Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Hakuna cha kufundishwa. Huyo si Muislamu na yeye anajua hilo.Kweli....Angekuwa muislam lazima angeficha maovu ya waarabu na kuwasifia kwa kila kitu kama tulivyofundishwa madrasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cha kufundishwa. Huyo si Muislamu na yeye anajua hilo.Kweli....Angekuwa muislam lazima angeficha maovu ya waarabu na kuwasifia kwa kila kitu kama tulivyofundishwa madrasa
kwahiyo ukaenda madrasa , ukajifunza, ukanukuu kwa mwembwe kumbe kisa umvue mwarabu gaguro?Shida inakuja kwa kina waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu
Wewe unaweza kuoa/kuolewa kwenye nyumba ya Waziri wako ama Rais wako wa Nchi bila kua na Money na Power? Basi ujue ubaguzi huanzia ndani kwako,Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.
Shida inakuja kwa kina waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslaho aidha uwe na cheo kikubwa ama uwe na pesa nyingi sana.
Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwatolea nje.
Mbona waarab wapo huku Africa hawafanyiwi ukatili? Akili yako fupi sana, mtu sio mlima akae sehemu moja.Serikali zenu Waafrika zisingekua katili hao wadada wasingekua huko Arabuni wanafanyiwa ukatili,
Akili yako fupi sana kubaini ubaguzi na ukatili unaanzia nyumbani kwako halafu unataka kwenda kupendwa nchi za wenzako!
Hao waarabu unaowaita wabaguzi ndio pekee Dunia nzima ambao wame wa Asimilate watu weusi kama one of their own.Ila ubaguzi wa Wa-Italy, Warusi, Germany na Waarabu ni next level.
Hawafanyiwi ukatili sababu nyie Waafrika mnajibagua wenyewe kwa wenyewe,Mbona waarab wapo huku Africa hawafanyiwi ukatili? Akili yako fupi sana, mtu sio mlima akae sehemu moja.
Kwamba kwenye comment yangu haujaona Germany, Russia na Italy ila umeona waarabu tu, si ndio?Hao waarabu unaowaita wabaguzi ndio pekee Dunia nzima ambao wame wa Asimilate watu weusi kama one of their own.
Nchi zote za kiarabu zina watu weusi, raia, wana nyadhifa kubwa na wanapata benefit zote wanazopata raia wengine.
Saudi pekee asilimia 10 ni Afro Arabs ambao wengi wametoka kabila la Hausa Nigeria Kule Saudi wanaitwa Hawsawi, Fulani kule wanaitwa Falaata na kunari wanaitwa Barnawi.
Wakati Taifa la Saudia linaundwa Hawsawi walikua ndio wa kwanza kuukubali utawala wa House of Al saud na wapo kwenye Cabinet, kama Elites wa Nchi, google Hawsawi Saudi Arabia utawaona kibao.
Pia angalia Oman, Kuwait kote wamewahi kuwa na Viongozi weusi
Nioneshe Tu Hapa Tanzania Viongozi waarabu, Salum Ahmed Salum Aliekewa figisu mpaka kazeeka.
Huo msikiti wa waarabu upo sehemu gani? Just curious!Sipo kuichafua Dini yangu ila hawa Jamaa ni next level.... niliingiaga Msikiti wao kwa kweli nilipata tabu sana... kukaa Mstari mmoja na Mtu mweusi kwao hawataki na ukikaa nao utaona wanavyosegea na kuacha nafasi kubwa kati yao na wewe.... wakiingia Msikitini wote wewe ukija wakikuona kufunga Mlango si jambo la kushangaa
Unakumbuka Richa Adhia alivyokuwa Miss Tanzania alivyokua anabaguliwa waziwazi? Watu kibao walikua wanambagua Nchi ya weusi hatuwezi wakilishwa na mweupe. Ubaguzi upo wa kutosha Hapa kwetu, sababu wewe sio Mwarabu huwezi jua,Mbona waarab wapo huku Africa hawafanyiwi ukatili? Akili yako fupi sana, mtu sio mlima akae sehemu moja.
Ubaguzi upo kwenye jamii zote, kabla ya dini ulikuwepo ukabila kwa babu zetu, hata wahindi weusi na weupe wanabaguana hata wazungu, issue arabs ni jamii kielimu ipo nyuma hata wa wabantu wapo mbele, utajiri wa mafuta usikutishe, hamna kitu mule.Hawafanyiwi ukatili sababu nyie Waafrika mnajibagua wenyewe kwa wenyewe,
Akili yako fupi kuweza kubaini kua ngozi nyeusi ndio yaongoza kwa ubaguzi wa wenyewe kwa wenyewe na kuwakumbatia wasiokua na nasaba nao,
Utaona muafrika wa kiislam anakataa kata kata kuozesha kwa muafrika wa kiikristo na vice versa, na bado wengine wanaitana majina mabaya kwa tofauti ya dini zao badala ya kuungana kwa nasaba zao.
Arabs hayo ni matokeo ya kubagua weusi.Unakumbuka Richa Adhia alivyokuwa Miss Tanzania alivyokua anabaguliwa waziwazi? Watu kibao walikua wanambagua Nchi ya weusi hatuwezi wakilishwa na mweupe. Ubaguzi upo wa kutosha Hapa kwetu, sababu wewe sio Mwarabu huwezi jua,
Mimi wakati mdogo naenda shule kawaida sana kukuta watu Mtaani wanakuimbia huu wimbo "mwarabu koko sukuma gari twende"
Leo hii nchi ya arabs anaweza tokea mtu mweusi kuwa miss, Morocco tu hio walikuwa wanaongea ubaguzi tu kombe la dunia, akili hamna ndio maana mzungu anawabonda huko middle East.Unakumbuka Richa Adhia alivyokuwa Miss Tanzania alivyokua anabaguliwa waziwazi? Watu kibao walikua wanambagua Nchi ya weusi hatuwezi wakilishwa na mweupe. Ubaguzi upo wa kutosha Hapa kwetu, sababu wewe sio Mwarabu huwezi jua,
Mimi wakati mdogo naenda shule kawaida sana kukuta watu Mtaani wanakuimbia huu wimbo "mwarabu koko sukuma gari twende"
Kama Wenye pesa weusi wanaoa waarabu na masikini hawaoi waarabu huo unakua sio ubaguzi wa rangi, unaitwa ubaguzi wa pesa,Huyo alpha blond unamlinganisha na nan? Jamaa ana pesa pia ni maarufu kama huna pesa ya kutosha huwezi kuwapata huwa wanataka wakutumie na kamwe hawezi kuzaa na mtu mweusi wabaguzi mno hao.
Una chuki nao kisa hawana elimu lakini wamekupita maendeleo!! Hao wasiokua na elimu si ndio dada zako wamejazana huko kufanya kazi za ndani? Wasiokua na elimu ndio wanakuja kuwekeza kwenye bandari yenu,Ubaguzi upo kwenye jamii zote, kabla ya dini ulikuwepo ukabila kwa babu zetu, hata wahindi weusi na weupe wanabaguana hata wazungu, issue arabs ni jamii kielimu ipo nyuma hata wa wabantu wapo mbele, utajiri wa mafuta usikutishe, hamna kitu mule.
Ndio iko hivyo, tit for tat,Ubaguzi ni mtambuka.
Mimi si mbagui mtu kwa rangi wala kabila lake wala utaifa wake. Ila ukinibagua nami nakubagua.