baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Ndio maana huwa mnapuuzwa, hakuna Msikiti wa waarabu wala msikiti unaobagua nchi hii, kama upo utaje, uwe ni Msikiti wa Sunni main Body ya Uisilamu na sio mapandikizi.sasa mwarabu koko wa tanga,o tabora unataka kumfananisha na saudia,ndo maana wanawabagua mpaka kwenye misikiti yao.
Nasema hivi muarabu anamtumikisha mzungu fatatiria utajua ukweli ulipoKwenye mistari ya mwisho nakusahihisha, mzungu hajawahi tumikishwa na muarabu, muarabu ndo anatumikishwa indirectly na wazungu.
Angalia bei za mafuta ziko kwenye mfumo Gani ndo utajua uwezo wa kiakili ya mzungu. Kila oz inalipwa kwa dollars na sio Kwa pesa ya kiarabu.
Pili teknolojia ya muarabu ikiwemo uchimbaji wa mafuta na utunzwaji wake kwenye maghala yametokea kwa wazungu, fatilia.
Hata sasa muarabu(Saudia ) anamtegemea mzungu(mrusi) katika vita vyake vya kujiondoa na utumwa wa mamboleo ya Marekani.
Nani anamtawala mwenzie Sasa?
Angalia pale Syria bila mkono wa Urusi Bashar Al Assad angekuwa maiti, na anamtegemea Urusi katika utawala wake, je utasema ya kuwa mrusi anatawaliwa na muarabu?
Muarabu anaweza mtawala mtu mweusi ila kamwe hawezi mtawala mzungu, yeye anafanya uwekezaji tu. Pale Manchester City tu angalia board of directors alaf niambie kama utakuta waarabu wengi, ndo utajua mzungu mmoja ana akili kuliko waarabu 1000.
wahindi piaIla ubaguzi wa Wa-Italy, Warusi, Germany na Waarabu ni next level.
Kama wewe ni mzungu sawa, ila kama ni mwafrika basi acha jamii zingine zitudharau tuKwenye mistari ya mwisho nakusahihisha, mzungu hajawahi tumikishwa na muarabu, muarabu ndo anatumikishwa indirectly na wazungu.
Angalia bei za mafuta ziko kwenye mfumo Gani ndo utajua uwezo wa kiakili ya mzungu. Kila oz inalipwa kwa dollars na sio Kwa pesa ya kiarabu.
Pili teknolojia ya muarabu ikiwemo uchimbaji wa mafuta na utunzwaji wake kwenye maghala yametokea kwa wazungu, fatilia.
Hata sasa muarabu(Saudia ) anamtegemea mzungu(mrusi) katika vita vyake vya kujiondoa na utumwa wa mamboleo ya Marekani.
Nani anamtawala mwenzie Sasa?
Angalia pale Syria bila mkono wa Urusi Bashar Al Assad angekuwa maiti, na anamtegemea Urusi katika utawala wake, je utasema ya kuwa mrusi anatawaliwa na muarabu?
Muarabu anaweza mtawala mtu mweusi ila kamwe hawezi mtawala mzungu, yeye anafanya uwekezaji tu. Pale Manchester City tu angalia board of directors alaf niambie kama utakuta waarabu wengi, ndo utajua mzungu mmoja ana akili kuliko waarabu 1000.
Upumbavu Gani wakati ni ukweli na uhalisia?Kama wewe ni mzungu sawa, ila kama ni mwafrika basi acha jamii zingine zitudharau tu
Umethibitisha upumbavu wetu
Kupanga ni kuchagua.Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.
Shida inakuja kwa waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslahi aidha uwe na cheo kikubwa serikalini ama uwe na pesa nyingi sana.
Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwaona ni zao la watumwa
Mjadala ni dharau za mwarabu kwa mwafrika, kwa kuona hatuteteeki ukalazimisha kututetea kwa kumuingiza mzungu.Upumbavu Gani wakati ni ukweli na uhalisia?
Waafrika hatuna cha kujivunia, hata scripts za jamiiforums zimetoka kwa wazungu.
Africans and Arabs didn't invent anything, they are just innovators.
