Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,112
Tajiri mkubwa kbs na wa kwanza ktk orodha za matajiri ni Mhindi Boss Ambani !!Mimi na wahindi tofauti lkn ukweli wahindi walio kuja East Africa hawakuja by choice waliletwa na Mwingereza kujenga reli kwahiyo unao waona hapaTanzania wapo wapo tu INDIA hawakubaliki vile vile TANZANIA mnawazingua kwahiyo wapo katikati.Ukweli kwamba huyu MWENGEREZA nafikiri na SPAIN Wamewaze-confused jamii nyingi sn.
Mfano:- African-America unaona wanavyo pata taaba hapa America japo kuwa wao ndio wamajengo America. Sera zilizopo ni zakumkandamiza mtu mweusi tu.
South America vile vile mtu mweusi hana thamani yoyote nk.
Sass huyo Tajiri Amban anahusiana na nini na hii post hapa ? Ambani ni mhindi wa TZ?au umeshindwa kuelewa au ufahamu wako mdogo kuhusu mtiririko wa Comments zilizopo.Tajiri mkubwa kbs na wa kwanza ktk orodha za matajiri ni Mhindi Boss Ambani !!
Uliza mzaliwa wa wapi???
Kwani hawajawahi kuwa Mawaziri?Hao jamaa ni smart sana ila kwa hapakwetu kuwapa uwaziri bado sana kwa sababu za kibaguzi.
kwani usnart upo kwenye kufaulu mitihani tuNapingana na wewe sana kwenye usmart hawa jamaa ni ovyo kabisa nimesoma nchini kwao hamna vilaza kama hao wanatusifia sana kwa waAfrica wenyewe akili.
Chuo nilichokuwepo tu kwenye notice board kulikuwa na Watanzania waliofanya vizuri na kuongoza kuzidi hao way back tena kwenye course ngumu kuliko zote hapo chuoni BSc Compture Science.
Walichotuzidi hamna zaidi ubinafsi na uchafu.
Kwaiyo usmart wao uko wapi?kwani usnart upo kwenye kufaulu mitihani tu
Actually Ila uchumi wa India ni tayari wapo middle income country Kwa miaka mingi sasa na uchumi wao unaperform vizuri zaidi Kwa miaka ya hivi karibuni na pia wanayo technology kutuzidi Sisi . Japo uchafu ni wachafu Sana hawa jamaa wa kihindiNapingana na wewe sana kwenye usmart hawa jamaa ni ovyo kabisa nimesoma nchini kwao hamna vilaza kama hao wanatusifia sana kwa waAfrica wenyewe akili.
Chuo nilichokuwepo tu kwenye notice board kulikuwa na Watanzania waliofanya vizuri na kuongoza kuzidi hao way back tena kwenye course ngumu kuliko zote hapo chuoni BSc Compture Science.
Walichotuzidi hamna zaidi ubinafsi na uchafu.
FYI, bila kukuKwazaa !! Naomba upanue au utanue kifuwa chako..,na wigo waufahamu!!Sass huyo Tajiri Amban anahusiana na nini na hii post hapa ? Ambani ni mhindi wa TZ?au umeshindwa kuelewa au ufahamu wako mdogo kuhusu mtiririko wa Comments zilizopo.
Kama Taifa kwanza waondoke kule kwenye CASTE SYSTEM ambayo wanayo hilo la kwanza waondoke kwenye uprimitive walio kuwa nao.FYI, bila kukuKwazaa !! Naomba upanue au utanue kifuwa chako..,na wigo waufahamu!!
Wahindi kwa jumla ni taifa lenye malengo ya kuongeza kiuchumi tangu enzi hizoooo!!
Hivi sasa wamesha thibitisha huko North America na Asia nk nk...
Na wengi wao ni waalikwa wa nje ya bara HINDI,
( yeye iko dugu vao tanjania zaliwa pale )
God bless them...
Both babar kapecho margioo!!unhen pahale shahar ke kendr se baahar nikalakar hamaare saath ghulana-milana chaahie, nahin to ham unhen raajaneeti hee nahin, har cheej par chhod denge.
Tumewazidi kufaulu mtihani? Mbona tukija kwenye application ya elimu kwenye maisha ya kawaida waafrika tuko hoi, nafuu hata wahindi? Kumbuka tunaenda India kutibiwa? Fact: Tuache kasumba ya kukaririri shuleni ili tupasi mitihani.Napingana na wewe sana kwenye usmart hawa jamaa ni ovyo kabisa nimesoma nchini kwao hamna vilaza kama hao wanatusifia sana kwa waAfrica wenyewe akili.
Chuo nilichokuwepo tu kwenye notice board kulikuwa na Watanzania waliofanya vizuri na kuongoza kuzidi hao way back tena kwenye course ngumu kuliko zote hapo chuoni BSc Compture Science.
Walichotuzidi hamna zaidi ubinafsi na uchafu.
Jemmy ndg yangu.. tusiumize kichwa tuwache hawa jamaa siyo size yetu!!!! Na wala tusicheke majanga yao!! Wala tusidhihaki tamaduni na mila za wengine..Kama Taifa kwanza waondoke kule kwenye CASTE SYSTEM ambayo wanayo hilo la kwanza waondoke kwenye uprimitive walio kuwa nao.
