero brain kweli kweli
Hii Nchi yetu ya ajabu sana, kuna watu millioni 60. Kwanza sofa zake tu ni mbaya. Aligushi vyeti yaani huyu ni open fraud, halafu alimtandika kofi Warioba, na JK akampa cheo. Wakati fulani unajuta kwa nini uko nchi hii. Lakini ndiyo ancestral home. Yaani tupo hostages kwenye nchi yetu wenyewe.
 
Jamaa ni mshirikina balaa, pia anajua kucheza na akili za watawala
 
Sasa wewe kama siyo mwana CCM, uongozi wao unakuhusu nini, nyie ndiyo mnawalalamikia chadema kutobadilisha mwenyekiti, wakati Uongozi wao wenyewe wamemekubaliana kuwa nae.
 
Jamaa ni mshirikina balaa, pia anajua kucheza na akili za watawala
Mara nyingi mtu, ambae haamini mafanikio katika njia ya kawaida ni hatari sana.
Ni kwa sababu tu una amini sana ushirikina, umeamua kumvisha jamaa, koti la ushirikina huna ushahidi nae, wala haupo karibu nae.

Na kama kweli ushirikina una uwezo wa kukufanya ufanikiwe katika maisha, mimi nauhitaji hata sasa hivi.
 
Wakibishana na Makonda nafasi za Teuzi watazisikia kwenye redio
 
Kwenye swala la habari Makonda yuko saw ana Magufuli hawataki watu wengine wasikike.

Walivamia Clouds kwa sababu tu wamegoma kutoa habari za uzushi kumfurahisha yeye na bosi wake.
 
Angekuwepo le mutuzi sasa.. ndio angekua reporter wa habari zake.

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Huenda ni kwa kutotathmini au kushauriwa vibaya kwa CCM kumpendekeza Makonda kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, hili litakigharimu kwa kiasi kikubwa sana.
Kosa au kuchanganyikiwa ilikuwa ni kumteua diaspora tundu kuwa makamu mwenyekiti wa chama cha kutoa taarifa.
 
Unajifanya huamini ushirikina ni upumbavu tupu, wazungu, wachina, wahindi wamejaa hirizi tupu sembuse wewe uliyezaliwa Ikungi Singida! Misikiti na Makanisa vililetwa na wakoloni, uchawi hata kwenye bible umetajwa.
 
Acha maneno mengi wewe sema kuchaguliwa Makonda kuwa Mwenyezi, itawafelisha chadema Kwa ajili hiyo ndo Kali yenu
 
Wahenga wanasema hivi;

"Kuvuja kwa pakacha, ni heri ya mchukuzi.."

Acha kuwashitua, acha pakacha livuje ili mchukuzi (washindani wao kisiasa) washinde kirahisi.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…