Ni kwanini bado Waarabu wanatubagua, hata Mwafrika anapokuwa Muislam wanamkatalia kumuoa binti yao?

Ni kwanini bado Waarabu wanatubagua, hata Mwafrika anapokuwa Muislam wanamkatalia kumuoa binti yao?

Kuwekeza kwenye bandari sio kwamba wanakuja kutusaidia bali na wao wanataka kunufaika ndio maana wanajipendekeza kuweka picha ya SSH kwenye mnara pale Dubai, kwani wawekezaji ni wao pekee?

Hata arabs wamejazana sana Africa na wameajiriwa na kampuni za weusi, tena hao ndio wengi kuliko I dians, Chinese na wazungu, wamepanga huku mtaani tunaishi nao, ila mwafrika akienda kule wanampiga nyundo kichwani, kuwatesa nakuwaua, wanaona mtu mweusi ni mnyama, elimu hawana.
Wewe una elimu ipi ya kuwashinda Waarabu?

Watu walioanzisha chuo kikuu cha kwanza duniani miaka zaidi ya 1000 nyuma unataka kushindana nao?


. Unanchekesha.
 
Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.

Shida inakuja kwa kina waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslaho aidha uwe na cheo kikubwa ama uwe na pesa nyingi sana.

Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwatolea nje.
Tembea uone mbona kule kwetu Waswahili wamewaoa waarabu labda huko kwenu ndio mnakataliwa.
 
Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.

Shida inakuja kwa kina waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslaho aidha uwe na cheo kikubwa ama uwe na pesa nyingi sana.

Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwatolea nje.
tafuta ata mwarabu wa buza kwa zuena mkuu 🤣 🤣 🤣 🤣🤣
 
Umeshapanik au tupime DNA ndo uache porojo?

Katika Mwambao wa Afrika Mashariki kariba kila watu asilimia kubwa wamezaana na Waarabu.
 
Tena ni ubaguzi kweli kweli, kwanini wasichuje mchele na pumba?
Usione vinaelea vimeundwa, wewe kaoe wale waarabu wa kuununua Uarabu kwenye mikebe ya dawa za kujichubua na wa nywele za maiti.
Girlfriend wangu muhindi ana shape na kalio na nywele ndefu, sio muhindi wa kuchovya wazazi wote indians, kaka yangu mkewe Egyptian, siwezi kuwa mnyonge kihivyo we bibi kizee wala mi si mnyonge.

Wanawake weusi warembo wengi sana, nichukue wa kujichubua nimekosa nini?
 
Hakika [emoji106]

Kuhusu DP World unawachukuliaje?!!!!! [emoji23]

#MamaAnaupigaMwingii[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Shida kuu niliyoona ni kutotangazwa kwa tenda na wawekezaji mbalimbali kushindanishwa. Tunashangaa from no where tunaletewa dp world.

Pia natilia shaka kama tunawahitaji hao wawekezaji
 
Kwa ubaguzi huu maouonesha kwa Waarabu mnataka wao wasiwabague?


Ukitaja kuoa Mwarabu kwanza ustaarabike.
Hawana huo u special, tena hao wanawake wanakunywa pombe na kuvuta sigara kwa kujificha, ukiona na zile ninja utadhani ni saints kumbe🤣
 
Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.

Shida inakuja kwa kina waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslaho aidha uwe na cheo kikubwa ama uwe na pesa nyingi sana.

Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwatolea nje.
Kwa ufupi race ya MTU mweusi inadhalauliwa na race zote,wazungu(Ulaya,UsA,),wa Asia(India,china nk),arab,
Utaheshimika kama una kitu,fedha,
Cheo,
Waislam wameaminishwa Mwarabu ndio aliyewaletea dini Yao,wanamuona yupo ksribu na Mungu wao,Allah,kwahiyo kila Islam anapenda kujitanabaisha kuwa yeye ni mwarabu,kijana yoyote wa kiislam,anaona ufahari kufsta utamaduni wa kiarab, kuliko
 
Wewe una elimu ipi ya kuwashinda Waarabu?

Watu walioanzisha chuo kikuu cha kwanza duniani miaka zaidi ya 1000 nyuma unataka kushindana nao?


. Unanchekesha.
Sasa hivi hiko chuo kikuu kimewasaidia nini? Imebaki historia, arabs zaidi ya kuvaa kanzu kibarazani kula pariki na tende na wanawake kukaangiza biryani mna kipi🤣
 
Sipo kuichafua Dini yangu ila hawa Jamaa ni next level.... niliingiaga Msikiti wao kwa kweli nilipata tabu sana... kukaa Mstari mmoja na Mtu mweusi kwao hawataki na ukikaa nao utaona wanavyosegea na kuacha nafasi kubwa kati yao na wewe.... wakiingia Msikitini wote wewe ukija wakikuona kufunga Mlango si jambo la kushangaa
Seriously [emoji2955]!
 
