Ni kwa namna gani Raia anaweza kutumia Ndege ya Kijeshi kwa Shughuli binafsi ?

Ndugai kabla ya kutimuliwa alikuwa Mhimili gani ?
Sasa wananchi WA Mbeya ingeenda helicopter ya kawaida wasingeogopa mkuu wangejua Ni Mbowe amefika Kwa wahuni[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo binti siyo raia wa kawaida kama wewe mburumatare ambae nyuma hakuchezi mbele hakutikisiki.

Huyo binti si wa kawaida kabisa, ni mkuu wa mhimili mmoja wa dola na ni Rais wa a Mabunge ya Dunia.

Huyo binti anapewa mpaka ndege ya Rais wa Tanzania.

Msiwe mnaongea kijinga.


Kama hiyo haitoshi, mbona mara nyingi sana raia wanapewa lifti ndege za jeshi.
 
Kama ni hivyo ni kipi kilifanya Ndugai atimuliwe mithili ya nyau aliyekunywa maziwa ya mtoto njiti ?
For your information and without fear of contradictions, let me confirm to you Dr.Tulia Ackson is going to be the President and Commander in Chief of defense Forces of the United Republic of Tanzania. Don't ask me is it2025 or 2030.
what you see now are just very biginning preparation
 
Tatizo nchi yetu haina vita sasa hizo ndege zinakaa parking tu miaka yote mpaka zinaota kutu hivyo acha wanaccm wazitumie kupiga misele angalau zitumie kidogo
Bado subiri uone siku ambayo Makondakta wataitumia kwenda kijijini kwao Koromije kuwasalimia wazazi
 
 
Perfectly Clear and crystal
 

Ni kweli kabisa nakumbuka enzi izo nasona pale olympio primary tulikuwa tuna tabia tunakula hela yote mpaka ya nauli ya kwendea mbagala tunapiga mguu mpaka kambi ya jeshi pale karibu na diamond jubilee upanga kwenda kupanda gari za jeshi na watu wengine raia unakuta ndinga zimejipanga pale za kwenda kimara pugu mbagala sijui tegeta unapanda la mwelekeo wako
 
Mpumbavu huachwa alivyo.Wewe ndiye.
 
Makamanda nimeona mpo Arusha nundu zimenona. Ruzuku taamu sana 😂😂
 
Ni Spika yupi mwingine aliwahi kufanya hivyo , au uspika kaanzisha Tulia ?
 
Spika aliagiza Walimu warejeshwe mzee.

Upo wap wewe
 
Haya mambo mbona hatukuyaona enzi za akina Amir Kificho na Pius Msekwa , kwamba wale wazee walikuwa Wajinga ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…