Take note of that
Kwanza kitendo cha watu weusi kila siku kulalama kuwa wanabaguliwa ni upumbavu,fahamu upumbavu ni kipajiMjadala ni dharau za mwarabu kwa mwafrika, kwa kuona hatuteteeki ukalazimisha kututetea kwa kumuingiza mzungu.
Sisi tuna matatizo makubwa
Ok kama nimefanya kosa natanguliza radhi.Mjadala ni dharau za mwarabu kwa mwafrika, kwa kuona hatuteteeki ukalazimisha kututetea kwa kumuingiza mzungu.
Sisi tuna matatizo makubwa
Wahindi na wafilipino ni wabaguzi sanawahindi pia
Mbona wanasema kuna binti wa Asas kaolewa na mweusiKwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.
Shida inakuja kwa waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslahi aidha uwe na cheo kikubwa serikalini ama uwe na pesa nyingi sana.
Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwaona ni zao la watumwa
sio kweliKwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.
Shida inakuja kwa waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslahi aidha uwe na cheo kikubwa serikalini ama uwe na pesa nyingi sana.
Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwaona ni zao la watumwa
Huyo nae ni mpuuzi kwani lazima uoe Mpemba? Wanawake wako wengi sanaUmenikumbusha story moja ya zanzibar! Nadhani huko uarabuni ni mbali sana! Ubaguzi unaanzia hapa hapa kwetu Tanzania, kipindi nipo Zanzibar, kuna nilikuwa na rafiki yangu mmoja ambaye tulisoma nae kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari Ordinary level pamoja na shule moja! Tulikuja kuachana Advance level (five &six).
Kisha yeye akaenda kusomea uhasibu pale TIA, Mimi nikaingia kwenye kada nyingine! Wanasema milima haikutani Bali wanadamu hukutana, Sasa kwenye harakati za maisha baada ya kutengana kwa muda mrefu, tukaja kukutana Zanzibar!
Yeye akiwa mwanajeshi (jwtz), Mimi nikiwa kwenye kada nyingine (jina kapuni).Tulifurahi sana na kuongea mambo mengi ikiwa pamoja na kukumbushana mambo yaliyopita! Sasa to cut the story, jamaa alikuwa amempenda binti mmoja wa kipemba mwenye asili ya kiarabu yaani wale halfcast, alikuwa mpemba, akaniambia ana Mpango wa kumuoa lakini tatizo kwao binti hawataki mtu wa bara! Wanataka aolewe na mpemba mwenzake!
Sasa baada ya kupambana sana jamaa akaona isiwe tatizo , akakodisha (aliwaomba) watu wazima fulani yaani wazee akawapanga wawe kama wazazi wake, waseme wao ni wazazi wake na wanaasili ya zanzibar (pemba). Baada ya kuwalipa vizuri kweli walikwenda nao ukweni pemba na jamaa akakubaliwa kuoa huyo binti wao chotara!
Sasa Mambo yalitibuka siku ya harusi (ndoa) siku ya kwenda kumchukua mke kwao, sijui wakina nani waliwatonya wazee wa binti kwamba jamaa (mume) ni mtu wa bara Wala sio mzanzibar mpemba kama alivyowaambia, jamaa alikuwa mtu wa bara , Mnyamwezi wa Tabora! Mweusi tii kuliko hata Mimi! (Usicheke). Japo jamaa alikuwa muislam kamili tangu wazazi na mababu, na mtanzania halisi, lakini wazazi wale wa binti walivunja shughuli yote na kumtimua jamaa! Hivyo alikosa mke na maji ya moto! Sherehe yote ikawa Imeishia hapo licha ya gharama zote za harusi aliyoingia. Tatizo tu hakuwa mpemba Wala mzanzibar Bali alikuwa Mnyamwezi wa Tabora!
Nikaamini kweli racism never end!
HakikaKwanza kitendo cha watu weusi kila siku kulalama kuwa wanabaguliwa ni upumbavu,fahamu upumbavu ni kipaji
Km nakumbuka vzr wazazi wetu walikua wanaona nakuolewa na kabila/familia wanayoijua kua.Ubaguzi upo dunia nzima