gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Akamlilia mungu wakeNa stori zinasema mmiliki wa hilo jina alidanja kwa misumari.
Yani wanatuambia jina lake ni kinga lakini wanasahau kuwa huyo mwenye jina pia aliwahi kukutana na msala
Na hilo jina lake halikuweza kumsadia kuepuka misumari pale alipobananishwa kwenye angle za wayahudi.
Hawa jamaa sijui wanatuchukuliaje na mahubiri yao.