ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Hizo sababu zinazo wafanya nyinyi muishobokee Israel pamoja na kuwaona kama mavi ndo hizo hizo zinazo fanya na wengine waipende china hivyo hilo ndo jibu.Ameuliza kwa nini, ulitakiwa ujibu swali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo sababu zinazo wafanya nyinyi muishobokee Israel pamoja na kuwaona kama mavi ndo hizo hizo zinazo fanya na wengine waipende china hivyo hilo ndo jibu.Ameuliza kwa nini, ulitakiwa ujibu swali
SAHIHI KABSAHakuna taifa la kiislamu ambalo ni super power hivo waislamu wanaleta shobo Kwa murrusia na mchina ili kujifariji
TUMIA AKILI ...CHINA NA URUSSI AZIJAVUKA MIPAKA ZENYEWE KAMA ZINA MATATIZO NA WAISLAMU BASI NI WANDANI YA NCHI YAO ...TOFAUTI NA MAREKANI YEYE WAISLAMU WALIO NCHI NYINGINE NDIYO ANAWACHUKIA NA KUWAFANYIA FITINA USIKU NA MCHANAHaya mataifa mawiri yaani Russia na China yanawachukia Sana Waislam kuliko USA.
Waislam USA wanaabudu kwa Uhuru zaidi kuliko China na Russia lakini cha kushangaza waislam wanaichukia Sana Marekani
Taifa la China linatamani hata Leo waislam wasiwepo China ndiyo hivyo tu wanabanwa na Marekani kuhusu Uhuru wa kuabudu
Utashangaa watu wametoka nchi za kiislamu, wako USA au Europe na wanapewa Uhuru wa Kuandama na wanazitukana hizi nchi za magharibi
Utashangaa Uhuru huo hawana wakiwepo hizo nchi zao
Tatizo ninini? Taifa la China linatamani hata kesho kuufuta uislam lakini waislam ndiyo kwanza wanaisifia.
Haya mataifa mawiri yaani Russia na China yanawachukia Sana Waislam kuliko USA.
Waislam USA wanaabudu kwa Uhuru zaidi kuliko China na Russia lakini cha kushangaza waislam wanaichukia Sana Marekani
Taifa la China linatamani hata Leo waislam wasiwepo China ndiyo hivyo tu wanabanwa na Marekani kuhusu Uhuru wa kuabudu
Utashangaa watu wametoka nchi za kiislamu, wako USA au Europe na wanapewa Uhuru wa Kuandama na wanazitukana hizi nchi za magharibi
Utashangaa Uhuru huo hawana wakiwepo hizo nchi zao
Tatizo ninini? Taifa la China linatamani hata kesho kuufuta uislam lakini waislam ndiyo kwanza wanaisifia.
Ina maana hujui chanzo cha hizo chuki serious? Hujui marekani ndiyo nchi inayoongoza kuzivuruga nchi za waislamu hapo mashariki ya kati? Halafu unategemea nini kutoka kwa waislamuHaya mataifa mawiri yaani Russia na China yanawachukia Sana Waislam kuliko USA.
Waislam USA wanaabudu kwa Uhuru zaidi kuliko China na Russia lakini cha kushangaza waislam wanaichukia Sana Marekani
Taifa la China linatamani hata Leo waislam wasiwepo China ndiyo hivyo tu wanabanwa na Marekani kuhusu Uhuru wa kuabudu
Utashangaa watu wametoka nchi za kiislamu, wako USA au Europe na wanapewa Uhuru wa Kuandama na wanazitukana hizi nchi za magharibi
Utashangaa Uhuru huo hawana wakiwepo hizo nchi zao
Tatizo ninini? Taifa la China linatamani hata kesho kuufuta uislam lakini waislam ndiyo kwanza wanaisifia.
Ni kwa sababu ni mataifa makubwa lakini hayana Ukristo, ni hilo tu hakuna lingine
Ni kwa sababu ni mataifa makubwa lakini hayana Ukristo, ni hilo tu hakuna lingine
But muislam toka Tanzania, Irani, Iraq, Morocco , Yemeni na Palestine hawi treated kama kutoka Gulf. Na huwezi kuwasikia wenzetu kutoka Gulf wanajitoa muhanga au kuua watu wengine. Gulf ni Waislamu wenye pesa na wanajipenda sana na pia si wasiasa kali. Mi mwenyewe nataka nikapate uraia wa Gulf..... Qatar, Dubai,Tatizo lenu akili zenu zimejaa uisilamu na ukristo wenzenu wanawaza pesa. Uingereza ama USA Wana Encourage waarabu wa Gulf waende Nchi zao, mtu anatoka Oman kama anataka kwenda uingereza anatakiwa tu atoe taarifa masaa 24 kabla na anaweza akakaa miezi kadhaa haulizwi kitu, ila wewe hata uwe mkristo Umesoma miaka 40 hupewi priveldge hizo, nchi zote kubwa Duniani unazozisikia Zina Bei, Kuna kiasi kadhaa Cha pesa ukishakua nacho Basi priveldge zote unapewa.
