Ni kwanini bado Waarabu wanatubagua, hata Mwafrika anapokuwa Muislam wanamkatalia kumuoa binti yao?

Ni kwanini bado Waarabu wanatubagua, hata Mwafrika anapokuwa Muislam wanamkatalia kumuoa binti yao?

sasa mwarabu koko wa tanga,o tabora unataka kumfananisha na saudia,ndo maana wanawabagua mpaka kwenye misikiti yao.
Ndio maana huwa mnapuuzwa, hakuna Msikiti wa waarabu wala msikiti unaobagua nchi hii, kama upo utaje, uwe ni Msikiti wa Sunni main Body ya Uisilamu na sio mapandikizi.
 
Kwenye mistari ya mwisho nakusahihisha, mzungu hajawahi tumikishwa na muarabu, muarabu ndo anatumikishwa indirectly na wazungu.
Angalia bei za mafuta ziko kwenye mfumo Gani ndo utajua uwezo wa kiakili ya mzungu. Kila oz inalipwa kwa dollars na sio Kwa pesa ya kiarabu.
Pili teknolojia ya muarabu ikiwemo uchimbaji wa mafuta na utunzwaji wake kwenye maghala yametokea kwa wazungu, fatilia.
Hata sasa muarabu(Saudia ) anamtegemea mzungu(mrusi) katika vita vyake vya kujiondoa na utumwa wa mamboleo ya Marekani.
Nani anamtawala mwenzie Sasa?
Angalia pale Syria bila mkono wa Urusi Bashar Al Assad angekuwa maiti, na anamtegemea Urusi katika utawala wake, je utasema ya kuwa mrusi anatawaliwa na muarabu?
Muarabu anaweza mtawala mtu mweusi ila kamwe hawezi mtawala mzungu, yeye anafanya uwekezaji tu. Pale Manchester City tu angalia board of directors alaf niambie kama utakuta waarabu wengi, ndo utajua mzungu mmoja ana akili kuliko waarabu 1000.
Nasema hivi muarabu anamtumikisha mzungu fatatiria utajua ukweli ulipo
 
Kwenye mistari ya mwisho nakusahihisha, mzungu hajawahi tumikishwa na muarabu, muarabu ndo anatumikishwa indirectly na wazungu.
Angalia bei za mafuta ziko kwenye mfumo Gani ndo utajua uwezo wa kiakili ya mzungu. Kila oz inalipwa kwa dollars na sio Kwa pesa ya kiarabu.
Pili teknolojia ya muarabu ikiwemo uchimbaji wa mafuta na utunzwaji wake kwenye maghala yametokea kwa wazungu, fatilia.
Hata sasa muarabu(Saudia ) anamtegemea mzungu(mrusi) katika vita vyake vya kujiondoa na utumwa wa mamboleo ya Marekani.
Nani anamtawala mwenzie Sasa?
Angalia pale Syria bila mkono wa Urusi Bashar Al Assad angekuwa maiti, na anamtegemea Urusi katika utawala wake, je utasema ya kuwa mrusi anatawaliwa na muarabu?
Muarabu anaweza mtawala mtu mweusi ila kamwe hawezi mtawala mzungu, yeye anafanya uwekezaji tu. Pale Manchester City tu angalia board of directors alaf niambie kama utakuta waarabu wengi, ndo utajua mzungu mmoja ana akili kuliko waarabu 1000.
Kama wewe ni mzungu sawa, ila kama ni mwafrika basi acha jamii zingine zitudharau tu

Umethibitisha upumbavu wetu
 
Kama wewe ni mzungu sawa, ila kama ni mwafrika basi acha jamii zingine zitudharau tu

Umethibitisha upumbavu wetu
Upumbavu Gani wakati ni ukweli na uhalisia?
Waafrika hatuna cha kujivunia, hata scripts za jamiiforums zimetoka kwa wazungu.
Africans and Arabs didn't invent anything, they are just innovators.
Take note of that
 
Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.

Shida inakuja kwa waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslahi aidha uwe na cheo kikubwa serikalini ama uwe na pesa nyingi sana.

Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwaona ni zao la watumwa
Kupanga ni kuchagua.
 
Upumbavu Gani wakati ni ukweli na uhalisia?
Waafrika hatuna cha kujivunia, hata scripts za jamiiforums zimetoka kwa wazungu.
Africans and Arabs didn't invent anything, they are just innovators.
Take note of that
Mjadala ni dharau za mwarabu kwa mwafrika, kwa kuona hatuteteeki ukalazimisha kututetea kwa kumuingiza mzungu.

Sisi tuna matatizo makubwa
 
Mjadala ni dharau za mwarabu kwa mwafrika, kwa kuona hatuteteeki ukalazimisha kututetea kwa kumuingiza mzungu.

