Ni kwanini jamii ya wahindi imesahaulika kwenye teuzi za kisiasa?

Wamekwambia waha shida ya kuabudu na kusujudu?
 
Kama wewe umesoma mpaka chuo basi utakuwa hukuelemika hata kidogo, yaani bado unaomba kutawaliwa na wahindi hawa hawa matapeli na wamejaa hirizi? mkuu naomba urudishe mkopo wa watu wasome watu wenye akili timamu, nachokiona kwako ukinyang'anywa hivyo vyeti kichwani baki kopo tupu . Jinga kabisa
 
Kwanza ni upumbavu kuongozwa na mhindi kama vile watanzania wameisha, MO amekuwa mbunge Singida matokeo yake kaacha umaskini wa kutupwa kawaachia nyumba za tembe tupu same to Rostam Azizi Igunga n.k
 
ndio wanaakili kuliko Mimi na Mimi Nina akili kuliko wewe
Huwezi kuwa na akili ata kumzidi binti yangu wa miaka 4, your a waste and disgrace to your society and country nyie mnatakiwa kupigwa mawe mchana kweupe huwezi kumsifia muhindi, what has he done for your country bora ata mjapan he has built on aid roads, schools, bridges ata izo nguzo wametoa misaada yakutosha.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Hili ndio la msingi..sijawahi kuwaona wanajihusisha na siasa zaidi ya hapa ilala..nenda kwenye mikutano ya siasa kama utawaona..zamani tulisoma nao ila now hata hatukutani nao tena..Wana KILA kitu chao
Wahindi wapo kwenye siasa wengi. Hiyo Morogoro wahindi kibao wamekuwa wabunge.

Sema hawajihusishi na siasa za harakati, wao ni CCM basi.
 
Hili ndio la msingi..sijawahi kuwaona wanajihusisha na siasa zaidi ya hapa ilala..nenda kwenye mikutano ya siasa kama utawaona..zamani tulisoma nao ila now hata hatukutani nao tena..Wana KILA kitu chao
Wahindi wapo kwenye siasa wengi tu. Hiyo Morogoro wahindi kibao wamekuwa wabunge.

Sema hawajihusishi na siasa za harakati, wao ni CCM basi.
 
Watz njaa sana na hawatumii akili
Hao wahindi walioingia kwenye siasa wameiba sana.
 
Upo sahihi Mkuu, nadhani wangejiita tu Wamarekani Waafrika,au waamerika kutoka Afrika.
 
Unataka kuniambia hamna mTanzania anaweza kufanya anayofanya Mo?Your over rating them,ukienda Kenya wamekubali kuwa raia wa kawaida kule sababu wameshindwa kuwaendesha wako adi kwenye kuact movie sasa. Nimekutana na hao Wahindi Dangote pia vilaza balaa wanabebana tu hamna kitu technical wanajua zaidi yakutegemea engineers wetu.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Tatizo wahindi hawajawahi kujiona Ni sehemu ya jamii yetu. Hata ushiriki wao katika masuala ya kijamii acha kisiasa hata katika ngazi ya chini Ni mdogo Sana ( Huwa namshangaa Prof. Issa Shivji Ni muhindi wa namna gani). In short hawajichanganyi
 
Nimemkumbuka Prof Al-Noor Kussum mwanzilishi wa SUA na Waziri.
 
Kama ni kweli basi waliowapa iyo fursa walikuwa vilaza na wanapaswa kuwajibishwa kwakutuangusha na kutuzalilisha.Muhindi anachofanya kwa Tanzania ni kwa manufaa yake na watu wake kama sio kujijengea temple zao, mashule yao na Hospital zao ni vile hawawezi kutukataza tu kwenda lakini wangeweza wangefanya hivo.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Sie mijitu myeusi tulivyo na roho mbali,ukimuona mweusi mwenzio yupo TRA au NSSF,unatamani umroge,
Sasa hawa wenzetu wa kiasia hawapendi hayo mambo,kama weusi kwa weusi tunqbaguana,itakuwaje mkurugenzi wa TRA akiwa muhindi?wao wameamua kuwa wajasiriamali zaidi
 
Mabenki yapi hayo? bank M sio? 🤣 ☝️
 

Kwanini huulizi kwanini wahindi huwaoni 👇👇

  • Nurses huko zahanati ya kata
  • Walimu shule za kata
  • Police
  • Wanajeshi
  • Watumishi halmashauri huko
Kwenye zahanati na hospitali wapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…