Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

Salaam, shalom!!

Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.

Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!

Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?

Karibuni🙏
Kwani Yesu anaitwa nani jina lake la ukweli alilopewa na wazazi wake ambalo alikuwa akiitwa anaitika?
 
Unaposema Yesu unamaanisha Mungu aliye hai kwa hiyo lazima mapepo majini na vyote vya giza vitii jina hilo maana kwanza vimeumbwa na yeye ila baadae viliasi. allah ni shetani ibilisi kwa hiyo shetani hawezi kufukuza majini, mapepo ila anaweza yatuliza kwa muda. Ndiyo maana aliyepagawa na mapepo akienda kwa sheikh, sheikh anachokifanya ni kumtupia huyu aliyepagawa na mapepo mapepo mengine yenye nguvu zaidi yatakayoweza kuyatuliza hayo yaliyopo awali kwa aliyepagawa.
Wewe nae ndo umeongea ujinga tu
 
Salaam, shalom!!

Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.

Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!

Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?

Karibuni🙏
Biblia Isaya 9: 6; Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani. "
Kwa kifupi Yesu ni Mungu na alikuja duniani kwa mfano wa binadamu na ndio maana wayahudi wengi walimkataa kwasababu walitegemea ujio wa Mungu ungekuwa wa kipekee lakini Mungu akaja kwa style hiyo ili neno lake litimie. Wengi walikuja kuamini ktk kifo na kufufuka kwake kama ilivyoandikwa katka vitabu vya dini na manabii waliotangulia.
Biblia, marko 17:17; Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya"
Kama kweli yesu hakuwa Mungu ni kitu gani isipokuwa mungu chenye uwezo huo?
 
Unaposema Yesu unamaanisha Mungu aliye hai kwa hiyo lazima mapepo majini na vyote vya giza vitii jina hilo maana kwanza vimeumbwa na yeye ila baadae viliasi. allah ni shetani ibilisi kwa hiyo shetani hawezi kufukuza majini, mapepo ila anaweza yatuliza kwa muda. Ndiyo maana aliyepagawa na mapepo akienda kwa sheikh, sheikh anachokifanya ni kumtupia huyu aliyepagawa na mapepo mapepo mengine yenye nguvu zaidi yatakayoweza kuyatuliza hayo yaliyopo awali kwa aliyepagawa.
Unaweza kuandika vizuri zaidi ya hivi ulivyoandika man

Hivi nani aliwajaza ujinga kwamba Yesu ni Mungu au ni sawa na Mungu?Yesu katika masimulizi ya bible alikufa.Je,Mungu aliwahi kufa.Yesu ni mwana wa Daudi kwa ahadi katika ufalme.Je,Mungu ni wa ukoo wa Daudi? Yesu kazaliwa na bikra Maria kwa uwezo wa roho mtakatifu.Je,Mungu alizaliwa?.

Allah sio shetani man jaribu kuheshimu imani za watu haitapunguza au kuongeza chochote katika safari yako hapa duniani

Asante
 
Mitume kila mmoja alitumwa duniani kwa kazi maalum
Yesu alitumwa duniani kipindi ambacho watu walikuwa wana amini uchawi, na kumuasi Mungu.
Mungu akaona atume mjumbe ampe nguvu ya kufanya zaidi ya wachawi ili wamwani Mungu.

Yesu akapewa uwezo, wa kufukuza mapemo, uchawi na hata kuponya magonjwa ambayo yalikuwa hayana tiba
Na ndio sababu ukitumia jina la Yesu ambaye ndiye mjumbe alipewa hiyo nguvu, unaweza kuponya na kufukuza mapepo.
(Kwa bahati mbaya, watu waka mwamini kuwa Yesu ndiye Mungu badala ya Kumuamini Mungu aliyemtuma)
Huwa hamkosi cha kuandika na kujitetea..
 
Biblia Isaya 9: 6; Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani. "
Kwa kifupi Yesu ni Mungu na alikuja duniani kwa mfano wa binadamu na ndio maana wayahudi wengi walimkataa kwasababu walitegemea ujio wa Mungu ungekuwa wa kipekee lakini Mungu akaja kwa style hiyo ili neno lake litimie. Wengi walikuja kuamini ktk kifo na kufufuka kwake kama ilivyoandikwa katka vitabu vya dini na manabii waliotangulia.
Biblia, marko 17:17; Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya"
Kama kweli yesu hakuwa Mungu ni kitu gani isipokuwa mungu chenye uwezo huo?
Ubarikiwe 🙏

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA LAKE. AMEN.
 
Unaweza kuandika vizuri zaidi ya hivi ulivyoandika man

Hivi nani aliwajaza ujinga kwamba Yesu ni Mungu au ni sawa na Mungu?Yesu katika masimulizi ya bible alikufa.Je,Mungu aliwahi kufa.Yesu ni mwana wa Daudi kwa ahadi katika ufalme.Je,Mungu ni wa ukoo wa Daudi? Yesu kazaliwa na bikra Maria kwa uwezo wa roho mtakatifu.Je,Mungu alizaliwa?.

Allah sio shetani man jaribu kuheshimu imani za watu haitapunguza au kuongeza chochote katika safari yako hapa duniani

Asante
Kakika kuran imeadikwa yesu atakuja kuuhukumu ulimwengu, je ni nani mwenye mamlaka ya kuhukumu ulimwengu au wanadamu?
 
Salaam, shalom!!

Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.

Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!

Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?

Karibuni🙏
Kwenye TV, lakin huku mtaani halina maajabu

Pia jina limeshindwa kuonyesha uwezo kwa kuwaletea watanzania kiongozi alie chaguo la Mungu badala yake SHETANI ndo kashikilia mamlaka ya kuteua viongozi wa taifa letu TANZANIA
 
Unaweza kuandika vizuri zaidi ya hivi ulivyoandika man

Hivi nani aliwajaza ujinga kwamba Yesu ni Mungu au ni sawa na Mungu?Yesu katika masimulizi ya bible alikufa.Je,Mungu aliwahi kufa.Yesu ni mwana wa Daudi kwa ahadi katika ufalme.Je,Mungu ni wa ukoo wa Daudi? Yesu kazaliwa na bikra Maria kwa uwezo wa roho mtakatifu.Je,Mungu alizaliwa?.

Allah sio shetani man jaribu kuheshimu imani za watu haitapunguza au kuongeza chochote katika safari yako hapa duniani

Asante
Kuheshimu iman za mtu/watu si maana ya kukubali huyo allah si shetani
 
Back
Top Bottom