Ni kwanini Hayati Magufuli alipata Mental na Spiritual Immortality?

Kuua ni kuua tu usitafute namna ya kuhalalisha. Serikali yo yote ambayo haijali uhai wa raia wake, hata mfungwa, haina uhalali wa kuwepo kwenye jamii inayojiita imestaarabika na inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba iliyojiwekea. Fikiria mtu anaapa kwa Kitabu cha Dini yake lakini hana dhamira ya kufuata hicho anachoapa! Huyo utamwachia mtoto wako akutunzie?

Sent from my ONEPLUS A5000 using JamiiForums mobile app
 
Don't gain the world and loose your soul,wisdom is better than silver and gold.by bob Marley.
 
Paskali kama wewe ni mkatoliki kuna kitu wanaita "toharani" je, ndicho hiki ulichokizungumzia hapa?
 
Alikuja kufungua akili za wengi !! Hivi sasa huwezi tena kuwadanganya watu !! Wamenyamaza lakini wanajua kila kitu !! Huwezi tena kuwaambia watu nchi hii ni masikini !!
 
Unajua tokea Hitler apotee kwenye uso wa Dunia ni miaka mingapi? Ni takribani miaka 77 na bado anatajwa. Sababu ni maovu yake, maana yake Hitler alijenga reli, alitengeneza ndege, vifaru na maendeleo makubwa sana kwa wakati huo mpaka kuifanya Germany kuwa taifa kubwa lakini kwa ushenzi wake anatajwa mpaka leo. Hata huyu atakuja kiongozi mwingine atasema maovu yote ya jiwe yawekwe hadharani na itabidi Jona lake liondolewe kwenye vyote vilivyopewa jina lake.
 

imani ile ya rangi 7 za upinde wa mvua??
 
Aliwagusa Sana wananchi negatively. Aliua, aliteka na kuuwa. Kwa haya maovu yake kamwe hatasahaulika kama ilivyo kwa Hitler, Idd Amin, Bokasa na Mobutu

bila kusahau mliolawitiwa na kuachwa vilema wa maisha.
 
Hata Hitra nae hatoki midomoni mwa watu, je alikuwa mtu wa Mungu nae?
 
Shetani hutajwa mara nyingi sana kwa maovu yake!! Hakuna jibu rahisi zaidi hili!!
 
imani ile ya rangi 7 za upinde wa mvua??
... yamtokayo mwanadamu kinywani ndiyo yamjaayo moyoni. Inaonekana ni mambo gani yamekujaa wala hujifichi maana wanena sawasawa na yaliyo kifuani mwako.
 
Kaacha deni kubwa kuliko miradi aliyoinzisha. Labda kama ulikuwa unaamini propaganda zake, huku akiwa ameziba mdomo vyombo vya habari.
Kama kaacha madeni basi tusisahau alipoingia tu madarakani alianza kulipia madeni ya miradi iliyosainiwa awamu ya tatu ikaanza kazi awamu ya nne na kusimama baada ya kutokulipwa wakandarasi japo safari za nje zilikuwa.nyingi awamu hiyo na kuaminishwa zina maslahi kwa taifa, huyo mnayemtuhumu wa awamu ya tano ndiye aliyeyalipa, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni pia tusisahau yeye NI binadamu Kama wewe na Mimi makosa ya kibinadamu yapo.
 
Deni la Shilingi ngapi?

Unajua Mama yenu anachofanya?
Akiondoka madarakani ndio watasema kwa Sasa wanamsifia Kama walivyomsifia hayati alipokuwa kiongozi, chui wapo wengi kweli na ngozi zao za kondoo
 
Tuwaulize wahanga wa kikosi kazi cha TRA ambao pesa zao zilichukuliwa na TRA kwa kisingizio kwamba wanaiibia Serikali kwa kutokulipa kodi.

Nipo moro vijijini huku wakulima wananunua bati ,magodoro,cement na Boda kwa wingi. Mara ya mwisho wame experience bei juu hivi za mazao ya mpunga,ufuta,choroko,kunde,mahindi ni ilikua mwaka 2015. Wanaombea hiyu Bibi tozo aendelee tu.
 
Ndiyo alifanya matendo yaliyogusa uhai wa watu:
Kwa mara ya kwanza tulishuhudia mauaji yasiyo na ushahidi mf maiti kwenye viroba ufukweni.
Kwa mara ya kwanza tumeona wajivuni wake wakizurura mitaani wakitafuta watu waliotumiaji wa mitandao na kuwateka
Kwa mara ya kwanza tumeshuhudia watu wakikimbia nchi iliyokuwa kisiwa cha amani afrika na kimbilio la wapigania uhuru
Kwa mara ya kwanza tulishuhudia vijana wetu wakigeuka chawa, kunguni na viroboto wa wakubwa.
Kwa mara ya kwanza tulishuhudia jambazi na muuaji akikalia ofisi ya urais na kujiita mtetezi wa wanyonge huku akipora rasllimali za nchi na kunyonga watetezi wa haki za wanyonge.
Kwa mara ya kwanza tumefahamu kuwa Tanzania inalindwa na Mungu pale aliposhuka mwenyewe na kulidabua jambazi uuaji March 2021.
ONYO Nchi hii inalindwa na Mwenyezi Mungu.
Hatutasahau kiongozi dhalimu kwa jinsi tusivyosahau ukombozi ambao Mungu aliuleta.
Mungu alituvusha kama Waisrael alivyowavusha bahari ya Sham na kumtokomeza Farau na jeshi lake baharini>
 
Mbona hangaya anakopa na wewe ni chawa wake?
 
Reactions: RNA
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…