Ni kwanini mji wa Moshi hauna taa za barabarani za kuongoza Magari?

Kwa kuwa watu wengine kule wanajitambua wanajingoza wenyewe siyo kama hawa nyumbu wengine wamejua chuma juzi
 
Naam mahotel ,ma supermarket yamejaa huko vijin. Kama marangu,himo ROMBO nk kwahyo mji hauna pilika nyingi
 
Ni mji wa kishamba sana wakazi wake ni wezi sana
Washamba wapo kwenu chato
Mji wa moshi hauna haja ya taa kwakuwa una barabara nyingi za mzunguko(round abouts) za kuingia na kutoka mjini
Pia ni mji unaoongoza Kitaifa kwa mtandao mpana wa barabara kwa mujibu wa tarura umeelewa ewe mchunga mbuzi?
 
Washamba wapo kwenu chato
Mji wa moshi hauna haja ya taa kwakuwa una barabara nyingi za mzunguko(round abouts) za kuingia na kutoka mjini
Pia ni mji unaoongoza Kitaifa kwa mtandao mpana wa barabara kwa mujibu wa tarura umeelewa ewe mchunga mbuzi?
Moshi ni manispaa iliyojaa wezi wa mali za uma ndiyo maana haiendelei hadi leo ni manispaa tu.
 
Moshi ni manispaa iliyojaa wezi wa mali za uma ndiyo maana haiendelei hadi leo ni manispaa tu.
Hahaaahahaaaaaa...... Wezi wa mali ya uma ni viongozi wanaoletwa na serikali.
Halafu kuna wakati bora ukae kimya ufiche upumbavu wako. Unasema Moshi haiendelei.... Hebu tuambie tafsiri ya maendeleo kwa kikwenu? Au taa za barabarani ndio maendeleo?
Na kwa taarifa yako Moshi ilishapata sofa za kuwa jiji zamani kabla ya Tanga, Mbeya. Kikwazo kikuu ni ukubwa wa eneo tu. Manispaa ya Moshi ina eneo dogo sana la ukubwa. Mazungumzo yanaendelea na Halimashauri ya Moshi (Moshi DC) ili kumega eneo la Moshi DC kwenda Moshi MC (Manispaa) ili kuwa na Jiji la Moshi......... COMING SOON...
 
tulikuwa tunajenga kwanza chato.
Na mnakumbuka alisema 'mikoa ya kaskazini mtasubiri kwanza tujenge kwingine'
Da! nachelea kusema kitu!
 
Washamba wapo kwenu chato
Mji wa moshi hauna haja ya taa kwakuwa una barabara nyingi za mzunguko(round abouts) za kuingia na kutoka mjini
Pia ni mji unaoongoza Kitaifa kwa mtandao mpana wa barabara kwa mujibu wa tarura umeelewa ewe mchunga mbuzi?
Kwann utaje chato, una uhakika uyo mtu ni wa chato, ndio mnasababisha watu wahisi nyinyi ndio mnaleta ukabila dhidi ya Kanda ya ziwa, me mchaga mkazi wa moshi, ila hukuwa na haja ya kuhusisha chato, grow up
 
Taa za barabarani hufanyakazi kuingiza magari pale msongamano wa magari barabarani unapokuwa mkubwa. Kama diversion za barabara ni nyingi hupelekea msongamano kwenye barabara husika kupungua na hivyo kutokuhitajika taa. Mfano, Mji wa Kigoma-Ujiji hutumia barabara moja ya Lumumba hivyo kuwa na msongamano na ajali kwa watembea kw miguu. Hapo wameweka taa barabara hiyo ilikupunguza ajali. Taa za barabarani sio mapambo mheshimiwa eti ziwekwe hata pale pasipokuwa na maana. Umesema Moshi Kuna barabara nyingi, na hivyo hupunguza msongamano wa magari.
 
Yanaongozwa kwenda wapi?
Wakati mwingine tumia akili kidogo
 
5 na 6 nimekuelewa vi z uri sana mkuu. true true
 
Sasa moshi kuna magari gani mpaka waweke taa?
Moshi hamnaga foleni! Hasa kama unakaa mjini ndio burudani! Kutoka city centre kwenda kwako huwezi maliza 20mins kwa gari iwe Soweto, Majengo au KCMC labda kama unakaa mahali interior sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…