Falme zinazofanya kazi aina moja haziwezi fukuzanaWe huoni makanisani ndo wanapigwa hela kila siku kumbe wew ni pinguani asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Falme zinazofanya kazi aina moja haziwezi fukuzanaWe huoni makanisani ndo wanapigwa hela kila siku kumbe wew ni pinguani asee
Kile ambacho hujawahi kuona ama kusikia haimanishi kwamba hakipo.miujiza inatendeka ila kwa kusudi maalumu la kuwaimarisha watakatifu waliopo na kujenga imani mpya kwa wasiomjua yesu na mungu ili wapate uzima wa mileleYale matangazo ya VIWETE watatembea! VIPOFU wataona! MABUBU wataongea! Siku hizi hakuna tumebaki TUNAPUNGA MAPEPO!....
Yohana (Joh) 8:58Nilipopata macho ya kiroho,
Tangu mwanzo Hadi ufunuo, Anaongelewa Yesu tu, I was shocked🤔
Sasa hilo litawezekana vp kwamba mtu aamini Yesu halafu bado akabaki kuwa ni muislamu? Ni sawa na mtu aamini Allah na Muhammad halafu akabaki kuwa mkristo?Unahitaji kujifunza center of relation kati ya mungu na roho ya mtu ni moyo.kama moyo wa mtu ameshautoa kumuamini yesu haijalishi anavaa mavazi yanayomnadi kuwa ni wa dini fulani,akiliitia jina la bwana kwa imani atapata muujiza.
Kuna waislamu wana mahubiri kwenye simu,kwaya,biblia na wanatoa sadaka kwa njia ya mitandao na wanashika kweli kanuni za upendo wa kristo ila kwa nje wanavaa kanzu,juba,nikabu,baraghashia.hawa kibiblia technically wanaitwa wanafunzi wa yesu ila wa siri hata nyakati za yesu walikuwapo.
Huyu akiomba kwajina la yesu lazima apokee muujiza maana ndiko moyo wake ulipo
Hujui kitu. Nenda kawaulize professional exorcist wakwambie. Mapepo wanamuogopa balaa yani. Mungu kampa nguvu kubwa sana.Maria aliyemzaa Yesu,alikuwa mwanafunzi wa Yesu na alimwamini Yesu, na Yuko Mbinguni.
Usitumie Jina Maria kukemea Pepo, hayo ni makufuru, Mariamu alikuwa mtu tu aliyeumbwa na NENO ambaye ndiye Yesu.
Jina ni Moja tu. YESU,
Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
Mimi ni mtumishi wa Mungu wa Kweli.HAhaha mimi najua wew ni nabii wakitapeli na ndio maana nakupiga na vitu vizito wasipopeleka hizo hela na hiyo kazi mnaacha siku hiyohiyo hahhahahaha kuna mwenzio huko anauza nyumba mbinguni kaoteshwa maana waumini wenu ni vichaa kama nyie wenyewe viongozi
Ndiyo mkuu,mimi sio mtaalamu sana wa lugha ila kiroho yesu sio issa.katika utambulisho wa lugha ya kiswahili yesu anajulikana kama yesu tu na sio issa.Ni kwamba imani ipo kwa Yesu ila anatumia jina la Isa, au kwamba ni lazima tu utumie Yesu au Jesus?
Ndio unajuaje hebu elezea mtu aliyetokwa na pepo anakuaje au ni dalili zipi zenye kuonyesha pepo katoka?Nuru na giza havikai pamoja,ukimuweka mtu nuruni basi hilo pepo litaondoka tu,na hatulibembelezi ni jina la yesu tu
Huyo aitwa Yesu au YESU haitwi yesu maana ni jina la kipekee.Muujiza au wa kutoa mapepo haupo kwenye jina tu.yesu anasema "mkikaa ndani yangu nami ndani yenu lolote mtakaloliomba kwa jina langu baba atalifanya"
Neno"mkikaa"ni condition of certification ya kutumia mamlaka ya jina la yesu.ili uweze ku access power iliyoko ndani ya jina la yesu basi lazima uwe ndani ya yesu na yeye awe ndani yako.