Issue ilianzia kwa Muhammad kusema kila kitu cheusi kinawakilisha shetani

Alibaka watumwa waafrika na kumtumikisha muafrika Bilal , mpaka Muhammad anakufa Bilal akaenda kuomba asemehewe aaichiwe huru


Bilal kanunuliwa akawa mtumwa wa muhammad mpaka muhammad kafa
Poor Bilal akarudi kwa Alie mnunua akamuomba na kumlilia amuachie huru apo Bilal ni Mzee tayari

Huyu hapa Bilal karudi kwa Abu bakr baada ya Muhammad kufariki anamlilia Abu bakr amuachie huru

Bilal said to Abu Bakr, "If you have bought me for yourself then keep me (for yourself), but if you have bought me for Allah's Sake, then leave me for Allah's Work." -Sahih Bukhari 5:57:99
 
Sasa hivi hiko chuo kikuu kimewasaidia nini? Imebaki historia, arabs zaidi ya kuvaa kanzu kibarazani kula pariki na tende na wanawake kukaangiza biryani mna kipi🤣
Ooh hivi nani wanakujengea Bwawa la Umeme?

Kwa kukujuza tu wanaitwa Arab Contractors.


Hivi leo hii nani wanakulisha ngano swaafi kabisa Tanzania hii? Hata huko kijijini kwenu, madongo kuporomoka.

Ukipata jibu lifanye siri yako.
 
Wangekua hawana elimu wasingekuja kuwekeza kwenye bandari na mbuga zenu, ni aibu kwa mtu aayejiona ana elimu kutawaliwa na asiye na elimu tangu karne ya 9 huko hadi leo
Wenye akili na elimu niambie wa Iran ambao sio arabs, elimu ya uwekezaji hujui lolote, kwani Musk ana elimu gani kuwa na shares kubwa kwenye spaceX na EVs za Tesla? Kina Jay Z kununua hisa Uber ana elimu gani? Kina Dre kuingia mikataba na kampuni za simu na products zake dre beats, kina Kanye West kuongia mikataba ya mabilioni na kampuni za viatu na nguo.. hao ni wahuni wa kitaa na hustlers.

Acha uzwazwa elimu ya uwekezaji unaweza usiwe nayo na ukapata ushauri toka kwa wataalamu ukawaajiri wakasimamia biashara zako,
 
Muhammad alikuwa na shida na rangi nyeusi mpaka mbwa weusi alisema ni mashetani

“I asked Muhammad (ﷺ) about the all-black dog and he said: ‘(It is) a devil.’”
 
Wenye akili na elimu niambie wa Iran ambao sio arabs, elimu ya uwekezaji hujui lolote, kwani Musk ana elimu gani kuwa na shares kubwa kwenye spaceX na EVs za Tesla? Kina Jay Z kununua hisa Uber ana elimu gani? Kina Dre kuingia mikataba na kampuni za simu na products zake dre beats, kina Kanye West kuongia mikataba ya mabilioni na kampuni za viatu na nguo.. hao ni wahuni wa kitaa na hustlers.

Acha uzwazwa elimu ya uwekezaji unaweza usiwe nayo na ukapata ushauri toka kwa wataalamu ukawaajiri wakasimamia biashara zako,
Walichotuzidi arabs na lazima tukubali na kuappreciate ni uzalendo wa kusimamia rasilimali zao kwa manufaa ya wote. Sisi watu weusi ubinafsi ndio tatizo letu kuu namba 1. Siku tukiacha hili basi tutafika mbali na kuheshimika. Hakuna anayeheshimika bila kitu. Ama uwe na akili sana au uwe na maendeleo makubwa.
 
Allah anasema , moja wapo wa viumbe anavyo vichukuia ni watu weusi

..................The most hateful among the creation of Allah is one black man among them (Khawarij).......Sahih Muslim 1066g
 
Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.

Shida inakuja kwa kina waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslaho aidha uwe na cheo kikubwa ama uwe na pesa nyingi sana.

Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwatolea nje.
Kama akikubagua na wewe mbague tu nenda kaoe wasungu wasio na ubaguzi
 
Ooh hivi nani wanakujengea Bwawa la Umeme?

Kwa kukujuza tu wanaitwa Arab Contractors.


Hivi leo hii nani wanakulisha ngano swaafi kabisa Tanzania hii? Hata huko kijijini kwenu, madongo kuporomoka.

Ukipata jibu lifanye siri yako.
Ungejua viungo vinavyotoka Africa kwenda arabuni hapo sisemi vyakula kama matunda, mboga na nyama, we kaa kimya tu, arabs hawana uwezo kutulisha, sisi tuwalishe wao..

Halafu mi sikai kijijini, huyo anaeuza hio ngano kaitoa wapi? Wanaolima kina nani?🤣

Kabla yake tulikuwa hatuli ngano, acha mawazo mgando🤣

Hilo bwawa wanajenga bure? Kama unazungumzia waturuki hao ni arabs wapo ulaya wame adapt uzungu mwingi, wamejifunza mengi, wangekaana na hao wala tende wangekua hovyoo🤣
 
Back
Top Bottom