wandu waruwa
Senior Member
- Dec 20, 2020
- 133
- 97
Wakuu imebidi niuize ili nijue.
Ni kwanini mji wa Moshi ambao ndio makao makuu ya Mkoa wa Kilimanjaro hauna taa za kuongozea magari, ili hali miji midogo kama Singida, Shinyanga na Babati naona wameweka taa za kuongoza magari.
Ifahamike kuwa mpaka sasa Manispaa ya Moshi ndio manispaa inayoongoza kwa kuwa na mtandao mpana wa barabara ukiondoa majiji machache yalioyopo Tanzania, hii ni kwa mujibu wa TARURA. www.tarura.go.tz
Nini kinashindikana kuziweka hizi taa?
Naam mahotel ,ma supermarket yamejaa huko vijin. Kama marangu,himo ROMBO nk kwahyo mji hauna pilika nyingiNi kweli mji wa Moshi hauna taa za barabarani licha ya kuwa mji muhimu unaoiunganisha kanda ya Kaskazini.
Mji huu hauna taa za barabarani kwa sababu zifuatazo:
1. Mpangilio mzuri wa mji. Wengi mtakubaliana na mimi kuwa Moshi ndio mji pekee uliopangiliwa vizuri zaidi..... Njia zote ndani ya mji zinaungana.
2. Mji wa Moshi una mizunguko kwenye maeneo muhimu ya makutano. Mzunguko wa mnara wa mwenge ukitokea au kwenda Arusha, mzunguko wa YMCA unaunganisha njia ya DSM, KCMC, Arusha na kuingia Moshi mjini. Mzunguko wa Clock tower, mzunguko wa Stand ya mboya, mzunguko wa police line.
3. Kuwepo kwa barabara ya njia nne (double roads) katikati ya mji. Magari yanapita mengi kwa wakati mmoja na pia ni rahisi kukatiza kwenye makutano.
4. Mtandao mpana wa barabara. Barabara za Moshi zote zina njia mbadala ikiwa moja itakuwa na foleni na zote zinawezesha kutoka au kuingia mjini.
5. Uelewa mkubwa wa matumizi ya barabara. Wakazi wengi wa Moshi wana uzoefu mkubwa wa kutumia barabara na ni nadra sana kuona "road rage" Moshi. Hata kipindi cha mwezi wa 12 wageni wanapokuwa wengi haijawahi kuwa changamoto.
6. Matumizi ya public transport. Wakazi wengi wa Moshi hutumia zaidi usafiri wa umma (vibasi) kuliko usafiri binafsi. Sio ajabu kukuta tajiri wa moshi akiwa kwenye bajaji akienda ofisini. Hii ni kwa sababu za kiuchumi zaidi [emoji23]
7. Uwepo wa huduma muhimu nje ya mji. Mji wa Moshi sio kila huduma imerundikwa mjini. Huduma nyingi kama mahoteli, hospitali na masoko yako pembeni au nje ya mji.
Washamba wapo kwenu chatoNi mji wa kishamba sana wakazi wake ni wezi sana
Moshi ni manispaa iliyojaa wezi wa mali za uma ndiyo maana haiendelei hadi leo ni manispaa tu.Washamba wapo kwenu chato
Mji wa moshi hauna haja ya taa kwakuwa una barabara nyingi za mzunguko(round abouts) za kuingia na kutoka mjini
Pia ni mji unaoongoza Kitaifa kwa mtandao mpana wa barabara kwa mujibu wa tarura umeelewa ewe mchunga mbuzi?
Hahaaahahaaaaaa...... Wezi wa mali ya uma ni viongozi wanaoletwa na serikali.Moshi ni manispaa iliyojaa wezi wa mali za uma ndiyo maana haiendelei hadi leo ni manispaa tu.
🤣🤣🤣 hapana mkuu mimi nipo nanyi pamoja sanabado unaendelea kumtetea SAbaya
Hivi taa zanini hamjui taa zinasababisha msongamano wa magari?Naonbeni Tarura muwekee taa za Magari mjini bukoba kweli zipo huko nshomire ama kazi kuwa tulisoma kabila ya mkoloni kuja
Kwann utaje chato, una uhakika uyo mtu ni wa chato, ndio mnasababisha watu wahisi nyinyi ndio mnaleta ukabila dhidi ya Kanda ya ziwa, me mchaga mkazi wa moshi, ila hukuwa na haja ya kuhusisha chato, grow upWashamba wapo kwenu chato
Mji wa moshi hauna haja ya taa kwakuwa una barabara nyingi za mzunguko(round abouts) za kuingia na kutoka mjini
Pia ni mji unaoongoza Kitaifa kwa mtandao mpana wa barabara kwa mujibu wa tarura umeelewa ewe mchunga mbuzi?
5 na 6 nimekuelewa vi z uri sana mkuu. true trueNi kweli mji wa Moshi hauna taa za barabarani licha ya kuwa mji muhimu unaoiunganisha kanda ya Kaskazini.
Mji huu hauna taa za barabarani kwa sababu zifuatazo:
1. Mpangilio mzuri wa mji. Wengi mtakubaliana na mimi kuwa Moshi ndio mji pekee uliopangiliwa vizuri zaidi..... Njia zote ndani ya mji zinaungana.
2. Mji wa Moshi una mizunguko kwenye maeneo muhimu ya makutano. Mzunguko wa mnara wa mwenge ukitokea au kwenda Arusha, mzunguko wa YMCA unaunganisha njia ya DSM, KCMC, Arusha na kuingia Moshi mjini. Mzunguko wa Clock tower, mzunguko wa Stand ya mboya, mzunguko wa police line.
3. Kuwepo kwa barabara ya njia nne (double roads) katikati ya mji. Magari yanapita mengi kwa wakati mmoja na pia ni rahisi kukatiza kwenye makutano.
4. Mtandao mpana wa barabara. Barabara za Moshi zote zina njia mbadala ikiwa moja itakuwa na foleni na zote zinawezesha kutoka au kuingia mjini.
5. Uelewa mkubwa wa matumizi ya barabara. Wakazi wengi wa Moshi wana uzoefu mkubwa wa kutumia barabara na ni nadra sana kuona "road rage" Moshi. Hata kipindi cha mwezi wa 12 wageni wanapokuwa wengi haijawahi kuwa changamoto.
6. Matumizi ya public transport. Wakazi wengi wa Moshi hutumia zaidi usafiri wa umma (vibasi) kuliko usafiri binafsi. Sio ajabu kukuta tajiri wa moshi akiwa kwenye bajaji akienda ofisini. Hii ni kwa sababu za kiuchumi zaidi 😂
7. Uwepo wa huduma muhimu nje ya mji. Mji wa Moshi sio kila huduma imerundikwa mjini. Huduma nyingi kama mahoteli, hospitali na masoko yako pembeni au nje ya mji.
Mungu kashaikwepesha hii laana...Moshi utakuwa mji mdogo kuliko Chato
Huna details .kaa kimyaMoshi ya wapi, msingida yule.
Hujui kitu wewe.Huna details .kaa kimya
Moshi hamnaga foleni! Hasa kama unakaa mjini ndio burudani! Kutoka city centre kwenda kwako huwezi maliza 20mins kwa gari iwe Soweto, Majengo au KCMC labda kama unakaa mahali interior sanaSasa moshi kuna magari gani mpaka waweke taa?