Wewe ndiye ulisema mwezi May Daslam itamezwa na maji, watu wahame au sio wewe?😂Mimi ni mtumishi wa Mungu wa Kweli.
Hadi wakati huu hujaona popote nikimtapeli mtu zaidi ya kuhubiri INJILI na kuwafahamisha watu umuhimu wa kulitumia Jina la YESU hata ndani ya uislamu Ili wapone huko huko wasihangaike kutangatanga huku na huko kutafuta msaada ilhali Jina la YESU lipo na linafanya KAZI Kwa ubora wa juu kabisa.
Acha Ujinga wewe.Hujui kitu. Nenda kawaulize professional exorcist wakwambie. Mapepo wanamuogopa balaa yani. Mungu kampa nguvu kubwa sana.
HAhahahahhaah bado unataka kutapeli uliingia kwa masheikh ukaona hawatoi majini ukosefu wa elimu na maarifa ndio unao waponza wafuasi wenu! Kiongozi. Na usifikiri kila mtu ni mpiga kelele narudia sio kila mtu ni mpiga kelele kama kichaaMimi ni mtumishi wa Mungu wa Kweli.
Hadi wakati huu hujaona popote nikimtapeli mtu zaidi ya kuhubiri INJILI na kuwafahamisha watu umuhimu wa kulitumia Jina la YESU hata ndani ya uislamu Ili wapone huko huko wasihangaike kutangatanga huku na huko kutafuta msaada ilhali Jina la YESU lipo na linafanya KAZI Kwa ubora wa juu kabisa.
Sasa kama hakijaonekana si hakipo..Kile ambacho hujawahi kuona ama kusikia haimanishi kwamba hakipo.miujiza inatendeka ila kwa kusudi maalumu la kuwaimarisha watakatifu waliopo na kujenga imani mpya kwa wasiomjua yesu na mungu ili wapate uzima wa milele
Alaa kumbe! Hivi kuna majini mengine yanapenda msuba kama kawaida eee 😄😄😄😄Kuna majini yasiopenda bangi ndio Huwa yanakimbia.
Ila yapo mapepo mavuta bangi hayo unayo😀
Ukitaka kuacha bangi, tumia Jina YESU kuyafukuza utarudi kuwa timamu tena.
Ubarikiwe 🙏
Katika vitu vimewafunga wengi ni tofauti ya dini na imaniSasa hilo litawezekana vp kwamba mtu aamini Yesu halafu bado akabaki kuwa ni muislamu? Ni sawa na mtu aamini Allah na Muhammad halafu akabaki kuwa mkristo?
Mungu alitumia ujumbe kuahirisha jambo Hilo Kutokea baada ya TOBA ya watu kusikia na nilileta Uzi huo humu.Wewe ndiye ulisema mwezi May Daslam itamezwa na maji, watu wahame au sio wewe?😂
Wapo wamwaminio Yesu ndani ya uislamu na wamebaki huko na wanafanya Ibada ya Kweli kiroho na wapo huko, Mungu kawaficha huko huko.Sasa hilo litawezekana vp kwamba mtu aamini Yesu halafu bado akabaki kuwa ni muislamu? Ni sawa na mtu aamini Allah na Muhammad halafu akabaki kuwa mkristo?
Kuna kitu hujui mkuu,mungu hajawahi kuleta maangamizi bila ONYO.Wewe ndiye ulisema mwezi May Daslam itamezwa na maji, watu wahame au sio wewe?😂
Yapo majini Hadi yanayokula kinyesi, na yapo majini yanayovaa kanzu nyeupee, masafi Kweli Kweli yanahudhuria msikitini ingawa yote ni ya ufalme wa Giza.Alaa kumbe! Hivi kuna majini mengine yanapenda msuba kama kawaida eee 😄😄😄😄