India is not self reliant kama wanavyo jimwambafai Covid-19 imewaprove hawa wezi kujitegemea bila kusaidia na mataifa makubwa.
Unamaanisha kama Kabudi?[emoji23][emoji23]Umemaliza mchezo,huyu huenda katumwa na Shabeth kuja kupima upepo.
Hivyi yuko hata mgogo mmoja India ni waziri?
Kuna kufaulu darasani na kuweka kwenye practice ulichosoma darasani. Kama mliwapita darasani huko kwao tuna nini kama nchi cha kuonyesha maendeleo ya computer science kulinganisha na wao? Any way cha msingi ni kuwa, kama mhindi anauwezo, asinyimwe nafasi ya uteuzi kwa sababu ya uhindi wake.Napingana na wewe sana kwenye usmart hawa jamaa ni ovyo kabisa nimesoma nchini kwao hamna vilaza kama hao wanatusifia sana kwa waAfrica wenyewe akili.
Chuo nilichokuwepo tu kwenye notice board kulikuwa na Watanzania waliofanya vizuri na kuongoza kuzidi hao way back tena kwenye course ngumu kuliko zote hapo chuoni BSc Compture Science.
Walichotuzidi hamna zaidi ubinafsi na uchafu.
INFIRIORITY COMPLEX either wewe ulieandika hii thread wewe ni MUHINDI unataka kujifanya nyie ni smart kuliko wahindi.Ni moja ya swali huwa linanijia kichwani kila siku. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimebahatika kuwa na hawa watu pamoja na nchi ya Kenya.
Jamii ya wahindi wa Tanzania na Kenya, wana historia ndefu kwa hizi nchi. Na wengi mpaka babu zao wamezaliwa huku, ikimaanisha wana haki zote za uraia wao wa Tanzania.
Binafsi, hawa watu nimefanikiwa kupambana nao shuleni, nimesoma na wahindi baadhi kuanzia sekondari na chuo nikibahatika kukutana nao. Na huku kwenye corporate world tunafanya nao kazi.
Kiufupi, hawa jamaa wapo smart sana na wanatuzidi kwa mbali sana sisi weusi. Moja kwa kwenye elimu, mbili kwenye management, tatu kwenye biashara.
Ukifananisha mabenki ya kihindi na yale yanayoongozwa na waswahili, utathibitisha nisemacho.
Dukuduku langu ni? Kwanini wanasahaulika kwenye uongozi?
Nchi kama Marekani na Uingereza, kwa miongo miwili iliyopita, jamii ya wahindi imekuwa ikipata chance sana kwenye management, na kikubwa ni kwasababu, wanajua.
Minister of Funance wa uingereza sasahivi anaitwa Rishi Sunak ni Muhindi halafu jamaa pia ana origin ya wagindi wa Tanzania na Kenya
Ceo wa Microsoft ni Muhindi Satya Nadella
CEO wa Google ni Muhindi
Na kuna makampuni mengine mengi America yanaongozwa na wahindi, maana yake ni kwamba hawa watu wana inborn quality kwenye management, na wanapaswa kutumiwa.
Huwa nahuzunika sana nikiona tuna hizi rasilimali watu ambazo hazitumiki ipasavyo.
Mnisamehe naandika bila mpango betri inaisha..
Ambani ndio tajiri Mkubwa Duniani mbona unaleta uwongo.Tajiri mkubwa kbs na wa kwanza ktk orodha za matajiri ni Mhindi Boss Ambani !!
Uliza mzaliwa wa wapi???
Ulipokwenda Jeshini (JKT), uliwaona Wahindi?Ni moja ya swali huwa linanijia kichwani kila siku. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimebahatika kuwa na hawa watu pamoja na nchi ya Kenya.
Jamii ya wahindi wa Tanzania na Kenya, wana historia ndefu kwa hizi nchi. Na wengi mpaka babu zao wamezaliwa huku, ikimaanisha wana haki zote za uraia wao wa Tanzania.
Binafsi, hawa watu nimefanikiwa kupambana nao shuleni, nimesoma na wahindi baadhi kuanzia sekondari na chuo nikibahatika kukutana nao. Na huku kwenye corporate world tunafanya nao kazi.
Kiufupi, hawa jamaa wapo smart sana na wanatuzidi kwa mbali sana sisi weusi. Moja kwa kwenye elimu, mbili kwenye management, tatu kwenye biashara.
Ukifananisha mabenki ya kihindi na yale yanayoongozwa na waswahili, utathibitisha nisemacho.
Dukuduku langu ni? Kwanini wanasahaulika kwenye uongozi?
Nchi kama Marekani na Uingereza, kwa miongo miwili iliyopita, jamii ya wahindi imekuwa ikipata chance sana kwenye management, na kikubwa ni kwasababu, wanajua.
Minister of Funance wa uingereza sasahivi anaitwa Rishi Sunak ni Muhindi halafu jamaa pia ana origin ya wagindi wa Tanzania na Kenya
Ceo wa Microsoft ni Muhindi Satya Nadella
CEO wa Google ni Muhindi
Na kuna makampuni mengine mengi America yanaongozwa na wahindi, maana yake ni kwamba hawa watu wana inborn quality kwenye management, na wanapaswa kutumiwa.
Huwa nahuzunika sana nikiona tuna hizi rasilimali watu ambazo hazitumiki ipasavyo.
Mnisamehe naandika bila mpango betri inaisha..