Sisi tuna matatizo makubwa
Kwanza kitendo cha watu weusi kila siku kulalama kuwa wanabaguliwa ni upumbavu,fahamu upumbavu ni kipaji
 
Hakuna cha ajabu hapo, hata kabila kwa kabila kuna watu bado hawataki kuoa au kuolewa na kabila tofauti, hata dini, rangi, utaifa, uchumi etc vyote vinatumika kwenye kuchagua na kubagua ndoa, ni akili za kijinga tuu za mwanadamu, upuuzi mwingine kwanini mwanaume wa kiislam anaweza kuoa dini yeyote lakini mwanamke wa kiislam lazima aolewe na mwislam, unajiuliza ni kweli mungu alisema hivyo au mfumo dume tuu uliounda uislam? miaka ya zamani US mtu mweusi alikuwa hawezi kuoa au kuolewa na mtu mweupe na adhabu yake ilikuwa jela, wakristu nao na vituko vyao mwanamke hawezi kuwa pastor au kiongozi wa kanisa... ni mambo ya akili fupi za binadamu tuu wasiojitambua
 
Kwan lazima uoe hao siuoe watu wako tu watu weusi wana matatizo [emoji23] hao wanawake wao wenyew walivyoboring sasa bora wanawake wakiafrika,
 
Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.

Shida inakuja kwa waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslahi aidha uwe na cheo kikubwa serikalini ama uwe na pesa nyingi sana.

Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwaona ni zao la watumwa
Mbona wanasema kuna binti wa Asas kaolewa na mweusi
 
Kama haujawah tembea unaweza kuona waarabu ni watu wabaya na wanaoishi kwa masharti magumu, waarabu wapo simple tu wanakula mpaka madawa ya kulevya ,bangi mirungi kama mbuzi, wapo wakristo wapo waislamu , wanawake wao wapo simple sana tena wanatupenda sana sisi ngozi nyeusi mpaka kaka zao wanapanic .
 
Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.

Shida inakuja kwa waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslahi aidha uwe na cheo kikubwa serikalini ama uwe na pesa nyingi sana.

Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwaona ni zao la watumwa
sio kweli
 
Umenikumbusha story moja ya zanzibar! Nadhani huko uarabuni ni mbali sana! Ubaguzi unaanzia hapa hapa kwetu Tanzania, kipindi nipo Zanzibar, kuna nilikuwa na rafiki yangu mmoja ambaye tulisoma nae kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari Ordinary level pamoja na shule moja! Tulikuja kuachana Advance level (five &six).

Kisha yeye akaenda kusomea uhasibu pale TIA, Mimi nikaingia kwenye kada nyingine! Wanasema milima haikutani Bali wanadamu hukutana, Sasa kwenye harakati za maisha baada ya kutengana kwa muda mrefu, tukaja kukutana Zanzibar!

Yeye akiwa mwanajeshi (jwtz), Mimi nikiwa kwenye kada nyingine (jina kapuni).Tulifurahi sana na kuongea mambo mengi ikiwa pamoja na kukumbushana mambo yaliyopita! Sasa to cut the story, jamaa alikuwa amempenda binti mmoja wa kipemba mwenye asili ya kiarabu yaani wale halfcast, alikuwa mpemba, akaniambia ana Mpango wa kumuoa lakini tatizo kwao binti hawataki mtu wa bara! Wanataka aolewe na mpemba mwenzake!

Sasa baada ya kupambana sana jamaa akaona isiwe tatizo , akakodisha (aliwaomba) watu wazima fulani yaani wazee akawapanga wawe kama wazazi wake, waseme wao ni wazazi wake na wanaasili ya zanzibar (pemba). Baada ya kuwalipa vizuri kweli walikwenda nao ukweni pemba na jamaa akakubaliwa kuoa huyo binti wao chotara!

Sasa Mambo yalitibuka siku ya harusi (ndoa) siku ya kwenda kumchukua mke kwao, sijui wakina nani waliwatonya wazee wa binti kwamba jamaa (mume) ni mtu wa bara Wala sio mzanzibar mpemba kama alivyowaambia, jamaa alikuwa mtu wa bara , Mnyamwezi wa Tabora! Mweusi tii kuliko hata Mimi! (Usicheke). Japo jamaa alikuwa muislam kamili tangu wazazi na mababu, na mtanzania halisi, lakini wazazi wale wa binti walivunja shughuli yote na kumtimua jamaa! Hivyo alikosa mke na maji ya moto! Sherehe yote ikawa Imeishia hapo licha ya gharama zote za harusi aliyoingia. Tatizo tu hakuwa mpemba Wala mzanzibar Bali alikuwa Mnyamwezi wa Tabora!

Nikaamini kweli racism never end!
Huyo nae ni mpuuzi kwani lazima uoe Mpemba? Wanawake wako wengi sana
 
Ubaguzi upo dunia nzima
Km nakumbuka vzr wazazi wetu walikua wanaona nakuolewa na kabila/familia wanayoijua kua.
-haina magonjwa ya kifamilia
-uzazi wao nisalama hakuna upotokaji wa kimaadili
-nikabila moja au ni family members
-tamaduni zao zipo sawa
Haya sisi tumeacha lkn wenzetu nimuhimu sn ilikutopoteza kizazi chao nakuepusha gomvi ktk familia
 
Mtoa mada unaweza kwenda kuoa kwa kikwete, Magufuli, mkapa Mengi, bo
Ilionea msuya, Dangote nk kirahisi rahisi tu. Kisa wewe mbongo mwenzao?
Mie mama yangu ni masikini ila alimkatalia kijana wa kikulya kuoa binti yake hivi hivi. Yaani jamaa alinibembeleza yule eti nikamuombee kwa wazazi, wapi!
SEMBUSE MWARABU !
 
Back
Top Bottom