Nchi zisizotakiwa ni zile ambazo ni za Masikini bila kujali una Dini Gani wote wanabaguliwa.
Soma hapa Visa waiver ya UK
![]()
Electronic visa waivers
You can no longer apply for a new electronic visa waiver (EVW). Find out what to do if you have an existing EVWwww.gov.uk
Ukiwa unatoka hizo nchi za Gulf, unasoma tu UK wanakupa Uraia ili uwe na Uraia pacha, hawasumbuki hao kwenda USA ama UK wanaenda tu kama wewe unavyoenda Morogoro ama Mwanza.
Inakadiriwa asilimia 16 ya thamani ya Majengo yote uingereza yanamilikiwa na waarabu wa middle East.
Wanaamini ndio nchi pekee zilizobaki zenye uwezo wa kumuangusha super power usa baada ya ala kushindwa kazi yake.
Ukienda Dubai au Uturuki huwakuti waingereza na wazungu?Ajabu ni kuwa wanapenda sana Ulaya.
Wengi utawakuta Uingereza na nchi nyingine za ulaya.
Haya mataifa mawili yaani Russia na China yanawachukia Sana Waislam kuliko USA.
Waislam USA wanaabudu kwa Uhuru zaidi kuliko China na Russia lakini cha kushangaza waislam wanaichukia Sana Marekani
Taifa la China linatamani hata Leo waislam wasiwepo, China ndiyo hivyo tu wanabanwa na Marekani kuhusu Uhuru wa kuabudu.
Utashangaa watu wametoka nchi za kiislamu, wako USA au Europe na wanapewa Uhuru wa Kuandama na wanazitukana hizi nchi za Magharibi.
Utashangaa Uhuru huo hawana wakiwepo hizo nchi zao.
Tatizo ni nini? Taifa la China linatamani hata kesho kuufuta uislam lakini waislam ndiyo kwanza wanaisifia.
Hatari mzee, China wanawaua kwa kasi sana hawa watu.Wakikujibu nitag
Kuna sehemu ya China waislam walitaka kujitenga, wakawa wanawekwa kwenye uwanja wa mpira na kula shaba
Inasemekana yule mmama mtu mzima anayeongoza kuutukana Ukristo humu ndani FaizaFoxy anaishi Canada, nchi ya Kikristo.Hakuna watu wanafiki kama waislamu nchi za kiislamu ndo zinaongoza kushiriki bahati nasibu ya kwenda marekani...
Gaidi hana Dini mkuu! Russia kuna Waislamu kibao na ile Chechnya unayoisikia na Waislamu tupu ilo jimboMurussia Hanaga masihara na magaidi ya kiislamu hivyo mara nyingi Putin husema "Kazi ya kuwapeleka magaidi Kwa Mungu ni yake ila kazi ya kuwahukumu ni ya Mungu mwenyewe.
Kwahiyo kabla US na UK hawajaingia huko uarabuni mlikuwa mkiwapenda?Ila marekani ndiyo anaongoza kuvuruga nchi za waislamu kuliko hao China na Russia sasa hapo unategemea nini kutoka kwa waislamu?
Iraq ilishawaambia marekani watoe majeshi yao wanakataa kazi ya kuiba mafuta.
Syria haitaki majeshi ya marekani katika nchi yao lakini, wao wameng'ang'ana ili kuidhoofisha hiyo nchi na kuiba mafuta sasa hapo unategemea nini kutoka kwa waislamu?
Kama marekani ataacha kuvuruga hapo mashariki ya kati akawa kama China, Russia, Canada, au nchi zingine za namna hiyo basi chuki za waislamu kwa marekani na uingereza itapungua sana
Haya mataifa mawili yaani Russia na China yanawachukia Sana Waislam kuliko USA.
Waislam USA wanaabudu kwa Uhuru zaidi kuliko China na Russia lakini cha kushangaza waislam wanaichukia Sana Marekani
Taifa la China linatamani hata Leo waislam wasiwepo, China ndiyo hivyo tu wanabanwa na Marekani kuhusu Uhuru wa kuabudu.
Utashangaa watu wametoka nchi za kiislamu, wako USA au Europe na wanapewa Uhuru wa Kuandama na wanazitukana hizi nchi za Magharibi.
Utashangaa Uhuru huo hawana wakiwepo hizo nchi zao.
Tatizo ni nini? Taifa la China linatamani hata kesho kuufuta uislam lakini waislam ndiyo kwanza wanaisifia.